Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Polisi Uganda: Maandamano ya upinzani hayana kibali

    Polisi Uganda: Maandamano ya upinzani hayana kibali

    Apr 30, 2016 03:27

    Polisi ya Uganda imeonya wafuasi wa upinzani nchini humo dhidi ya kushiriki maandamano ya Mei 5 na kusisitiza kuwa maandamano hayo hayajapata ridhaa ya serikali.

  • LRA iliwateka watu 296 kwenye robo ya kwanza ya 2016

    LRA iliwateka watu 296 kwenye robo ya kwanza ya 2016

    Apr 24, 2016 23:34

    Kundi la waasi la Lord's Resistance Army la Uganda liliwateka watu 296 katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika robo ya kwanza ya mwaka huu.

  • Uganda: Saudia inawashikilia wanawake 12 raia wetu

    Uganda: Saudia inawashikilia wanawake 12 raia wetu

    Apr 21, 2016 10:53

    Bunge la Uganda limearifiwa kuwa wanawake 12 raia wa nchi hiyo wanashikiliwa chini ya mazingira magumu nchini Saudi Arabia.

  • Ujenzi wa bomba la mafuta la Uganda, Tanzania yaipiku Kenya

    Ujenzi wa bomba la mafuta la Uganda, Tanzania yaipiku Kenya

    Apr 16, 2016 11:36

    Uganda imeamua kujenga bomba la mafuta kupitia Tanzania badala ya Kenya.

  • Waasi wa Uganda washambulia mashariki mwa DRC

    Waasi wa Uganda washambulia mashariki mwa DRC

    Apr 12, 2016 23:52

    Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya waasi wa Uganda kufanya mashambulizi kwenye maeneo hayo.

  • Mkutano wa kujadili bomba la mafuta Afrika Mashariki  unafanyika nchini Uganda

    Mkutano wa kujadili bomba la mafuta Afrika Mashariki unafanyika nchini Uganda

    Apr 11, 2016 23:19

    Mkutano unaohusu ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Uganda hadi Bahari ya Hindi ulianza jana katika mji mkuu wa Uganda Kampala.

  • Kamanda mwandamizi wa FDLR akamatwa na polisi ya Uganda

    Kamanda mwandamizi wa FDLR akamatwa na polisi ya Uganda

    Apr 05, 2016 02:44

    Kamanda mwandamizi wa kundi la waasi wa Rwanda la FDLR amekamatwa katika mji mkuu wa Uganda, Kampala.

  • Mahakama ya Juu Uganda yatupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Museveni

    Mahakama ya Juu Uganda yatupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Museveni

    Mar 31, 2016 09:33

    Mahakama ya Juu ya Uganda imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa na Waziri Mkuu wa zamani nchini humo Amama Mbabazi ya kupinga ushindi wa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi wa rais wa Februari mwaka huu.

  • Ripoti: Waganda milioni 4 wanakabiliwa na baa la njaa

    Ripoti: Waganda milioni 4 wanakabiliwa na baa la njaa

    Mar 28, 2016 09:07

    Ripoti mpya imeonyesha kuwa mamilioni ya wananchi wa Uganda wanakabiliwa na baa la njaa. Asilimia 11.8 ya Waganda, ambayo ni zaidi ya watu milioni 4 wanakabiliwa na baa la njaa kutokana na umaskini na ugumu wa maisha.

  • Idadi ya Waislamu yaongezeka Uganda, ya Wakatoliki yadidimia

    Idadi ya Waislamu yaongezeka Uganda, ya Wakatoliki yadidimia

    Mar 27, 2016 22:29

    Imearifiwa kuwa idadi ya watu wanaojiunga na dini tukufu ya Kiislamu nchini Uganda inazidi kuongezeka kwa kasi huku idadi ya wanaojiunga na Kanisa Katoliki ikizidi kupungua.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS