Jul 11, 2016 07:43
Mwezi mmoja baada ya televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutangaza kuwa, polisi ya utawala huo inaendesha uchunguzi wa siri kuhusiana na kashfa za ufisadi wa fedha dhidi Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu, sasa Mwanasheria Mkuu wa utawala huo amesema uchunguzi huo umefunguliwa rasmi.