Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Rais wa Tunisia amfuta kazi waziri kwa vifo vya makumi ya Mahujaji Makka

    Rais wa Tunisia amfuta kazi waziri kwa vifo vya makumi ya Mahujaji Makka

    Jun 22, 2024 11:18

    Rais Kais Saied wa Tunisia amempiga kalamu nyekundu Waziri wa Masuala ya Dini wa nchi hiyo, Brahim Chaibi, akimbebesha dhima ya vifo vya makumi wa raia wa nchi hiyo, waliokuwa miongoni mwa malaki ya Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah mjini Makka, Saudi Arabia mwaka huu.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza kuendelea ushirikiano kati ya Iran na Qatar

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza kuendelea ushirikiano kati ya Iran na Qatar

    May 23, 2024 05:02

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kikao na "Tamim bin Hamad Al-Thani" Amir wa Qatar na ujumbe aliofuatana nao, ameishukuru Qatar kwa rambirambi zake katika msiba wa kufa shahidi Sayyid Ebrahim Raisi na mashahidi wenzake, na kusisitiza haja ya kuendelea ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.

  • Watunisia waandamana kupinga 'uingiliaji wa kigeni'

    Watunisia waandamana kupinga 'uingiliaji wa kigeni'

    May 20, 2024 06:54

    Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano kulaani na kupinga hatua ya nchi za Magharibi ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN yabainisha wasiwasi wake kuhusu kukandamizwa wahamiaji Tunisia

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN yabainisha wasiwasi wake kuhusu kukandamizwa wahamiaji Tunisia

    May 18, 2024 07:29

    Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa jana ilibainisha wasiwasi wake kuhusu "kuongezeka ukandamizaji na vitendo vya mabavu dhidi ya wahamiaji nchini Tunisia. Ofisi hiyo imesema kuwa haki za wahamiaji wote zinapasa kulindwa.

  • Upinzani Tunisia wataka dhamana ya uchaguzi huru na wa haki wa rais

    Upinzani Tunisia wataka dhamana ya uchaguzi huru na wa haki wa rais

    May 13, 2024 06:24

    Wafuasi wa chama cha Salvation Front wanaompinga Rais Kais Saied wa Tunisia, waliandamana jana Jumapili katikati mwa mji mkuu, Tunis, wakitaka kusafishwa mazingira na hali ya kisiasa, kupangwa tarehe ya uchaguzi wa rais, na kutoa dhamana ya uchaguzi wa kidemokrasia na wa haki kwa wananchi.

  • Iran yatathmini njia za kuimarisha uhusiano wake na Tunisia

    Iran yatathmini njia za kuimarisha uhusiano wake na Tunisia

    May 06, 2024 07:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inachunguza njia na majukwaa ya kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili kati yake na Tunisia.

  • Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel

    Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel

    Mar 12, 2024 07:41

    Wananchi wa Tunisia jana waliandamana mbele ya ubalozi wa Marekani huko Tunis mji mkuu wa Tunisia kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Ghannouchi, kiongozi wa upinzani Tunisia aliyefungwa jela aanza mgomo wa kususia kula

    Ghannouchi, kiongozi wa upinzani Tunisia aliyefungwa jela aanza mgomo wa kususia kula

    Feb 20, 2024 07:06

    Rached Ghannouchi, mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Tunisia na kiongozi wa chama cha Ennahda, ameanza mgomo wa kususia kula akiwa kifungoni jela kuonyesha mshikamano na wanaharakati wenzake wanaopinga serikali.

  • Wahajiri 40 wahofiwa kufa maji wakielekea Italia

    Wahajiri 40 wahofiwa kufa maji wakielekea Italia

    Jan 17, 2024 07:40

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha wakiwa katika safari ya baharini wakielekea Italia.

  • Watunisia wafanya maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani kuiunga mkono Gaza

    Watunisia wafanya maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani kuiunga mkono Gaza

    Dec 25, 2023 02:41

    Wananchi wa Tunisia jana Jumapili walifanya maandamano mkabala wa ubalozi wa Marekani katika mij mkuu wa nchi hiyo Tunis, kwa ajili ya kuiunga mkono Gaza. Wananchi wa Tunisia wamekuwa wakiandamana kwa ajili ya kuwaunga mkono raia wa Palestina wa Ukanda wa Gaza na kupinga mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS