-
Ghannouchi: Imarati imeunga mkono na kufadhili mapinduzi baridi ya Tunisia
Aug 01, 2021 10:08Rached Ghannouchi Spika wa Bunge lililosimamishwa la Tunisia amesema kuwa Imarati imefadhili mapinduzi yaliyotokea nchini humo.
-
Rais wa Tunisia: Mimi siyo dikteta; nilichokifanya hakiwezi kuhesabiwa kuwa ni mapinduzi
Jul 31, 2021 13:40Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza kuwa, yeye siyo dikteta na kwamba, hatua alizochukua hivi karibuni nchini humo haziwezi kuhesabiwa kuwa ni mapinduzi.
-
Mgogoro wa kisiasa Tunisia wazidi kutokota, Rais awatimua maafisa wengine wa serikali
Jul 29, 2021 11:05Tunisia imeendelea kutumbukia zaidi katika mgogoro mkubwa wa kisiasa baada ya Rais Kais Saied kuwafukuza kazi maafisa zaidi, siku chache tu baada ya kumtimua waziri mkuu, kusimamisha shughuli za Bunge na kuchukua madaraka yote ya kiutawala.
-
Saudi Arabia yaunga mkono mapinduzi baridi ya Rais wa Tunisia
Jul 29, 2021 02:32Saudi Arabia imeunga mkono uamuzi uliochukuliwa na Rais Kais Saied wa Tunisia wa kumfuta kazi aliyekuwa waziri mkuu na kuvunja Bunge la nchji hiyo ambao umetajwa kuwa ni mapinduzi baridi.
-
Chama cha Ennahdha chamtaka Rais wa Tunisia kutengua maamuzi yake
Jul 28, 2021 06:43Chama cha Ennahdha kimemtaka Rais wa Tunisia atengue maamuzi aliyochukua hivi karibuni ya kumfuta kazi waziri mkuu na kusitisha shughuli za Bunge la nchi hiyo.
-
Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia
Jul 28, 2021 01:37Katika hatua inayotathminiwa na wajuzi wa mambo kama mapinduzi baridi, Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua kadhaa kama kumfuta kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hichem Mechichi, kuvunja baraza la mawaziri, kusitisha shughuli za Bunge na kinga ya kisiasa ya Wabunge na kisha kudhibiti madaraka yote ya nchi.
-
Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia
Jul 28, 2021 01:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia kwa karibu matukio ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Tunisia.
-
Polisi yaivamia ofisi ya Al Jazeera huko Tunis
Jul 27, 2021 03:19Mkuu wa ofisi ya televisheni ya al Jazeerahuko Tunis mji mkuu wa Tunisia amesema polisi wameivamia ofisi hiyo jana Jumatatu.
-
Rais wa Tunisia afanya mapinduzi baridi, amfuta kazi Waziri Mkuu, Spika wa Bunge
Jul 26, 2021 03:08Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua ya kushtukiza ya kumfuta kazi Spika wa Bunge na Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kudhibiti madaraka yote ya nchi.
-
Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel
Jul 26, 2021 02:39Wanaharakati kutoka nchi tano za kaskazini mwa Afrika ambazo ni Algeria, Tunisia, Morocco, Libya na Mauritania wamesisitiza udharura wa kukabiliana na hatua ya baadhi ya nchi ya kuanzisha uhusiano rasmi wa na utawala ghasibu wa Israel.