-
Yoweri Museveni aapishwa kuwa Rais wa kipindi cha tano mfululizo nchini Uganda
May 12, 2016 10:52Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye alishinda katika uchaguzi wa mwezi Februari mwaka huu, leo Alkhamisi ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha tano mfululizo.
-
Besigye kuendelea kuzuiliwa wakati Rais Museveni wa Uganda akiapishwa
May 12, 2016 03:32Katika hali ambayo Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda anatazamiwa kuapishwa wakati wowote tokeo sasa, kinara wa upinzanai nchini humo Dakta Kizza Besigye anaendelea kuzuiliwa katika jela ya Nalufenya wilayani Jinja eneo la Karamoja.
-
Uganda kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia?
May 07, 2016 03:12Huenda Uganda ikaondoa wanajeshi wake wanaolinda amani nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM.
-
Serikali ya Uganda yapiga marufuku televisheni kuonesha maandamano ya wapinzani
May 06, 2016 00:02Serikali ya Uganda imepiga marufuku kanali za televisheni za nchi hiyo kuonesha moja kwa moja maandamano ya wapinzani.
-
Polisi Uganda yazima mkutano wa upinzani, kadhaa wakamatwa
May 03, 2016 12:02Maafisa wa polisi nchini Uganda wamezima mkutano wa kila wiki wa chama cha upinzani cha FDC na kukamata wafuasi kadhaa wa chama hicho.
-
Polisi Uganda: Maandamano ya upinzani hayana kibali
Apr 30, 2016 03:27Polisi ya Uganda imeonya wafuasi wa upinzani nchini humo dhidi ya kushiriki maandamano ya Mei 5 na kusisitiza kuwa maandamano hayo hayajapata ridhaa ya serikali.
-
LRA iliwateka watu 296 kwenye robo ya kwanza ya 2016
Apr 24, 2016 23:34Kundi la waasi la Lord's Resistance Army la Uganda liliwateka watu 296 katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika robo ya kwanza ya mwaka huu.
-
Uganda: Saudia inawashikilia wanawake 12 raia wetu
Apr 21, 2016 10:53Bunge la Uganda limearifiwa kuwa wanawake 12 raia wa nchi hiyo wanashikiliwa chini ya mazingira magumu nchini Saudi Arabia.
-
Ujenzi wa bomba la mafuta la Uganda, Tanzania yaipiku Kenya
Apr 16, 2016 11:36Uganda imeamua kujenga bomba la mafuta kupitia Tanzania badala ya Kenya.
-
Waasi wa Uganda washambulia mashariki mwa DRC
Apr 12, 2016 23:52Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya waasi wa Uganda kufanya mashambulizi kwenye maeneo hayo.