Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ufisadi wa kifedha

  • Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Aug 04, 2020 08:03

    Mfalme wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos ameondoka nchini humo na kuelekea kusikojulikana wiki kadhaa baada ya kuhusishwa na ufisadi na kashfa ya kupokea mlungula kutoka kwa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia apatikana na hatia ya ufisadi na kutumia vibaya madaraka

    Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia apatikana na hatia ya ufisadi na kutumia vibaya madaraka

    Jul 28, 2020 10:32

    Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak amepatikana na hatia katika tuhuma zinazomkabili ikiwa ni pamoja na kuhusika na ufisadi, kutumia vibaya madaraka na kutakatisha fedha chafu.

  • Mahakama ya Algeria yawahukumu kifungo jela mawaziri wakuu wawili wa zamani

    Mahakama ya Algeria yawahukumu kifungo jela mawaziri wakuu wawili wa zamani

    Dec 10, 2019 12:02

    Mahakama ya Sidi M'Hamed katika mji mkuu wa Algeria, Algiers imewahukumu vifungo vya muda mrefu jela mawaziri wakuu wawili wa zamani wa nchi hiyo baada ya kupatikana na hatia zinazohusiana na ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma.

  • Thales yakata rufaa katika kesi ya ufisadi ya Zuma huko Afrika Kusini

    Thales yakata rufaa katika kesi ya ufisadi ya Zuma huko Afrika Kusini

    Nov 05, 2019 14:11

    Kampuni ya kuuza silaha ya Thales ya Ufaransa imetangza kuwa, itaitaka Mahakama ya Juu ya Afrika Kusini ruhusa ya kukata rufaa ya kupinga hukumu iliyotolewa mwezi uliopita wa Oktoba iliyokataa kusitishwa kabisa kesi ya kula rushwa inayomkabili rais wa zamani wan chi hiyo, Jacob Zuma.

  • Sarkozy akabiliwa na kifungo cha mwaka mmoja jela

    Sarkozy akabiliwa na kifungo cha mwaka mmoja jela

    Oct 03, 2019 04:15

    Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy anakabiliwa na kifungo na faini iwapo mashtaka yanayomkabili yatathibitishwa na mahakama ya nchi hiyo.

  • Wazambia waandamana kulalamikia ufisadi wa serikali

    Wazambia waandamana kulalamikia ufisadi wa serikali

    Jul 21, 2019 12:37

    Maelfu ya wananchi wa Zambia wamefanya maandamano kulalamikia ufisadi mkubwa wa kifedhi ndani ya serikali ya nchi hiyo.

  • TI: Jitihada za Magufuli za kupambana na ufisadi Tanzania zinazaa matunda

    TI: Jitihada za Magufuli za kupambana na ufisadi Tanzania zinazaa matunda

    Jul 14, 2019 07:28

    Utendakazi na jitihada za kupambana na ufisadi za Rais John Magufuli wa Tanzania zimeifanya nchi hiyo ya Afrika Mashariki ishike nafasi ya kwanza barani Afrika katika vita dhidi ya ufisadi.

  • Ufisadi, changamoto kuu ya uchumi wa Lebanon kwa mtazamo wa Rais Michel Aoun

    Ufisadi, changamoto kuu ya uchumi wa Lebanon kwa mtazamo wa Rais Michel Aoun

    Mar 20, 2019 02:31

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema kuwa, uchumi wa nchi hiyo unakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba, ufisadi ndio changamoto kuu.

  • Gazeti la Kizayuni: Safari ya Netanyahu nchini Russia ni kukwepa kufunguliwa mashtaka kwa faili la ufisadi

    Gazeti la Kizayuni: Safari ya Netanyahu nchini Russia ni kukwepa kufunguliwa mashtaka kwa faili la ufisadi

    Feb 28, 2019 02:31

    Duru za habari ndani ya utawala haramu wa Israel zinaeleza kwamba, uwezekano wa kushtakiwa Benjamin Netanyahu kutokana na kesi za ufisadi zinazomwandama, umemfanya, Waziri Mkuu huyo wa Utawala Haramu wa Israel kufanya safari mjini Moscow, Russia.

  • Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani zaiomba radhi Afrika Kusini

    Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani zaiomba radhi Afrika Kusini

    Feb 05, 2019 16:00

    Balozi za nchi tano za Magharibi nchini Afrika Kusini zimemuandikia barua ya kuomba radhi Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo, baada ya kukiuka protokali za kibalozi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS