Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Larijani: Vita athirifu dhidi ya ugaidi vinategemea umoja wa nchi za eneo

    Larijani: Vita athirifu dhidi ya ugaidi vinategemea umoja wa nchi za eneo

    Dec 25, 2017 11:23

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vita athirifu dhidi ya ugaidi vinategemea umoja na mshikamano wa nchi za eneo katika suala hilo.

  • Dunia yaafiki pendekezo la Iran la kupambana na misimamo mikali

    Dunia yaafiki pendekezo la Iran la kupambana na misimamo mikali

    Dec 21, 2017 07:40

    Azimio lililopendekezwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu 'Dunia Dhidi ya Machafuko na Misimamo Mikali' liliidhinishwa kwa mara ya tatu na kwa kauli moja na nchi zote za dunia Jumatano katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

  • Russia yaitahadharisha Marekani kuhusu kuwapatia silaha mpya magaidi huko Syria

    Russia yaitahadharisha Marekani kuhusu kuwapatia silaha mpya magaidi huko Syria

    Dec 17, 2017 11:04

    Russia imeitahadharisha Marekani kuhusu taathira za kuwapatia silaha mpya magaidi waliopo Syria.

  • Larijani: Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa kupambana na ugaidi

    Larijani: Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa kupambana na ugaidi

    Dec 04, 2017 23:17

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mazunguumzo ya Tehran na Moscow kuhusu kupambana na ugaidi na ushirikiano wa pamoja katika uwanja huo utaendelea.

  • Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512

    Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512

    Dec 02, 2017 00:45

    Watu 512 sasa wamebainika kupoteza maisha katika miripuko miwili ya mabomu iliyojiri katika mkuu wa Somalia, Mogadishu mwezi Oktoba, imesema kamati ya kuchunguza hujuma hiyo.

  • Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia

    Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia

    Dec 01, 2017 03:51

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alitangaza siku ya Jumatano kuwa Saudi Arabia inapaswa ikatishe ufadhili wake wa kifedha kwa makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Frankfurter Allgemeine: Utendaji mbaya wa serikali ya al Sisi unachochea ugaidi

    Frankfurter Allgemeine: Utendaji mbaya wa serikali ya al Sisi unachochea ugaidi

    Nov 27, 2017 11:35

    Gazeti la Frankfurter Allgemeine Zeitung linalochapishwa nchini Ujerumani limeshambulia vikali utendaji mbaya wa serikali ya Rais Abdul Fattah al Sisi nchini Misri na kusema inahusika kwa njia moja au nyingine katika kuchochea ugaidi.

  • Gebran Bassil: Jumuiya ya Nchi za Kiarabu inapaswa kutofautisha baina ya muqawama na ugaidi

    Gebran Bassil: Jumuiya ya Nchi za Kiarabu inapaswa kutofautisha baina ya muqawama na ugaidi

    Nov 25, 2017 12:40

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon ameamwandikia barua Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) akimwambia kwamba, umoja huo unapaswa kufungamana na makubaliano ya Waarabu ambayo yalitofautisha baina ya muqawama na ugaidi.

  • Iran: Afrika isigeuzwe kimbilio la magenge ya kigaidi na ukufurishaji

    Iran: Afrika isigeuzwe kimbilio la magenge ya kigaidi na ukufurishaji

    Nov 24, 2017 12:25

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kufanyika jitihada za kuzuia bara la Afrika kugeuka kuwa kimbilio na kitovu cha magenge ya kigaidi na yenye misimamo ya kufurutu ada, kufuatia kusambaratishwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi za Syria na Iraq.

  • Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi

    Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi

    Nov 21, 2017 04:38

    Rais Vladimir Putin wa Russia amempongeza Rais Bashar al-Assad wa Syria kufuatia ushindi mkubwa wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS