• Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Apr 14, 2022 02:24

    Ikiwa zimepita siku 47 tangu kuanza vita vya Russia na Ukraine, hasara za kiuchumi za vita hivyo zinaongezeka siku baada ya nyingine, kadiri kwamba Shirika la Biashara Duniani WTO limetangaza katika ripoti yake ya karibuni kwamba vita hivyo vimeathiri vibaya uchumi wa dunia.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; ushindi wa ngome ya uzalishaji katika vita vya kiuchumi vya adui

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; ushindi wa ngome ya uzalishaji katika vita vya kiuchumi vya adui

    Jan 31, 2022 04:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kusimama kidete sekta ya uzalishaji bidhaa za ndani mbele ya hujuma za kiuchumi na njama za adui za kujaribu kuizuia Iran isiuze mafuta na gesi yake, na pia kusimama imara mbele ya vita vya kuifungia Tehran vyanzo vya fedha za kigeni na kupanga njama za kuzuia mabadilishano ya kibiashara ya Iran na nchi nyingine, kwa hakika ni jihadi na ni miongoni mwa ibada kubwa kabisa.

  • The Wall Street Journal: Uasi wa kiraia nchini Sudan unachochewa na hali mbaya ya uchumi

    The Wall Street Journal: Uasi wa kiraia nchini Sudan unachochewa na hali mbaya ya uchumi

    Jan 19, 2022 11:27

    Gazeti la Kimarekani la "The Wall Street Journal" limeripoti kuwa uasi wa kiraia ulioanza jana Jumanne nchini Sudan unazidisha mzozo kati ya waandamanaji na majenerali wa jeshi la nchi hiyo.

  • WFP yatoa indhari: Hali ya kibinadamu Afghanistan ni mbaya

    WFP yatoa indhari: Hali ya kibinadamu Afghanistan ni mbaya

    Dec 02, 2021 07:27

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula WFP limesema, hali ya kibinadamu nchini Afghanistan ni mbaya na kutoa ombi maalum la kusaidia watu wa nchi hiyo bila kujali masuala ya kisiasa ya nchi hiyo.

  • Benki ya Dunia yatahadharisha kuhusu ongezeko la madeni ya nchi maskini

    Benki ya Dunia yatahadharisha kuhusu ongezeko la madeni ya nchi maskini

    Oct 13, 2021 02:31

    Benki ya Dunia imetahadharisha juu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa madeni ya nchi zenye vipato vya chini duniani na taathira zake kwa uchumi wa dunia.

  • Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Oct 08, 2021 00:39

    Akizungumza karibuni katika jimbo la Michigan, Rais Joe Biden wa Marekani amesema nchi nyingine za dunia ziko mbioni kuishinda Marekani katika nyanja nyingi. Amesema licha ya kuwa Marekani bado inauongoza ulimwengu kiuchumi lakini inaendelea kupoteza taratibu nafasi yake hiyo.

  • Tathmini ya siku 100 za serikali ya Biden kuwa ofisini

    Tathmini ya siku 100 za serikali ya Biden kuwa ofisini

    May 02, 2021 02:22

    Baada ya kupita siku 100 tokea Rais Joe Biden wa chama cha Democrat achukue madaraka ya Marekani, watu wamekuwa wakitathmini utendaji wa serikali yake katika kipindi hiki, kipindi ambacho baadhi ya wataalamu wanasema kwamba licha ya kufanikiwa katika baadhi ya sehemu lakini ameshindwa pakubwa kutekeleza ahadi alizotoa katika kampeni za uchaguzi.

  • Indhari ya Wazayuni kuhusu kusambaratika uchumi wa Israel

    Indhari ya Wazayuni kuhusu kusambaratika uchumi wa Israel

    Nov 11, 2020 08:17

    Naftali Bennett, kiongozi wa chama cha harakati ya mrengo wa kulia wenye kufurutu ada kinachojulikana kama chama cha The New Right amesema kuwa, katika hali ya hivi sasa Israel inaelekea upande hatari na wa kutisha na kwamba, imo mbioni kusambaratika kiuchumi.

  • Vikwazo vipya vya Marekani; kujitaabisha kusio na maana kwa lengo la kuidhoofisha Iran

    Vikwazo vipya vya Marekani; kujitaabisha kusio na maana kwa lengo la kuidhoofisha Iran

    Jun 27, 2020 06:58

    Serikali ya Trump imekuwa ikifanya kila njia kupitia kampeni yake ya mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Iran ili kuilazimisha Jamhuri ya Kiislamu isalimu amri na kutekeleza matakwa yake haramu na yasiyo ya kisheria; na baada ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 ilianza kuiwekea Iran vikwazo vikali kabisa; na licha ya mwenendo huo kutokuwa na tija, lakini Washington ingali inashupalia kuendeleza vikwazo.

  • Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Jun 15, 2020 14:59

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema uchumi wa Kiislamu ndiyo dawa mjarabu ya kuiondoa dunia katika mgogoro wa kiuchumi uliosababishwa na janga la corona.