-
Maelfu ya watu watiwa mbaroni Saudi Arabia kwa tuhuma za ugaidi
Dec 17, 2016 23:31Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza habari ya kutiwa nguvuni maelfu ya watu nchini humo kwa tuhuma za kuwa na mahusiano na makundi ya kigaidi.
-
Marekani, mhusika wa kujitokeza ugaidi katika Mashariki ya Kati
Dec 15, 2016 08:11Vitalin Churkin, balozi na mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema uingiliaji wa Marekani katika nchi za Iraq na Syria ndio uliosababisha kujitokeza Daesh na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati. Churkin aidha amesema Uingereza na Ufaransa ni washirika wa jinai za Marekani katika kuvuruga amani Mashariki ya Kati.
-
Hamas: Himaya ya Marekani kwa Israel ni kuunga mkono ugaidi
Dec 10, 2016 23:37Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, himaya na uungaji mkono wa Marekani kwa utawala haramu wa Israel ni uungaji mkono kwa ugaidi.
-
Maafisa sita wa polisi wauawa katika hujuma ya kigaidi Cairo
Dec 09, 2016 10:42Maafisa sita wa polisi nchini Misri wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa leo Ijumaa baada ya bomu la kutegwa barabarnai kulipuka katika kituo kimoja cha upekuzi mjini Cairo.
-
Rais wa Senegal asisitiza kutokomezwa ugaidi barani Afrika
Dec 07, 2016 00:27Rais Macky Sall wa Senegal amesisitizia ulazima wa kung'olewa na kutokomezwa mizizi ya ugaidi katika nchi zote za Afrika.
-
Oparesheni ya Kenya ya kukusanya silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia
Dec 05, 2016 08:50Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa kukusanya silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.
-
Tunisia yasambaratisha makundi 160 ya magaidi
Dec 03, 2016 10:42Vikosi vya usalama Tunisia vimefanikiwa kusambaratisha makundi 160 ya kigaidi nchini humo katika miezi 10 ya kwanza ya mwaka huu.
-
Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi
Nov 29, 2016 10:20Washiriki katika mkutano wa kimataifa wa 16 wa Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) wametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kuanzisha ulimwengu wenye amani na usalama.
-
Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake
Nov 28, 2016 23:30Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa sera za nchi za Magharibi za kuyatumia makundi ya kigaidi kama wenzo wa kufikia malengo yao na kusisitiza kuwa mchezo huo mchafu umesababisha matatizo mengi.
-
Iran: Ugaidi ni tishio kwa nchi za Afrika na Asia Magharibi
Nov 22, 2016 04:30Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye anashughulikia masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika amesema ugaidi ni tatizo la kimataifa na tishio la pamoja kwa nchi za bara Afrika na eneo la magharibi mwa bara Asia.