Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Watunisia waungana na Wapalestina kuadhimisha Siku ya Ardhi na kulaani kuanzisha uhusiano na  Israel

    Watunisia waungana na Wapalestina kuadhimisha Siku ya Ardhi na kulaani kuanzisha uhusiano na Israel

    Mar 31, 2021 11:49

    Jumuiya na makundi mbali mbali ya kisiasa na kiraia nchini Tunisia yameadhimisha Siku ya Ardhi ya Palestina na kulaani juhudi na hatua zozote zile za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Wananchi wa Tunisia waendelea na maandamano ya kulalamikia mgogoro wa kisiasa

    Wananchi wa Tunisia waendelea na maandamano ya kulalamikia mgogoro wa kisiasa

    Mar 21, 2021 12:25

    Wananchi wa Tunisia wameendelea na maandamano ya kupinga mgogoro wa kisiasa na matatizo ya kiuchumi na kimaisha nchini mwao.

  • Spika wa Bunge la Tunisia amkosoa Rais kwa kutotoa idhini kwa mawaziri kula kiapo

    Spika wa Bunge la Tunisia amkosoa Rais kwa kutotoa idhini kwa mawaziri kula kiapo

    Mar 11, 2021 07:17

    Spika wa Bunge la Tunisia Rached Ghannouchi amekosoa hatua ya Rais Kais Saied wa nchi hiyo ya kutowapa idhini mawaziri walioteuliwa katika serikali mpya kula kiapo.

  • Maelfu ya wananchi wa Tunisia waandamana mjini Tunis kuiunga mkono serikali

    Maelfu ya wananchi wa Tunisia waandamana mjini Tunis kuiunga mkono serikali

    Feb 28, 2021 08:02

    Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano kufuatia mwaliko wa chama tawala cha An Nahdhah na kwa lengo la kuiunga mkono serikali ya nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Tunisia awapiga kalamu nyekundu mawaziri 5

    Waziri Mkuu wa Tunisia awapiga kalamu nyekundu mawaziri 5

    Feb 16, 2021 02:44

    Waziri Mkuu wa Tunisia amewafuta kazi mawaziri watano katika baraza la mawaziri la nchi hiyo na kuwateuwa wengine kushika nyadhifa hizo.

  • Watunisia waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Watunisia waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Feb 15, 2021 10:29

    Wananchi waliokuwa na hasira wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis, wakipinga hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.

  • Mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Tunisia

    Mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Tunisia

    Feb 14, 2021 03:46

    Moto za mzozo wa kisiasa umezidi kuwa mkubwa nchini Tunisia baada ya Waziri Mkuu kumtuhumu rais wa nchi hiyo kuwa ndiye anayeikwamisha Serikali.

  • Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria

    Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria

    Feb 04, 2021 04:27

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza kuwa askari wanne wa jeshi la nchi hiyo wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa ardhini uliotokea kwenye mpaka wa pamoja wa Tunisia na Algeria.

  • Israel yatuhumiwa kuhusika na njama ya kumuua Rais wa Tunisia

    Israel yatuhumiwa kuhusika na njama ya kumuua Rais wa Tunisia

    Jan 29, 2021 07:32

    Harakati ya al-Shaab ya Tunisia imesema utawala wa Kizayuni wa Israel ulihusika na njama ya kutaka kumuua Rais Kais Saied wa nchi hiyo kwa kutumia sumu.

  • Kuendelea machafuko nchini Tunisia

    Kuendelea machafuko nchini Tunisia

    Jan 25, 2021 09:38

    Licha ya kupita takriban muongo mzima tangu yalipotokea mapinduzi ya wananchi wa Tunisia na kuchochea mapinduzi mengine katika nchi kadhaa za ulimwengu wa Kiarabu, lakini bado wananchi wa nchi hiyo wanalalamikia matatizo mengi ya kijamii na kisiasa nchini mwao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS