Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ufisadi wa kifedha

  • Waisraeli waandamana dhidi ya Netanyahu kwa wiki ya tano

    Waisraeli waandamana dhidi ya Netanyahu kwa wiki ya tano

    Dec 31, 2017 14:47

    Maelfu ya Waisraeli wamemiminika mabarabarani kwa wiki ya tano mfululizo kushiriki maandamano ya kushinikiza kufungwa jela Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu kutokana na kashfa za ufisadi wa kifedha zinazomuandama.

  • Kiongozi mpya wa chama tawala nchini Afrika Kusini aahidi kupambana na ufisadi

    Kiongozi mpya wa chama tawala nchini Afrika Kusini aahidi kupambana na ufisadi

    Dec 21, 2017 16:16

    Cyril Ramaphosa kiongozi mpya wa chama tawala nchini Afrika Kusini ANC amesema leo kuwa ameazimia kukomesha ufisadi na kutekeleza sera ya mageuzi makali ya kiuchumi ambayo yataharakisha utaifishaji wa ardhi bila ya fidia.

  • Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu

    Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu

    Oct 08, 2017 07:50

    Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu utawala wa Kizayuni wameandamana huko Tel Aviv wakitaka kushughulikiwa kesi ya ufisadi inayomkabili Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu.

  • Kashfa ya ufisadi yamlazimu Waziri wa Afya Marekani ajiuzuluu kutoka serikali ya Trump

    Kashfa ya ufisadi yamlazimu Waziri wa Afya Marekani ajiuzuluu kutoka serikali ya Trump

    Sep 30, 2017 04:48

    Waziri wa Afya na Huduma za Binaadamu nchini Marekani, Tom Price amelazimika kujiuzulu kutokana na kashfa ya ufisadi inayomkabili.

  • Rais aliyeuzuliwa Korea Kusini akamatwa na kuzuiliwa na polisi

    Rais aliyeuzuliwa Korea Kusini akamatwa na kuzuiliwa na polisi

    Mar 31, 2017 14:42

    Rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa Korea Kusini, Park Geun-hye amekamatwa na polisi ya nchi hiyo kwa tuhuma za ufisadi na utumiaji mbaya wa madaraka.

  • Waendesha mashtaka Korea Kusini washinikiza kukamatwa rais aliyeuzuliwa

    Waendesha mashtaka Korea Kusini washinikiza kukamatwa rais aliyeuzuliwa

    Mar 27, 2017 07:50

    Waendesha mashtaka nchini Korea Kusini wametoa wito wa kutolewa waranti wa kukamatwa rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa nchi hiyo, Park Geun-hye.

  • Sisitizo la wapinzani wa Netanyahu la kujiuzulu Waziri Mkuu huyo wa Israel

    Sisitizo la wapinzani wa Netanyahu la kujiuzulu Waziri Mkuu huyo wa Israel

    Feb 05, 2017 07:20

    Upinzani dhidi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeongezeka sana hivi sasa. Mamia ya wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu wanaendelea kuandamana wakimshikinikiza Netanyahu ajiuzulu.

  • Benjamin Netanyahu azidi kuandamwa

    Benjamin Netanyahu azidi kuandamwa

    Jan 15, 2017 07:17

    Mamia ya wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano ya kulaani ufisadi wa kifedha wa viongozi wa utawala huo hususan Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel, mjini Tel Aviv.

  • SID: Serikali ya Jubilee nchini Kenya imeshindwa kupambana na ufisadi

    SID: Serikali ya Jubilee nchini Kenya imeshindwa kupambana na ufisadi

    Dec 15, 2016 06:53

    Shirika la kutetea haki za umma la SID limetangaza kuwa SERIKALI ya Jubilee nchini Kenya imetimiza ahadi moja pekee kati ya 30 ilizotoa kuhusiana na mikakati ya kupambana na ufisadi.

  • Maandamano ya raia wa Mali ya kuunga mkono maridhiano ya kitaifa

    Maandamano ya raia wa Mali ya kuunga mkono maridhiano ya kitaifa

    Jul 31, 2016 13:47

    Maelfu ya wananchi wa Mali wameshiriki katika maandamano makubwa ya kuunga mkono makubaliano ya amani na makundi ya wabeba silaha nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS