-
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani apinga vikali suala la kunasibishwa Uislamu na ugaidi
Feb 19, 2017 10:48Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amekosoa vikali propaganda chafu na hasi zinazofanywa dhidi ya Uislamu pamoja na dini nyingine.
-
Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi
Feb 19, 2017 04:13Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.
-
Wasiwasi wa kuenea fikra za Uwahabi wa Saudia barani Ulaya
Feb 10, 2017 04:28Serikali ya Ubelgiji imeonyesha wasi wasi wake juu ya kuenea mafundisho ya Uwahabi unaoungwa mkono na utawala wa Saudi Arabia ndani ya nchi hiyo na mataifa mengine ya Ulaya.
-
Larijani: Waungaji mkono wa ugaidi hawamo kwenye orodha ya Trump ya marufuku ya viza
Feb 01, 2017 23:22Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi zinazounga mkono ugaidi hazimo kwenye orodha ya marufuku ya viza iliyotolewa na Rais wa Marekani.
-
Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi
Feb 01, 2017 04:04Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa kimataifa unahitajika iwapo dunia inataka natija katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Tunisia katika mtanziko wa kiusalama; magaidi elfu tatu wapo nje ya nchi
Jan 02, 2017 22:55Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia tarehe 31 mwezi Disemba mwaka jana alieleza kuwa magaidi elfu tatu raia wa Tunisia wametapakaa katika pembe mbalimbali za dunia khususan huko Iraq, Syria na Libya.
-
Amani na mapatano ya kitaifa, kipaumbele cha wakuu wa Afrika mwaka 2017
Jan 02, 2017 00:49Viongozi wa nchi za Kiafrika wamesema kuwa siasa zao kwa mwaka mpya wa 2017 zinatoa kipaumbele kwa suala la kurejesha amani na kupatikana suluhu ya kitaifa barani humo.
-
Tahadhari ya maafisa usalama wa Tunisia kuhusu kurejea magaidi nchini humo
Dec 27, 2016 01:11Licha ya kupita miaka sita ya tangu kutokea mapinduzi ya wananchi huko Tunisia, hali ya usalama ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika bado si ya utulivu na hivi sasa kuna wasiwasi mkubwa wa kurejea magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi nchini humo.
-
Sisitizo la Umoja wa Afrika la kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab
Dec 21, 2016 23:32Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kwa mara nyingine tena kimesisitiza juu ya azma yake ya kukabiliana na tishio la kundi la kigaidi la al-Shabab.
-
Rais wa Russia awataka walimwengu wapambane kwa dhati na ugaidi
Dec 21, 2016 03:32Rais Vadimir Putin wa Russia ametoa wito wa kuweko vita vya kweli vya kupambana na ugaidi wa kimataifa.