Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchumi

  • Kupungua thamani ya pauni; kudorora uchumi wa Uingereza

    Kupungua thamani ya pauni; kudorora uchumi wa Uingereza

    Sep 25, 2022 07:49

    Ikiwa ni katika kuendelea kupanuka mgogoro wa kiuchumi barani Ulaya na athari za mpango wa kiuchumi wa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza Liz Truss, siku ya Ijumaa, thamani ya pauni ya nchi hiyo ilifikia kiwango chake cha chini kabisa katika kipindi cha miaka 37 iliyopita.

  • 75% ya Wamarekani wakatishwa tamaa na uchumi mbaya wa nchi yao

    75% ya Wamarekani wakatishwa tamaa na uchumi mbaya wa nchi yao

    Jun 27, 2022 11:23

    Aghalabu ya wananchi wa Marekani wamekatishwa tamaa na hali mbaya ya uchumi wa nchi hiyo.

  • IMF: Hali ya uchumi wa dunia ni mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa tangu Vita vya Pili vya Dunia

    IMF: Hali ya uchumi wa dunia ni mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa tangu Vita vya Pili vya Dunia

    May 24, 2022 07:19

    Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Kimataifa wa Fedha IMF ametoa indhari kuhusiana na kuongezeka mfumuko wa bei na kuzorota uchumi duniani kote.

  • Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Apr 14, 2022 02:24

    Ikiwa zimepita siku 47 tangu kuanza vita vya Russia na Ukraine, hasara za kiuchumi za vita hivyo zinaongezeka siku baada ya nyingine, kadiri kwamba Shirika la Biashara Duniani WTO limetangaza katika ripoti yake ya karibuni kwamba vita hivyo vimeathiri vibaya uchumi wa dunia.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; ushindi wa ngome ya uzalishaji katika vita vya kiuchumi vya adui

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; ushindi wa ngome ya uzalishaji katika vita vya kiuchumi vya adui

    Jan 31, 2022 04:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kusimama kidete sekta ya uzalishaji bidhaa za ndani mbele ya hujuma za kiuchumi na njama za adui za kujaribu kuizuia Iran isiuze mafuta na gesi yake, na pia kusimama imara mbele ya vita vya kuifungia Tehran vyanzo vya fedha za kigeni na kupanga njama za kuzuia mabadilishano ya kibiashara ya Iran na nchi nyingine, kwa hakika ni jihadi na ni miongoni mwa ibada kubwa kabisa.

  • The Wall Street Journal: Uasi wa kiraia nchini Sudan unachochewa na hali mbaya ya uchumi

    The Wall Street Journal: Uasi wa kiraia nchini Sudan unachochewa na hali mbaya ya uchumi

    Jan 19, 2022 11:27

    Gazeti la Kimarekani la "The Wall Street Journal" limeripoti kuwa uasi wa kiraia ulioanza jana Jumanne nchini Sudan unazidisha mzozo kati ya waandamanaji na majenerali wa jeshi la nchi hiyo.

  • WFP yatoa indhari: Hali ya kibinadamu Afghanistan ni mbaya

    WFP yatoa indhari: Hali ya kibinadamu Afghanistan ni mbaya

    Dec 02, 2021 07:27

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula WFP limesema, hali ya kibinadamu nchini Afghanistan ni mbaya na kutoa ombi maalum la kusaidia watu wa nchi hiyo bila kujali masuala ya kisiasa ya nchi hiyo.

  • Benki ya Dunia yatahadharisha kuhusu ongezeko la madeni ya nchi maskini

    Benki ya Dunia yatahadharisha kuhusu ongezeko la madeni ya nchi maskini

    Oct 13, 2021 02:31

    Benki ya Dunia imetahadharisha juu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa madeni ya nchi zenye vipato vya chini duniani na taathira zake kwa uchumi wa dunia.

  • Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Oct 08, 2021 00:39

    Akizungumza karibuni katika jimbo la Michigan, Rais Joe Biden wa Marekani amesema nchi nyingine za dunia ziko mbioni kuishinda Marekani katika nyanja nyingi. Amesema licha ya kuwa Marekani bado inauongoza ulimwengu kiuchumi lakini inaendelea kupoteza taratibu nafasi yake hiyo.

  • Tathmini ya siku 100 za serikali ya Biden kuwa ofisini

    Tathmini ya siku 100 za serikali ya Biden kuwa ofisini

    May 02, 2021 02:22

    Baada ya kupita siku 100 tokea Rais Joe Biden wa chama cha Democrat achukue madaraka ya Marekani, watu wamekuwa wakitathmini utendaji wa serikali yake katika kipindi hiki, kipindi ambacho baadhi ya wataalamu wanasema kwamba licha ya kufanikiwa katika baadhi ya sehemu lakini ameshindwa pakubwa kutekeleza ahadi alizotoa katika kampeni za uchaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS