Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Wanafunzi wa sekondari Senegal wakamatwa kwa 'ugaidi'

    Wanafunzi wa sekondari Senegal wakamatwa kwa 'ugaidi'

    Jul 20, 2016 03:09

    Polisi ya Senegal inawazuilia wanafunzi wanne wa shule moja ya upili kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kigaidi.

  • Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi

    Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi

    Jul 18, 2016 09:30

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema Uislamu hauna uhusiano na ugaidi na kuongeza kuwa kile kinachodaiwa kuwa ni 'Ugaidi wa Kiislamu' ni fikra ya Wamagharibi ambao wanaunga mkono kundi la kigaidi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya wakufurishaji.

  • Ushirikiano wa Togo na Burkina Faso katika vita dhidi ya ugaidi

    Ushirikiano wa Togo na Burkina Faso katika vita dhidi ya ugaidi

    Jul 18, 2016 23:50

    Nchi mbili za magharibi mwa Afrika za Togo na Burkina Faso zimesisitizia wajibu wa kushirikiana katika kupambana na ugaidi kwenye eneo lao.

  • Rais Sally: Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi

    Rais Sally: Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi

    Jul 17, 2016 03:36

    Rais wa Senegal amesema kuwa Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi duniani.

  • Ripoti ya siri ya Kongresi: Saudia ilihusika katika mashambulizi ya Septemba 11

    Ripoti ya siri ya Kongresi: Saudia ilihusika katika mashambulizi ya Septemba 11

    Jul 16, 2016 02:18

    Kongresi ya Marekani imechapicha sehemu moja ya ripoti ya siri kuhusu mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani mbayo inaeleza uwezekano kwamba Saudi Arabia ilikuwa na uhusiano na watekelezaji wa mashambulizi hayo.

  • Wanajeshi wa Iraq waikaribia ngome kuu ya Daesh, Mosul

    Wanajeshi wa Iraq waikaribia ngome kuu ya Daesh, Mosul

    Jul 14, 2016 23:42

    Wanajeshi wa Iraq wamekaribia kufika kwenye mji wa Mosul ambao ni ngome kuu ya kundi la kigaidi la Daesh yaani ISIS, katika juhudi za Baghdad za kuwafurusha magaidi hao katika kona zote za nchi hiyo.

  • Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Jul 14, 2016 23:41

    Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.

  • Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi

    Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi

    Jul 14, 2016 03:22

    Maafisa wasiopungua sita wa polisi wanaripotiwa kuuawa nchini Kenya baada ya gaidi kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi inayopakana na Uganda.

  • Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba

    Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba

    Jul 11, 2016 02:57

    Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limesema halitatuma askari wake kwenda kudhibiti hali ya mambo nchini Sudan Kusini, muda mfupi baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitaka nchi za kanda ya Afrika Mashariki kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro na mapigano mapya yaliyozuka nchini humo.

  • Mbunge Iran anusurika kuuawa na magaidi

    Mbunge Iran anusurika kuuawa na magaidi

    Jul 10, 2016 23:09

    Mbunge mmoja nchini Iran amenusurika kuuawa katika hujuma ya kigaidi katika mkoa wa Kermanshah magharibi mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS