-
Wahajiri 17 wapoteza maisha katika fukwe za Tunisia
Jul 22, 2021 07:56Shirika la Hilal Nyekundu la Tunisia limetangaza kuwa, wahajiri 17 wamekufa maji katika fukwe za nchi hiyo baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kupinduka baharini.
-
Tunisia yakadhibisha kushiriki maneva ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika Bahari Nyeusi
Jun 24, 2021 07:22Msemaji rasmi wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia amekadhibisha uvumi ulioenea katika vyombo vya habari kwamba nchi hiyo itashiriki katika maneva ya kijeshi na Marekani na utawala ghasibu wa Kizayuni katika Bahari Nyeusi.
-
Mahakama Tunisia yaagiza kuachiwa huru kiongozi wa upinzani
Jun 16, 2021 08:07Vyombo vya mahakama nchini Tunisia vimeagiza kuachiwa huru kiongozi wa upinzani, Nabil Karoui, miezi sita baada ya kutiwa nguvuni kwa tuhuma za ufisadi na kukwepa kodi.
-
Maandamano dhidi ya ukandamizaji wa polisi yaendelea huko Tunis, Tunisia
Jun 16, 2021 03:09Maandamano ya usiku ambayo yamekuwa yakifanywa kwa siku kadhaa sasa na wakazi wa mji mji mkuu wa Tunisia, Tunis yameripotiwa kushika kasi. Maandamano hayo yameshuhukiwa katika vitongoji viwili huko Tunis.
-
Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya akutana na Rais wa Tunisia
May 31, 2021 07:23Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya amehimiza kurahishishwa mawailiano na sekta ya uchukuzi baina ya nchi yake na Tunisia.
-
EU yajipanga kutoa misaada kwa Libya na Tunisia ili kuzuia wahajiri wasielekee Ulaya
May 21, 2021 03:37Kamishna wa Mambo ya Ndani katika Umoja wa Ulaya (EU) Ylva Johansson, amesema umoja huo unashauriana na Tunisia na Libya ili kufikia mapatano yatakayowezesha kuzuia wahajiri wasielekee barani ya Ulaya.
-
Rais wa Ufaransa na viongozi kadhaa wa Afrika wahudhuria mazishi ya Rais Deby wa Chad
Apr 24, 2021 03:20Mazishi ya rais Idriss Deby wa Chad yalifanyika jana Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo N'Djamena, ambapo maelfu ya watu walitoa heshima zao wa mwisho wa kiongozi huyo aliyefariki kutokana na majeraha aliyopata katika mstari wa mbele wa vita wakati akiongoza jeshi lake kukabiliana na shambulio la waasi.
-
Watu wasiopungua 21 wafariki baharini baada ya boti kuzama katika pwani ya Tunisia
Apr 17, 2021 02:43Watu wasiopungua 21 wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wameabiri kuzama katika pwani ya Tunisia wakati wakijaribu kuvuka maji ya bahari ya Mediterania ili kufika kwenye kisiwa cha Lampedusa nchini Italia.
-
Rais wa Tunisia apinga kufanyiwa marekebisho Mahakama ya Katiba
Apr 05, 2021 04:28Rais wa Tunisia amemtumia ujumbe Spika wa Bunge la nchi hiyo akipinga kufanyiwa marekebisho Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo.
-
Chama cha al Nahdha chahimiza kuanza mazungumzo ya kitaifa nchini Tunisia
Apr 02, 2021 06:35Chama cha Kiislamu cha al Nahdha nchini Tunisia kimetangaza kuwa, kuna wajibu kwa wanasiasa kuanzisha mazungumzo ya kitaifa ili kupunguza mivutano katika nyuga tofauti za nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.