-
Raila Odinga kuanzisha tena vuguvugu la maandamano dhidi ya sera ya ushuru wa Rais Ruto wa Kenya
Dec 31, 2023 08:51Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, amesema kwamba katika mwaka mpya ataanzisha vuguvugu wa kuwahamasisha Wakenya kupinga ubadhirifu wa serikali ikiwa ni pamoja na kutoza ushuru mkubwa kuzuia fedha za elimu bila malipo na ufisadi.
-
Woga wa Marekani wa kukumbwa huko Ukraine na yale yale yaliyoikumba Washington nchini Afghanistan
Jul 31, 2023 02:31Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeonya kuhusu athari mbaya za ufisadi wa kiserikali nchini Ukraine kutokana na misaada isiyo na mahesabu ya kiuchumi inayomiminiwa nchi hiyo ya Ulaya Mashariki.
-
Katika uamuzi wa aina yake.. Rais wa zamani wa Ufaransa ahukumiwa kifungo miaka 3 jela katika kesi ya ufisadi
May 17, 2023 11:09Mahakama ya Rufaa ya Paris leo, Jumatano, imemhukumu Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy kifungo cha miaka 3 jela, ambapo anawekwa chini ya uangalizi kwa kufungwa bangili ya kielektroniki. Ni baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na ufisadi na kutumia vibaya madaraka, hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa dhidi ya rais wa zamani wa Ufaransa.
-
Ramaphosa atakiwa kujiuzulu kwa tuhuma za ufisadi, mwenyewe amezikanusha
Dec 02, 2022 10:57Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na miito mbalimbali inayomtaka ajiuzulu baada ya uchunguzi wa Bunge kubaini kuwa huweda alikiuka sheria za kupambana na ufisadi kuhusiana na wizi wa mamilioni ya dola katika shamba lake la Phala Phala.
-
Tshisekedi aifuta kazi bodi ya wakurugenzi ya Kampuni ya Taifa ya Madini kufuatia ufisadi mkubwa
Dec 05, 2021 03:15Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aifuta kazi bodi nzima ya wakurugenzi wa Kampuni ya Taifa ya Madini ya Gecamine akiwemo Mwenyekiti Albert Yuma, Mkurugenzi Mkuu na Naibu wake.
-
Waziri wa zamani wa michezo Kenya ahepa kifungo cha miaka 6 jela kwa hatia ya ufisadi
Sep 16, 2021 13:35Habari za karibuni zinasema kuwa, aliyekuwa Waziri wa Michezo wa Kenya Hassan Wario sasa yuko huru baada ya kulipa faini ya shilingi milioni 3 saa chache baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kuhusiana na sakata ya Rio 2016.
-
Wataalamu wa haki za binadamu: UAE inawapa hifadhi watuhumiwa wa kesi kubwa za ufisadi nchini Afrika Kusini
Jul 18, 2021 08:19Tovuti ya Marekani ya Foreign Policy imechapisha makala ya wataalamu wawili katika mashirika ya haki za binadamu wakiitaka Imarati (UAE) ishirikiane na serikali ya Afrika Kusini na kuwakabidhi washukiwa wa tuhuma za ufisadi na kuhujumu uchumi.
-
Kamati za Bunge la Kenya zatuhumiwa kula rushwa na kufanya ufisadi
Apr 13, 2021 13:42Kamati za Bunge la Kenya zimetuhumiwa kuwa zinakula rushwa na kuhusika na ufisadi kutokana na wabunge wanaosimamia kamati hizo kufumbia macho uhalifu na mashtaka yanayowasishwa mkabala wa kula rushwa na kupokea hongo.
-
UN: Ufisadi wa fedha umejiri katika kumchagua Waziri Mkuu wa Libya
Mar 01, 2021 12:25Ripoti ya Wataalamu wa Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa, rushwa ya fedha ilitolewa kwa watu wasiopungua 3 ambao ni wajumbe wa kikao cha mazungumzo ya kisiasa ya Libya katika kumchagua Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo.
-
Rais wa zamani wa Sierra Leone azuiwa kuondoka nchini, kisa ufisadi
Sep 30, 2020 12:47Serikali ya Sierra Leone imemuwekea vikwazo vya kusafiri nje ya nchi aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Ernest Bai Koroma anayeandamwa na tuhuma za ufisadi wa kifedha.