-
Watunisia waungana na Wapalestina kuadhimisha Siku ya Ardhi na kulaani kuanzisha uhusiano na Israel
Mar 31, 2021 07:19Jumuiya na makundi mbali mbali ya kisiasa na kiraia nchini Tunisia yameadhimisha Siku ya Ardhi ya Palestina na kulaani juhudi na hatua zozote zile za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Wananchi wa Tunisia waendelea na maandamano ya kulalamikia mgogoro wa kisiasa
Mar 21, 2021 08:55Wananchi wa Tunisia wameendelea na maandamano ya kupinga mgogoro wa kisiasa na matatizo ya kiuchumi na kimaisha nchini mwao.
-
Spika wa Bunge la Tunisia amkosoa Rais kwa kutotoa idhini kwa mawaziri kula kiapo
Mar 11, 2021 03:47Spika wa Bunge la Tunisia Rached Ghannouchi amekosoa hatua ya Rais Kais Saied wa nchi hiyo ya kutowapa idhini mawaziri walioteuliwa katika serikali mpya kula kiapo.
-
Maelfu ya wananchi wa Tunisia waandamana mjini Tunis kuiunga mkono serikali
Feb 28, 2021 04:32Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano kufuatia mwaliko wa chama tawala cha An Nahdhah na kwa lengo la kuiunga mkono serikali ya nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Tunisia awapiga kalamu nyekundu mawaziri 5
Feb 15, 2021 23:14Waziri Mkuu wa Tunisia amewafuta kazi mawaziri watano katika baraza la mawaziri la nchi hiyo na kuwateuwa wengine kushika nyadhifa hizo.
-
Watunisia waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel
Feb 15, 2021 06:59Wananchi waliokuwa na hasira wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis, wakipinga hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.
-
Mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Tunisia
Feb 14, 2021 00:16Moto za mzozo wa kisiasa umezidi kuwa mkubwa nchini Tunisia baada ya Waziri Mkuu kumtuhumu rais wa nchi hiyo kuwa ndiye anayeikwamisha Serikali.
-
Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria
Feb 04, 2021 00:57Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza kuwa askari wanne wa jeshi la nchi hiyo wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa ardhini uliotokea kwenye mpaka wa pamoja wa Tunisia na Algeria.
-
Israel yatuhumiwa kuhusika na njama ya kumuua Rais wa Tunisia
Jan 29, 2021 04:02Harakati ya al-Shaab ya Tunisia imesema utawala wa Kizayuni wa Israel ulihusika na njama ya kutaka kumuua Rais Kais Saied wa nchi hiyo kwa kutumia sumu.
-
Kuendelea machafuko nchini Tunisia
Jan 25, 2021 06:08Licha ya kupita takriban muongo mzima tangu yalipotokea mapinduzi ya wananchi wa Tunisia na kuchochea mapinduzi mengine katika nchi kadhaa za ulimwengu wa Kiarabu, lakini bado wananchi wa nchi hiyo wanalalamikia matatizo mengi ya kijamii na kisiasa nchini mwao.