-
Wanafunzi wa sekondari Senegal wakamatwa kwa 'ugaidi'
Jul 20, 2016 03:09Polisi ya Senegal inawazuilia wanafunzi wanne wa shule moja ya upili kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kigaidi.
-
Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi
Jul 18, 2016 09:30Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema Uislamu hauna uhusiano na ugaidi na kuongeza kuwa kile kinachodaiwa kuwa ni 'Ugaidi wa Kiislamu' ni fikra ya Wamagharibi ambao wanaunga mkono kundi la kigaidi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya wakufurishaji.
-
Ushirikiano wa Togo na Burkina Faso katika vita dhidi ya ugaidi
Jul 18, 2016 23:50Nchi mbili za magharibi mwa Afrika za Togo na Burkina Faso zimesisitizia wajibu wa kushirikiana katika kupambana na ugaidi kwenye eneo lao.
-
Rais Sally: Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi
Jul 17, 2016 03:36Rais wa Senegal amesema kuwa Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi duniani.
-
Ripoti ya siri ya Kongresi: Saudia ilihusika katika mashambulizi ya Septemba 11
Jul 16, 2016 02:18Kongresi ya Marekani imechapicha sehemu moja ya ripoti ya siri kuhusu mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani mbayo inaeleza uwezekano kwamba Saudi Arabia ilikuwa na uhusiano na watekelezaji wa mashambulizi hayo.
-
Wanajeshi wa Iraq waikaribia ngome kuu ya Daesh, Mosul
Jul 14, 2016 23:42Wanajeshi wa Iraq wamekaribia kufika kwenye mji wa Mosul ambao ni ngome kuu ya kundi la kigaidi la Daesh yaani ISIS, katika juhudi za Baghdad za kuwafurusha magaidi hao katika kona zote za nchi hiyo.
-
Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia
Jul 14, 2016 23:41Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.
-
Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi
Jul 14, 2016 03:22Maafisa wasiopungua sita wa polisi wanaripotiwa kuuawa nchini Kenya baada ya gaidi kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi inayopakana na Uganda.
-
Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba
Jul 11, 2016 02:57Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limesema halitatuma askari wake kwenda kudhibiti hali ya mambo nchini Sudan Kusini, muda mfupi baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitaka nchi za kanda ya Afrika Mashariki kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro na mapigano mapya yaliyozuka nchini humo.
-
Mbunge Iran anusurika kuuawa na magaidi
Jul 10, 2016 23:09Mbunge mmoja nchini Iran amenusurika kuuawa katika hujuma ya kigaidi katika mkoa wa Kermanshah magharibi mwa nchi.