-
Mwanae bin Laden aitisha Marekani kuwa atalipiza kisasi
Jul 10, 2016 23:04Mwana wa kiume wa Osama bin Laden, kinara wa zamani wa mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda ametuma ujumbe wa sauti na kuitishia Marekani kuwa, atalipiza kisasi damu ya baba yake.
-
Rouhani: Ugaidi ni tishio kwa dunia nzima
Jul 06, 2016 00:02Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mkono wa kheri na nafaka kwa kuwadia sherehe za Idul-Fitri na kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa marais wa nchi za Kiislamu na kusema kuwa, jinamizi la ugaidi ni tishio sio tu kwa nchi jirani na marafiki wa Jamhuri ya Kiislamu katika eneo hili Mashariki ya Kati, bali kote duniani.
-
Iran yataka Waislamu waungane kukabiliana na ugaidi
Jul 05, 2016 09:09Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif amelaani vikali msururu wa hujuma za kigaidi nchini Saudi Arabia katika Mji Mtakatifu wa Madina na miji ya Qatif na Jeddah.
-
Zarif: Iran haitopumzika hadi ugaidi utokomezwe duniani
Jul 04, 2016 02:44Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema katu haitapumzika hadi pale ugaidi na idiologia za kuchupa mipaka za magaidi zitakapotokomezwa kikamilifu.
-
Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati
Jun 24, 2016 22:41Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono kwa hali na mali na Saudia na Marekani yanatishia usalama wa eneo hili la Mashariki ya Kati.
-
Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani
Jun 17, 2016 00:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Ivory Coast ametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kusema kuwa Uislamu ni dini ya amani na suluhu.
-
Jaberi Ansari: Madai ya Marekani dhidi ya Iran hayana itibari
Jun 06, 2016 09:35Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameitaja ripoti iliyotolewa na Marekani ambayo imeiweka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika orodha ya nchi zinazoyaunga mkono makundi ya kigaidi kuwa isiyo na itibari.
-
Sisitizo la kuendeshwa mapambano ya pande zote dhidi ya ugaidi barani Afrika
Jun 05, 2016 06:28Rais wa Senegal amezitolea mwito serikali mbalimbali kushirikiana na kukusanya nguvu na nyezo zote ili kupambana na makundi yenye misimamo ya kufurutu ada.
-
'Marekani ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati na Dunia'
Jun 05, 2016 02:04Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani ndio muungaji mkono mkubwa zaidi wa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya kigaidi duniani.
-
Rais Rouhani ataka waungaji mkono magaidi duniani watajwe
May 28, 2016 23:21Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mwito wa kufanyika jitihada za pamoja za kupambana na ugaidi kote duniani huku akisisitiza kuwa wanaotoa uungaji mkono wa siri kwa magaidi wanapaswa kutajwa ili kusitisha misaada yao kwa magaidi hao.