Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ufisadi wa kifedha

  • SID: Serikali ya Jubilee nchini Kenya imeshindwa kupambana na ufisadi

    SID: Serikali ya Jubilee nchini Kenya imeshindwa kupambana na ufisadi

    Dec 15, 2016 03:23

    Shirika la kutetea haki za umma la SID limetangaza kuwa SERIKALI ya Jubilee nchini Kenya imetimiza ahadi moja pekee kati ya 30 ilizotoa kuhusiana na mikakati ya kupambana na ufisadi.

  • Maandamano ya raia wa Mali ya kuunga mkono maridhiano ya kitaifa

    Maandamano ya raia wa Mali ya kuunga mkono maridhiano ya kitaifa

    Jul 31, 2016 09:17

    Maelfu ya wananchi wa Mali wameshiriki katika maandamano makubwa ya kuunga mkono makubaliano ya amani na makundi ya wabeba silaha nchini.

  • Rais wa ICC atakiwa kujiuzulu kwa kupokea rushwa ili 'kumshtaki al-Bashir'

    Rais wa ICC atakiwa kujiuzulu kwa kupokea rushwa ili 'kumshtaki al-Bashir'

    Jul 27, 2016 02:52

    Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC anakabiliwa na mashinikizo ya kila upande ya kutaka ajiuzulu ili kupisha uchunguzi huru wa madai ya ufisadi wa kifedha dhidi yake katika kesi dhidi ya Rais wa Sudan Omar al-Bashir.

  • Uchunguzi wa kashfa za ufisadi dhidi ya Netanyahu waanza rasmi

    Uchunguzi wa kashfa za ufisadi dhidi ya Netanyahu waanza rasmi

    Jul 11, 2016 03:13

    Mwezi mmoja baada ya televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutangaza kuwa, polisi ya utawala huo inaendesha uchunguzi wa siri kuhusiana na kashfa za ufisadi wa fedha dhidi Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu, sasa Mwanasheria Mkuu wa utawala huo amesema uchunguzi huo umefunguliwa rasmi.

  • Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa

    Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa

    Jun 24, 2016 10:14

    Mahakama Kuu mjini Pretoria nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ya kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi wa kifedha dhidi yake, hatua ambayo ni pigo kwa rais huyo ambaye anakabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu kutoka viongozi wa upinzani.

  • Zuma akata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake

    Zuma akata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake

    Jun 10, 2016 09:36

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuagiza kufufuliwa kesi zaidi ya 700 za ufisadi wa kifedha dhidi yake.

  • Jitihada za serikali ya Kongo Brazaville katika kupambana na ufisadi

    Jitihada za serikali ya Kongo Brazaville katika kupambana na ufisadi

    Jun 04, 2016 23:17

    Serikali ya Jamhuri ya Kongo au Kongo Brazaville imesema kuwa ufisadi wa fedha unaoikabili nchi hiyo unakwamisha ustawi wa kiuchumi na kijamii nchini humo.

  • Mali waandamana kupinga ufisadi wa kuchupa mipaka wa viongozi wa serikali

    Mali waandamana kupinga ufisadi wa kuchupa mipaka wa viongozi wa serikali

    May 22, 2016 03:46

    Maelfu ya raia wa Mali wamefanya maandamano makubwa mjini Bamako, mji mkuu wa nchi hiyo kulalamikia utendaji duni wa serikali na ufisadi mkubwa wa viongozi wa serikali.

  • AU yaelezea kusikitishwa na kiwango kikubwa cha ufisadi barani Afrika

    AU yaelezea kusikitishwa na kiwango kikubwa cha ufisadi barani Afrika

    May 08, 2016 03:05

    Umoja wa Afrika AU umeelezea kusikitishwa sana na kiwango cha juu cha ufisadi katika nchi za bara hilo.

  • Wabunge wa Afrika Kusini watandikana juu ya hotuba ya Zuma

    Wabunge wa Afrika Kusini watandikana juu ya hotuba ya Zuma

    May 04, 2016 22:16

    Bunge la Afrika Kusini jana Jumatano liligeuka na kuwa ukumbi wa mieleka huku wabunge wa upinzani wakizusha fujo kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma juu ya bajeti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS