-
Kodivaa yamkamata mshukiwa wa ulipuaji bomu hoteli ya Grand Bassam
May 27, 2016 03:24Wakuu wa Kodivaa wamesema wamemkamata mtu anayeshukiwa kusafirisha silaha zilizotumika katika hujuma ya kigaidi ilyopelekea watu 19 kuuawa katika hoteli moja ya kifahari ya Grand Bassam nchini humo.
-
Afrika Kusini yalaani mashambulizi ya kigaidi nchini Syria
May 25, 2016 09:10Serikali ya Afrika Kusini imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni nchini Syria.
-
Mbunge wa Kuwait kuishtaki Saudia kwa kuendeleza ugaidi Mashariki ya Kati
May 22, 2016 11:57Mbunge mmoja wa Kuwait amebuni muungano utakaowaleta pamoja wanasheria wa kimataifa na watetezi wa haki za binadamu kwa lengo la kuishtaki serikali ya Saudi Arabia kwa kuendeleza na kuunga mkono harakati za kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na duniani kote kwa ujumla.
-
Tunisia yatenga dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi
May 20, 2016 02:32Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia ametangaza habari ya kutenga serikali yake dola bilioni nne kwa ajili ya kupambana na ugaidi.
-
Sheikhul Azhar, Uislamu hauchochei ugaidi
May 19, 2016 23:37Mufti wa al Azhar, Dk Ahmad Muhammad al Tayyib amesema kuwa, kwa mujibu wa aya ya 32 ya Suratul Maida ya Qur'ani Tukufu, dini ya Kiislamu inapiga marufuku kumshambulia mwanadamu yeyote kutoka dini yoyote ile.
-
Khalifa Haftar: Ulaya haiupi uzito utulivu na usalama nchini Libya
May 18, 2016 22:21Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Libya amesema, ana wasiwasi na siasa za nchi za Ulaya kuhusiana na Libya na inaonekana kuwa nchi hizo hazilipi uzito suala la usalama wa nchi hiyo.
-
'Madai ya Saudia dhidi ya Iran ni kichekesho'
May 13, 2016 23:11Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepinga tuhuma za mwakilishi wa Saudi Arabia katika umoja huo dhidi ya Iran na kuzitaja kuwa kichekesho.
-
Iran yakosoa wanaotumia ugaidi kufikia malengo yao
May 09, 2016 10:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa sera za baadhi ya nchi kutumia ugaidi kama chombo cha kufikia malengo yao katika eneo na kusema jambo hilo litakuwa na natija kinyume na inavotarajiwa.
-
Waalgeria watatu watiwa mbaroni kwa tuhuma za ugaidi
May 07, 2016 11:38Jeshi la Algeria limewatia mbaroni raia watatu wa nchi hiyo kwa tuhuma za kuyasaidia makundi ya kigaidi nchini humo.
-
Velayati: Wamagharibi wanapanga kuzigawa vipande vipande Iraq, Syria
May 01, 2016 23:22Afisa mwandamizi wa Iran amelaani vikali njama za nchi za Magharibi na waitifaki wao kieneo za kutaka kuzigawa vipande vipande Iraq na Syria.