Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Ghannouchi: Imarati imeunga mkono na kufadhili mapinduzi baridi ya Tunisia

    Ghannouchi: Imarati imeunga mkono na kufadhili mapinduzi baridi ya Tunisia

    Aug 01, 2021 10:08

    Rached Ghannouchi Spika wa Bunge lililosimamishwa la Tunisia amesema kuwa Imarati imefadhili mapinduzi yaliyotokea nchini humo.

  • Rais wa Tunisia: Mimi siyo dikteta; nilichokifanya hakiwezi kuhesabiwa kuwa ni mapinduzi

    Rais wa Tunisia: Mimi siyo dikteta; nilichokifanya hakiwezi kuhesabiwa kuwa ni mapinduzi

    Jul 31, 2021 13:40

    Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza kuwa, yeye siyo dikteta na kwamba, hatua alizochukua hivi karibuni nchini humo haziwezi kuhesabiwa kuwa ni mapinduzi.

  • Mgogoro wa kisiasa Tunisia wazidi kutokota, Rais awatimua maafisa wengine wa serikali

    Mgogoro wa kisiasa Tunisia wazidi kutokota, Rais awatimua maafisa wengine wa serikali

    Jul 29, 2021 11:05

    Tunisia imeendelea kutumbukia zaidi katika mgogoro mkubwa wa kisiasa baada ya Rais Kais Saied kuwafukuza kazi maafisa zaidi, siku chache tu baada ya kumtimua waziri mkuu, kusimamisha shughuli za Bunge na kuchukua madaraka yote ya kiutawala.

  • Saudi Arabia yaunga mkono mapinduzi baridi ya Rais wa Tunisia

    Saudi Arabia yaunga mkono mapinduzi baridi ya Rais wa Tunisia

    Jul 29, 2021 02:32

    Saudi Arabia imeunga mkono uamuzi uliochukuliwa na Rais Kais Saied wa Tunisia wa kumfuta kazi aliyekuwa waziri mkuu na kuvunja Bunge la nchji hiyo ambao umetajwa kuwa ni mapinduzi baridi.

  • Chama cha  Ennahdha chamtaka Rais wa Tunisia kutengua maamuzi yake

    Chama cha Ennahdha chamtaka Rais wa Tunisia kutengua maamuzi yake

    Jul 28, 2021 06:43

    Chama cha Ennahdha kimemtaka Rais wa Tunisia atengue maamuzi aliyochukua hivi karibuni ya kumfuta kazi waziri mkuu na kusitisha shughuli za Bunge la nchi hiyo.

  • Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia

    Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia

    Jul 28, 2021 01:37

    Katika hatua inayotathminiwa na wajuzi wa mambo kama mapinduzi baridi, Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua kadhaa kama kumfuta kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hichem Mechichi, kuvunja baraza la mawaziri, kusitisha shughuli za Bunge na kinga ya kisiasa ya Wabunge na kisha kudhibiti madaraka yote ya nchi.

  • Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia

    Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia

    Jul 28, 2021 01:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia kwa karibu matukio ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Tunisia.

  • Polisi yaivamia ofisi ya Al Jazeera huko Tunis

    Polisi yaivamia ofisi ya Al Jazeera huko Tunis

    Jul 27, 2021 03:19

    Mkuu wa ofisi ya televisheni ya al Jazeerahuko Tunis mji mkuu wa Tunisia amesema polisi wameivamia ofisi hiyo jana Jumatatu.

  • Rais wa Tunisia afanya mapinduzi baridi, amfuta kazi Waziri Mkuu, Spika wa Bunge

    Rais wa Tunisia afanya mapinduzi baridi, amfuta kazi Waziri Mkuu, Spika wa Bunge

    Jul 26, 2021 03:08

    Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua ya kushtukiza ya kumfuta kazi Spika wa Bunge na Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kudhibiti madaraka yote ya nchi.

  • Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Jul 26, 2021 02:39

    Wanaharakati kutoka nchi tano za kaskazini mwa Afrika ambazo ni Algeria, Tunisia, Morocco, Libya na Mauritania wamesisitiza udharura wa kukabiliana na hatua ya baadhi ya nchi ya kuanzisha uhusiano rasmi wa na utawala ghasibu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS