-
Larijani: Marekani inachochea ugaidi kupitia vita
Oct 18, 2016 03:31Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema Marekani inachochea ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati na duniani kote kwa ujumla kwa kutumia anga ya vita na mapigano.
-
Mgogoro wa Syria na ukwamishaji wa viongozi wa Marekani
Oct 08, 2016 02:50Marekani imekuwa ikifanya njama mbalimbali za kukwamisha jitihada za kuutafutia ufumbuzi wa kisiasa mgogoro wa nchi ya Kiarabu ya Syria, suala ambalo limewafanya maafisa wa Umoja wa Mataifa washindwe kuvumilia na kuamua kuilalamikia Marekani kwa njama zake hizo.
-
Iran yazitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kujinufaisha
Oct 05, 2016 11:21Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kufikia malengo na maslahi yao ya kibinafsi.
-
Iran: Ugaidi umezuia kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu
Oct 04, 2016 04:43Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema ugaidi na misimamo mikali ya kufurutu ada vimekuwa kizingiti kikuu katika kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs.
-
Saudia inaunga mkono wahalifu mashariki mwa Iran
Sep 30, 2016 03:39Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran Abdul Ridha Rahman Fadhli amesema Saudi Arabia inaunga mkono wahalifu katika eneo la mashariki mwa nchi.
-
Russia: Kauli ya Marekani ni dhihirisho kuwa inaunga mkono ugaidi
Sep 29, 2016 10:50Serikali ya Moscow imesema matamshi ya hivi karibuni ya Marekani kuwa magaidi wa Daesh wanaofanya mashambulizi dhidi ya Syria yumkini wakaanza kuishambulia miji ya Russia ni ithibati tosha kuwa Washington inaunga mkono ugaidi.
-
Rais Rouhani: Iran inapambana na magaidi kwa nguvu kubwa
Sep 28, 2016 10:21Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapambana na ugaidi kwa nguvu kubwa katika eneo na dunia nzima kwa jumla.
-
Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab
Sep 27, 2016 11:38Afisa wa ngazi za juu katika polisi ya Kenya amesema vikosi vyote vya usalama nchini humo vina azma imara ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab.
-
Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui
Sep 13, 2016 02:29Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamewakana na kuwalaani wanawake watatu waliotekeleza hujuma ya kigaidi dhidi ya kituo cha polisi mjini Mombasa siku ya Jumapili.
-
Magaidi wanaopata msaada wa Saudia wauawa nchini Iran
Sep 12, 2016 03:31Askari wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wamesambaratisha mtandao wa magaidi wanaopata himaya ya Saudi Arabia na Marekani katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini mashariki mwa nchi.