-
Mgombea urais Iran: Sitounda serikali ila ambayo nina uhakika itafanya kazi
Jun 05, 2021 12:01Mmoja wa wagombea katika uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hatounda serikali ila ya watu ambao kweli watawatumikia wananchi na watawatekelezea matakwa yao kwa ukweli na udhati wa moyo.
-
Wagombea urais nchini Iran kushiriki katika midahalo mitatu
Jun 03, 2021 04:15Tume ya Kampeni za Uchaguzi za Wagombea Urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa midahalo mitatu itayowashirikisha wagombea wote saba itafanyika katika kipindi cha siku chache zijazo.
-
Mkutano wa uratibu wa uchaguzi wa 13 wa urais wa Iran nje ya nchi
May 31, 2021 02:39Mkutano wa uratibu wa Makao Makuu ya Uchaguzi wa Ughaibuni wa uchaguzi wa urais wa 13 wa Iran umefanyika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran.
-
Rais Rouhani asisitiza kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi Iran
May 26, 2021 10:41Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanyika vizuri uchaguzi ni jambo ambalo litadhamini uhalali wa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Majina ya wagombea urais nchini Iran, yatajwa
May 25, 2021 11:06Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetaja majina ya wagombea wa urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao wa Juni humu nchini.
-
Sisitizo la Rouhani la kulindwa usalama wa kiafya wa wananchi kwa ajili ya kuongeza ushiriki wao katika uchaguzi
May 19, 2021 04:10Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza udharura wa kulindwa usalama wa kiafya wa wananchi ili kuwahamasisha washiriki kwa wingi katika uchaguzi mkuu ujao wa rais.
-
Zoezi la kuwasajili wanaotaka kugombea urais Iran laingia siku ya nne
May 14, 2021 07:49Zoezi la kuwasajili wale wanaotaka kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeingia siku ya nne leo.
-
Mgombea katika uchaguzi wa rais Iran: Uwezo wa kujihami Iran umepelekea Marekani irudi nyuma
Apr 22, 2021 03:51Mgombea urais wa Jamuri ya Kiislamu ya Iran unaofanyika mwaka huu wa 2021 amesema: "Uwezo wa kujihami wa Iran ndio sababu ambayo imepelekea Marekani irudi nyuma katika sera zake ghalati.
-
Rouhani: Washindi halisi katika uchaguzi wa Iran ni wananchi
May 21, 2017 03:34Rais mteule wa watu wa Iran katika awamu ya 12 amesema mshindi halisi katika uchaguzi wa rais wa Mei 19 ni wananchi wa Iran.
-
Kiongozi Muadhamu: Mshindi wa uchaguzi ni wananchi wa Iran na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
May 20, 2017 13:20Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa uchaguzi wa jana Ijumaa (Mei 19, 2017) wa Iran na kusema kuwa, mshindi wa uchaguzi huo ni wananchi wa Iran na mfumo Jamhuri ya Kiislamu ambapo licha ya kuweko njama nyingi za maadui, lakini uchaguzi huo umevutia umati mkubwa wa wananchi wa taifa hili kubwa kwa namna bora kabisa.