Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Zarif: Muqawama umesambaratisha njama za magaidi Lebanon

    Zarif: Muqawama umesambaratisha njama za magaidi Lebanon

    Nov 08, 2016 04:00

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema harakati za kimuqawama ndizo zimesambaratisha njama za maadui na magaidi nchini Lebanon.

  • Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika

    Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika

    Nov 08, 2016 03:48

    Gazeti la Washington Post la Marekani limeandika makala kuhusu kuenea Uwahhabi nchini Nigeria na kuongeza kuwa, utawala wa Saudi Arabia unaaunga mkono viongozi wa Mawahhabi ili waweze kueneza Uwahhabi nchini humo na kote barani Afrika.

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi Samarra na Tikrit Iraq

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi Samarra na Tikrit Iraq

    Nov 07, 2016 00:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyopelekea watu wasiopungua 21 kuuawa katika miji ya Samarra na Tikrit nchini Iraq jana Jumapili.

  • Iran: Wananchi wamevunja njama zote za maadui

    Iran: Wananchi wamevunja njama zote za maadui

    Nov 05, 2016 23:13

    Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran amesema kuwa, kushiriki vilivyo wananchi katika nyuga tofauti kumefanikiwa kuvunja njama zote za maadui.

  • Wamarekani wahofia kutokea mashambulizi ya kigaidi wakati wa uchaguzi

    Wamarekani wahofia kutokea mashambulizi ya kigaidi wakati wa uchaguzi

    Nov 05, 2016 11:38

    Viongozi wa serikali ya Marekani wameonya juu ya uwezekano wa kutokea mashambulizi ya kigaidi siku ya uchaguzi wa rais na kuwataka wananchi wajiandae kwa hilo.

  • Rais Rouhani asisitiza umoja kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Rais Rouhani asisitiza umoja kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Nov 05, 2016 04:09

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuimarishwa umoja na mshikamano kwa ajili ya kuimarisha usalama na amani ya Mashariki ya Kati.

  • Rais wa Ghana atoa wito wa kuweko vita vya kweli dhidi ya ugaidi

    Rais wa Ghana atoa wito wa kuweko vita vya kweli dhidi ya ugaidi

    Oct 31, 2016 11:18

    Rais wa Ghana amesisitiza juu ya kuchukuliwa hatua za maana na zenye mipango madhubuti kwa ajili ya kukabiliana na ugaidi wa kimataifa.

  • Watu 10 wauawa kaskazini mwa Misri

    Watu 10 wauawa kaskazini mwa Misri

    Oct 30, 2016 12:07

    Watu 10 wameuawa katika mapigano baina ya jeshi la Misri na watu wenye silaha katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera

    Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera

    Oct 25, 2016 04:10

    Watu 12 wameuawa na wengine wengi kuachwa na majeraha ya risasi baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi, usiku wa jana.

  • Magaidi washambulia chuo cha polisi na kuua 55 nchini Pakistan

    Magaidi washambulia chuo cha polisi na kuua 55 nchini Pakistan

    Oct 25, 2016 01:08

    Makumi ya makurutu wameuawa baada ya genge la kigaidi kushambulia chuo cha kutoa mafunzo ya polisi kusini magharibi mwa Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS