Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubaguzi wa rangi

  • Baraza la Haki la UN lapasisha azimio la kulaani ubaguzi wa rangi

    Baraza la Haki la UN lapasisha azimio la kulaani ubaguzi wa rangi

    Jun 20, 2020 06:43

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kulaani vikali ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi dhidi ya raia weusi katika nchi mbali mbali duniani.

  • Bachelet: Ubaguzi wa rangi nchini Marekani unasikitisha

    Bachelet: Ubaguzi wa rangi nchini Marekani unasikitisha

    Jun 18, 2020 08:20

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema anasikitishwa sana na ubaguzi wa rangi wa kimfumo nchini Marekani.

  • Macron apinga kushambuliwa nembo za kikoloni

    Macron apinga kushambuliwa nembo za kikoloni

    Jun 16, 2020 02:35

    Kufuatia kuenea maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na utaifa huko Marekani ambapo wimbi lake limeenea pia barani Ulaya; wafanya maandamano na wale wote wanaopinga vitendo hivyo vya ubaguzi wameshambulia nembo mbalimbali za kikoloni katika nchi mbalimbali duniani ambazo kwa karne kadhaa zilipelekea raia weusi kutumiwa kama watumwa katika nchi za Magharibi. suala hilo limepingwa na baadhi ya wakuu wa Ulaya akiwemo Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa.

  • Kuungana watu wa Ulaya na maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Kuungana watu wa Ulaya na maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Jun 15, 2020 02:23

    Ukandamizaji na utumiaji mabavu wa polisi ya Marekani dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika licha ya kuwa una historia kongwe, lakini kuuawa Mmarekani mweusi George Floyd jinai iliyofanywa na polisi mweupe katika mji wa Minneapolis kwenye jimbo la Minnesota, sio tu kwamba, kumewasha moto wa malalamiko na maandamano ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miji mbalimbali ya Marekani, bali malalamiko hayo yameenea hadi katika nchi za bara Ulaya.

  • Masanamu yanayoashiria ubaguzi yaendelea kuvunjwa  Marekani na waandamanaji wenye hasira

    Masanamu yanayoashiria ubaguzi yaendelea kuvunjwa Marekani na waandamanaji wenye hasira

    Jun 12, 2020 07:53

    Waandamanaji wenye hasira nchini Marekani na maeneo mengine duniani wanaendeleza mkakati wa kuangusha, kuharibu na kuondoa masanamu ya wabaguzi wa rangi.

  • Wananchi wa Senegal waandamana kulaani ubaguzi wa rangi Marekani

    Wananchi wa Senegal waandamana kulaani ubaguzi wa rangi Marekani

    Jun 11, 2020 08:04

    Wananchi wa Senegal wamefanya maandamano kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi wa nchi hiyo.

  • Maelfu wamuomboleza Floyd huku mashinikizo ya kufanyika mageuzi nchini Marekani yakiongezeka

    Maelfu wamuomboleza Floyd huku mashinikizo ya kufanyika mageuzi nchini Marekani yakiongezeka

    Jun 09, 2020 13:11

    Maelfu ya waombolezaji nchini Marekani wametoa heshima zao za mwisho kwa George Floyd aliyefia aliyeuawa na polisi, hatua ambayo imeibua maandamano makubwa kote nchini humo dhidi ya vitendo vya utumiaji mabavu na ubaguzi wa rangi dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Afrika.

  • Malalamiko ya UN dhidi ya ubaguzi wa rangi wa kitaasisi nchini Marekani

    Malalamiko ya UN dhidi ya ubaguzi wa rangi wa kitaasisi nchini Marekani

    Jun 05, 2020 05:57

    Ubaguzi wa rangi na kizazi na ukandamizaji uliochupa mipaka dhidi ya watu wasio wazungu hasa wenye asili ya Afrika huko Marekani una historia ndefu na ulianza tangu ilipoasisiwa nchi hiyo karne tatu zilizopita. Ubaguzi huo daima umekuwa ni sifa inayochukiza ya jamii ya Marekani. Licha ya Wamarekani wenye asili ya Afrika kuendesha mapambano makali ya kupigania haki zao, lakini hadi leo hii wanaendelea kuwa wahanga wa ubaguzi, ukatili na ukandamizaji usio na kifani.

  • Obama ataka mageuzi Marekani, Pelosi ajiunga na waandamanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi

    Obama ataka mageuzi Marekani, Pelosi ajiunga na waandamanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi

    Jun 04, 2020 12:46

    Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama ametoa wito wa kufanyika marekebisho katika mfumo wa jeshi la polisi la nchi hiyo na kusisitiza kuwa, waandamanaji wanaopinga ubaguzi wa rangi wanapaswa kuwanyima utulivu wanaoshikilia madaraka.

  • Tishio la Trump la kutuma jeshi la taifa katika majimbo ya Marekani kukabiliana na wapinzani wa ubaguzi

    Tishio la Trump la kutuma jeshi la taifa katika majimbo ya Marekani kukabiliana na wapinzani wa ubaguzi

    Jun 03, 2020 12:32

    Malalamiko na maandamano makubwa ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miji na majimbo ya Marekani dhidi ya mauaji ya kutisha yaliyofanywa na polisi dhidi ya raia mweusi wa nchi hiyo, George Floyd huko katika jimbo la Minnesota yamezusha machafuko makubwa na kumtia kiwewe rais wa nchi hiyo, Donald Trump na serikali yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS