-
Tunisia yalaaniwa kwa kumkamata mwanachuo aliyepeperusha bendera ya Palestina
Mar 26, 2025 11:12Mwanafunzi mmoja wa Tunisia amekamatwa kwa kuingia uwanjani na kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa mechi ya kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026 katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis.
-
Rais wa Tunisia amfuta kazi Waziri Mkuu, Kamel Maddouri
Mar 21, 2025 11:49Rais wa Tunisia, Kais Saied amemfukuza kazi Waziri Mkuu, Kamel Maddouri na kumteua Waziri wa Vifaa na Makazi, Sara Zaafarani kushika nafasi yake.
-
Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yafunguliwa Tunisia
Feb 17, 2025 04:34Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yamefunguliwa katika Maktaba ya Kitaifa ya Tunisia, na yataendelea hadi Aprili 30, kwa ushirikiano wa Taasisi ya Urithi wa Kitaifa na Taasisi ya Utafiti wa Kisasa wa Maghreb.
-
Maelfu ya Watunisia wakaribisha kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu
Nov 23, 2024 07:56Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo wakipongeza na kukaribisha kutolewa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) hati ya kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa utawala huo Yoav Gallant.
-
Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege
Nov 07, 2024 09:55Balozi wa Tunisia mjini Tehran ametaka kuweko safari za moja kwa moja za ndege baina ya Tehran na Tunis hasa kwa vile uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unazidi kuimarisha siku baada ya siku.
-
Watunisia wapiga kura kumchagua Rais
Oct 06, 2024 11:44Wananchi wa Tunisia leo Jumapili wameshiriki katika uchaguzi wa rais pasina upinzani mkali dhidi ya rais aliyeko madarakani, Kais Saied, ambaye anatazamiwa kuibuka mshindi.
-
Maiti 13 za wahajiri zapatikana pwani ya kusini mashariki mwa Tunisia
Sep 26, 2024 04:00Askari wa gadi ya baharini ya Tunisia wameopoa majini miili 13 ya wahamiaji wasio na vibali katika mkoa wa pwani wa Mahdia kusini mashariki mwa Tunisia.
-
Wahamiaji waliotelekezwa waokolewa karibu na mpaka wa Tunisia na Algeria
Aug 31, 2024 08:07Kundi la haki za binadamu nchini Tunisia limesema limewapatia hifadhi wahajiri na wahamiaji 28 mbao waliachwa bila maji na chakula karibu na mpaka wa Tunisia na Algeria.
-
Kambi ya upinzani Tunisia yalaani 'mbinyo' wa kabla ya uchaguzi wa rais
Aug 03, 2024 06:54Wagombea urais wa kambi ya upinzani nchini Tunisia, mashirika ya kutetea haki za binadamu na vyama vya kisiasa vimelaani 'vizuizi vya kiholela' vilivyowekwa dhidi yao na serikali ya Tunis kabla ya uchaguzi wa Oktoba 6.
-
Tunisia yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais
Jul 06, 2024 11:20Tume ya Uchaguzi nchini Tunisia imetangaza Oktoba 6 mwaka huu kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.