-
Larijani: Vita athirifu dhidi ya ugaidi vinategemea umoja wa nchi za eneo
Dec 25, 2017 11:23Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vita athirifu dhidi ya ugaidi vinategemea umoja na mshikamano wa nchi za eneo katika suala hilo.
-
Dunia yaafiki pendekezo la Iran la kupambana na misimamo mikali
Dec 21, 2017 07:40Azimio lililopendekezwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu 'Dunia Dhidi ya Machafuko na Misimamo Mikali' liliidhinishwa kwa mara ya tatu na kwa kauli moja na nchi zote za dunia Jumatano katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Russia yaitahadharisha Marekani kuhusu kuwapatia silaha mpya magaidi huko Syria
Dec 17, 2017 11:04Russia imeitahadharisha Marekani kuhusu taathira za kuwapatia silaha mpya magaidi waliopo Syria.
-
Larijani: Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa kupambana na ugaidi
Dec 04, 2017 23:17Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mazunguumzo ya Tehran na Moscow kuhusu kupambana na ugaidi na ushirikiano wa pamoja katika uwanja huo utaendelea.
-
Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512
Dec 02, 2017 00:45Watu 512 sasa wamebainika kupoteza maisha katika miripuko miwili ya mabomu iliyojiri katika mkuu wa Somalia, Mogadishu mwezi Oktoba, imesema kamati ya kuchunguza hujuma hiyo.
-
Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia
Dec 01, 2017 03:51Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alitangaza siku ya Jumatano kuwa Saudi Arabia inapaswa ikatishe ufadhili wake wa kifedha kwa makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Frankfurter Allgemeine: Utendaji mbaya wa serikali ya al Sisi unachochea ugaidi
Nov 27, 2017 11:35Gazeti la Frankfurter Allgemeine Zeitung linalochapishwa nchini Ujerumani limeshambulia vikali utendaji mbaya wa serikali ya Rais Abdul Fattah al Sisi nchini Misri na kusema inahusika kwa njia moja au nyingine katika kuchochea ugaidi.
-
Gebran Bassil: Jumuiya ya Nchi za Kiarabu inapaswa kutofautisha baina ya muqawama na ugaidi
Nov 25, 2017 12:40Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon ameamwandikia barua Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) akimwambia kwamba, umoja huo unapaswa kufungamana na makubaliano ya Waarabu ambayo yalitofautisha baina ya muqawama na ugaidi.
-
Iran: Afrika isigeuzwe kimbilio la magenge ya kigaidi na ukufurishaji
Nov 24, 2017 12:25Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kufanyika jitihada za kuzuia bara la Afrika kugeuka kuwa kimbilio na kitovu cha magenge ya kigaidi na yenye misimamo ya kufurutu ada, kufuatia kusambaratishwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi za Syria na Iraq.
-
Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi
Nov 21, 2017 04:38Rais Vladimir Putin wa Russia amempongeza Rais Bashar al-Assad wa Syria kufuatia ushindi mkubwa wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi.