-
Rais Rouhani: Chimbuko la ugaidi katika eneo chanzo chake ni utendaji wa Marekani
Aug 28, 2016 03:19Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema chimbuko na kuenea ugaidi katika Mashariki ya Kati ni matokeo ya utendaji wa Marekani katika vita dhidi ya Iraq na Afghanistan na mgogoro wa Syria.
-
Rwanda yatahadharisha magaidi, yaua washukiwa 4
Aug 23, 2016 01:41Vyombo vya usalama nchini Rwanda vimesema havitafumbia macho yeyote atakayejaribu kujihusisha na mambo ya ugaidi kwa lengo la kuhatarisha usalama na amani ya nchi hiyo.
-
"Silaha za Marekani zinachochea ugaidi Mashariki ya Kati"
Aug 18, 2016 09:51Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Kijani nchini Marekani amesema kuna haja ya kuwekewa vikwazo vya silaha nchi zinazochochea machafuko na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kusisitiza kuwa, Washington imechangia pakubwa hali ya mchafukoge na harakati za ugaidi katika nchi za eneo hilo.
-
Iran: Undumakuwili ndio umeupa nguvu ugaidi duniani
Aug 09, 2016 23:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya hospitali katika mji wa Quetta nchini Pakistan na kusisitiza kuwa, usuasa za kindumakuwili ndizo zimekuza na kuzipa nguvu harakati za kigaidi katika kona mbalimbali za dunia.
-
Rouhani: Ugaidi kwa jina la Uislamu ni kwa faida ya maadui wa dini hii
Aug 08, 2016 03:15Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyakosoa vikali makundi ya kigaidi yanayoendeleza harakati zao za kikatili kwa jina la Uislamu na kusisitiza kuwa vitendo hivyo vinafanyika kwa maslahi na manufaa ya maadui na wanaoeneza chuki dhidi ya dini hiyo tukufu.
-
Assad akosoa waungaji mkono wa makundi ya kigaidi
Aug 04, 2016 23:50Rais wa Syria amesema kuwa uungaji mkono wa baadhi ya nchi kwa suala la ugaidi ndiyo sababu ya machafuko na kuwepo ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla.
-
Trump ataka kuchunguzwa ustahiki wa raia wa Ufaransa na Ujerumani
Jul 24, 2016 08:49Donald Trump mgombea wa kiti cha urais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani ametaka kuchunguzwa ustahiki wa raia wa Ufaransa na Ujerumani.
-
Özdemir: Saudia ndiyo chimbuko la ugaidi wa kimataifa
Jul 24, 2016 10:40Mwenyekiti wa Chama cha Kijani cha Ujerumani (Green Party) amesema kuwa Saudi Arabia ndiyo chanzo cha ugaidi unaoonekana kote duniani.
-
Rezaei: Saudia inaendelea kutuma magaidi nchini Iran
Jul 24, 2016 03:27Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kuendelea kuyaunga mkono makundi ya kigaidi na kuyatuma hapa nchini kutekeleza mashambulizi.
-
Waziri Mkuu wa Ufaransa aonya kuhusu hujuma dhidi ya Waislamu nchini humo
Jul 21, 2016 23:49Waziri Mkuu wa Ufaransa ameonya kuhusu hatari ya kuhujumiwa Waislamu wanaoishi nchini humo.