-
Wakazi wa mkoa wa al Hasakah Syria waanzisha mapambano ya kuwafukuza wanajeshi wa Marekani
Feb 13, 2020 23:10Gavana wa mkoa wa al Hasakah nchini Syria amezitaja hatua za mapambano zilizochukuliwa na raia wa vijiji kadhaa vya mkoa huo dhidi ya wanajeshi wa Marekani kuwa ni kuanza kwa mapambano ya wananchi ya kuwafukuza wanajeshi vamizi wa Marekani huko Syria.
-
Rais wa Mali: Serikali iko tayari kuzungumza na makundi ya kigaidi
Feb 11, 2020 08:42Rais Ibrahim Boubacar Keita wa Mali amesema serikali yake iko tayari kukutana na kufanya mazungumzo na makundi ya kigaidi kwa shabaha ya kumaliza jinamizi la ugaidi ambalo mbali na kuchochea mapigano ya kikabila, pia limeifanya nchi hiyo ishindwe kutawalika na kustawi.
-
Rouhani: Vikwazo vya madawa vya Marekani dhidi ya taifa la Iran ni kitendo cha kigaidi
Feb 06, 2020 04:06Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinakiuka sheria na kanuni za kimataifa na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kuongeza kuwa, vikwazo hivyo ni hatua ya kigaidi.
-
Syria: Ugaidi wa kiuchumi ni mwendelezo wa ugaidi wa kifizikia
Jan 30, 2020 09:59Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa ugaidi wa kiuchumi ni mwendelezo wa hatua zilizo dhidi ya ubinaadamu za kuyatumia makundi ya kigaidi.
-
Matokeo hasi ya chokochoko za Marekani Asia Magharibi
Jan 23, 2020 23:22Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa hatua na chokochoko za kijeshi zinazofanywa na Marekani katika eneo la Asia Magharibi, ndio chanzo cha machafuko ndani ya eneo hilo na ameongeza kuwa, uthibitisho wa mwisho wa jambo hilo ni kumuua kigaidi Luteni Qassem Soleimani katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Baghadad, Iraq.
-
Ugaidi, vikwazo na mauaji ya kigaidi, stratijia tatu za Magharibi dhidi ya kambi ya muqawama
Jan 19, 2020 07:27Wizara ya Fedha ya Uingereza katika hatua yake ya uhasama, imeliweka kikamilifu jina la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon katika orodha yake ya taasisi ambazo kwa mtazamo wa London ni za kigaidi.
-
Rais Rouhani wa Iran: Wamarekani wahitimishe hatua zao ghalati
Jan 10, 2020 08:33Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa anataraji kwamba Wamarekani watahitimisha hatua zao ghalati, lakini iwapo watatekeleza hatua nyingine iliyo dhidi ya maslahi ya Iran, basi watapata jibu kali mkabala.
-
Waasi wa Nigeria waua wanajeshi 20 na kufanya uharibifu mkubwa
Jan 09, 2020 04:33Askari wasiopungua 20 wa jeshi la Nigeria wameuawa na watu wengine karibu elfu moja wamelazimika kukimbia makazi yao baada ya waasi kushambulia mji mmoja ulioko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Muungano wa Marekani wahamisha makao yake makuu kutoka Iraq hadi Kuwait
Jan 07, 2020 23:21Muungano eti wa kupambana na kundi la Daesh unaoongozwa na Marekani umehamisha makao yake makuu kutoka Iraq na kuyapeleka Kuwait kufuatia mauaji ya Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Naibu Kamanda wa kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq, al Hashdul Shaabi Abu Mahdi al Muhandes, na sisitizo la Iran la kulipiza kisasi mauaji hayo ya kigaidi yaliyofanywa na Marekani.
-
Wairaqi walaani vikali kuuawa Qassem Soleimani na Abu Mahdi
Jan 03, 2020 23:20Shakhasia mbali mbali wa kisiasa na kidini nchini Iraq wamelaani vikali hujuma ya kigaidi ya Mareknai ambayo imepelekea Meja Jenerali Qassem Suleimani na Naibu Mkuu wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq (Al Hashd al Shaabi) Abu Mahdi la Muhandis kuuawa shahidi.