Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Magaidi waua makumi ya askari wa Mali Timbuktu, Boulkessi

    Magaidi waua makumi ya askari wa Mali Timbuktu, Boulkessi

    Jun 03, 2025 03:18

    Kundi la kigaidi lenye mafungamano na mtandao wa Al Qaeda katika eneo la Sahel, Magharibi mwa Afrika limedai kufanya mashambulizi kadhaa nchini Mali na kuua makumi ya wanajeshi.

  • Wanajeshi 70 wa Benin wauawa katika shambulio la kigaidi

    Wanajeshi 70 wa Benin wauawa katika shambulio la kigaidi

    Apr 20, 2025 12:56

    Kundi la kigaidi la Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM) lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limetangaza kuwa wapiganaji wake wameua wanajeshi 70 katika mashambulizi dhidi ya vituo viwili vya kijeshi kaskazini mwa Benin.

  • Kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji

    Kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji

    Apr 10, 2025 02:54

    Watu wasiopungua watano wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya katika shambulio la kigaidi katika jimbo la Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji.

  • Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia

    Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia

    Feb 13, 2025 06:50

    Makumi ya wanamgambo wa ISIS wameuawa katika makabiliano makali na vikosi vya usalama katika eneo linalojitawala la Puntland huko Somalia jana Jumatano, huku vikosi vya usalama vikipata hasara katika mapigano hayo yaliyoanza Jumanne iliyopita.

  • Nchi za Magharibi zina nafasi gani katika kuongezeka ugaidi Afrika? 

    Nchi za Magharibi zina nafasi gani katika kuongezeka ugaidi Afrika? 

    Jan 23, 2025 02:48

    Kuongezeka kwa shughuli za kigaidi katika maeneo mbalimbali ya Afrika kumegeuka kuwa tatizo kubwa katika bara hilo na pia katika mataifa mengi duniani. Hivi sasa, makundi kadhaa ya kigaidi yanaendesha shughuli zao katika maeneo tofauti ya Afrika.

  • Onyo kuhusu athari za kiusalama za mpasuko wa anga ya kisiasa ya Marekani

    Onyo kuhusu athari za kiusalama za mpasuko wa anga ya kisiasa ya Marekani

    Jan 07, 2025 02:40

    Tovuti ya mtandao wa televisheni ya Marekani NBC imeandika katika ripoti yake kuhusu suala la kushamiri itikadi kali katika anga ya mtandaoni, ikionya kuhusu madhara ya usalama ya mpasuko wa nga ya kisiasa ya Marekani.

  • Gharib Abadi: Iran ni mhanga na iko mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Gharib Abadi: Iran ni mhanga na iko mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Jan 01, 2025 12:40

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisheria na kimataifa amesema kuwa ugaidi ni tatizo linalotishia amani na utulivu wa jamii na kwamba Iran ni mhanga wa uovu huu, na daima iko mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Araghchi: Matukio ya Syria ni sehemu ya njama za Wamarekani na Wazayuni dhidi ya eneo

    Araghchi: Matukio ya Syria ni sehemu ya njama za Wamarekani na Wazayuni dhidi ya eneo

    Dec 02, 2024 07:23

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake na Rais Bashar al-Assad wa Syria mjini Damascus, kwamba matukio ya Syria ni sehemu ya njama za Wazayuni na Wamarekani dhidi ya eneo la Asia Magharibi.

  • Kanani: Kuwekewa vikwazo ndege za Iran ni ugaidi wa kiuchumi wa nchi za Magharibi

    Kanani: Kuwekewa vikwazo ndege za Iran ni ugaidi wa kiuchumi wa nchi za Magharibi

    Sep 11, 2024 07:07

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ameichukulia kauli ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kuhusiana na kufutwa makubaliano ya pande mbili ya kutoa huduma za anga kwa Iran kuwa ni ugaidi wa kiuchumi wa nchi za Magharibi dhidi ya taifa la Iran.

  • Iran: Uingereza inaendeleza siasa za kindumilakuwili kuhusu ugaidi

    Iran: Uingereza inaendeleza siasa za kindumilakuwili kuhusu ugaidi

    Aug 31, 2024 04:16

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini London umeilaumu Uingereza kwa siasa zake za nyuso mbili kuhusu ugaidi na kusema kuwa, wakati wananchi wa Iran wanapouawa kigaidi, kwa mujibu wa serikali ya London, ugaidi huo unavumilika, na hauwezi kuchukuliwa msimamo kama wa ugaidi unaofanyika maeneo mengine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS