Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ufisadi wa kifedha

  • Transparency International: Dubai ni maficho ya wahalifu na watakasishaji wa fedha chafu

    Transparency International: Dubai ni maficho ya wahalifu na watakasishaji wa fedha chafu

    Feb 01, 2019 08:11

    Jumuiya ya kimataifa ya kupambana na ufisadi ya Transparency International imesema kuwa, Dubai huko katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imekuwa maficho salama ya watakasishaji wa fedha chafu duniani kiasi kwamba, mafisadi na wahalifu wengine wanaweza kununua majumba ya kifahari katika eneo hilo bila ya kizuizi chochote.

  • Waziri wa zamani wa michezo Kenya kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za ufisadi

    Waziri wa zamani wa michezo Kenya kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za ufisadi

    Oct 13, 2018 15:56

    Waziri wa zamani wa michezo wa Kenya atapandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya kupora fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya wanariadha wa nchi hiyo walioshiriki michezo ya Olimpiki nchini Brazil miaka miwili iliyopita.

  • Maafisa wawili wa ngazi za juu Kenya watiwa nguvuni kwa tuhuma za ufisadi

    Maafisa wawili wa ngazi za juu Kenya watiwa nguvuni kwa tuhuma za ufisadi

    Aug 11, 2018 14:21

    Kenya imewatia nguvuni maafisa wawili wa ngazi za juu kwa tuhuma za ubadhirifu wa mali ya umma.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi

    Jul 06, 2018 14:25

    Mahakama ya Kupambana na Ufisadi ya Pakistan imempata na hatia ya ufisadi wa kifedha aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo pamoja na binti yake na kuwahukumu kifungo cha miaka 10 jela.

  • Waziri mkuu wa zamani Malaysia atiwa mbaroni kwa kuhusika na wizi wa mali ya umma

    Waziri mkuu wa zamani Malaysia atiwa mbaroni kwa kuhusika na wizi wa mali ya umma

    Jul 03, 2018 15:39

    Vyombo vya usalama vya Malaysia vimemtia nguvuni waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Najib Razak kufuatia uchunguzi unaoendelea juu ya upotevu wa mabilioni ya dola kutoka kwenye mfumo wa taifa aliouasisi yeye mwenyewe muongo mmoja uliopita.

  • Mke wa Netanyahu afunguliwa kesi ya ufisadi wa kifedha

    Mke wa Netanyahu afunguliwa kesi ya ufisadi wa kifedha

    Jun 21, 2018 13:54

    Mke wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefunguliwa rasmi faili la kesi ya ufisadi wa kifedha.

  • Wakenya waandamana kulaani ufisadi wa kifedha serikalini

    Wakenya waandamana kulaani ufisadi wa kifedha serikalini

    May 31, 2018 14:48

    Mamia ya wananchi wa Kenya wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Nairobi, kulalamikia kiwango kikubwa cha ufisadi wa fedha nchini humo.

  • Rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa miaka 24 jela kwa ufisadi

    Rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa miaka 24 jela kwa ufisadi

    Apr 06, 2018 14:00

    Mahakama ya Korea Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 24 jela, rais wa nchi hiyo aliyeuzuliwa Park Geun-hye, baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi wa kifedha iliyokuwa ikimkabili.

  • Mbunge wa Israel: Anachokifanya Netanyahu Syria, ni kupotosha tuhuma za ufisadi wake

    Mbunge wa Israel: Anachokifanya Netanyahu Syria, ni kupotosha tuhuma za ufisadi wake

    Feb 11, 2018 07:23

    Mwakilishi wa bunge la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Knesset, amesema kuwa, hatua ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel ya kuzusha mizozo ndani ya utawala huo ni kujaribu kupotosha fikra za walio wengi kuhusiana shutuma kubwa za ufisadi wa fedha zinazomkabili.

  • Chama tawala Afrika Kusini kumuuzulu Rais Zuma kwa nguvu

    Chama tawala Afrika Kusini kumuuzulu Rais Zuma kwa nguvu

    Jan 21, 2018 07:43

    Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimetishia kumuuzulu Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo iwapo hatakubali kuachia ngazi kwa khiari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS