-
Mkutano wa kujadili bomba la mafuta Afrika Mashariki unafanyika nchini Uganda
Apr 11, 2016 23:19Mkutano unaohusu ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Uganda hadi Bahari ya Hindi ulianza jana katika mji mkuu wa Uganda Kampala.
-
Kamanda mwandamizi wa FDLR akamatwa na polisi ya Uganda
Apr 05, 2016 02:44Kamanda mwandamizi wa kundi la waasi wa Rwanda la FDLR amekamatwa katika mji mkuu wa Uganda, Kampala.
-
Mahakama ya Juu Uganda yatupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Museveni
Mar 31, 2016 09:33Mahakama ya Juu ya Uganda imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa na Waziri Mkuu wa zamani nchini humo Amama Mbabazi ya kupinga ushindi wa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi wa rais wa Februari mwaka huu.
-
Ripoti: Waganda milioni 4 wanakabiliwa na baa la njaa
Mar 28, 2016 09:07Ripoti mpya imeonyesha kuwa mamilioni ya wananchi wa Uganda wanakabiliwa na baa la njaa. Asilimia 11.8 ya Waganda, ambayo ni zaidi ya watu milioni 4 wanakabiliwa na baa la njaa kutokana na umaskini na ugumu wa maisha.
-
Idadi ya Waislamu yaongezeka Uganda, ya Wakatoliki yadidimia
Mar 27, 2016 22:29Imearifiwa kuwa idadi ya watu wanaojiunga na dini tukufu ya Kiislamu nchini Uganda inazidi kuongezeka kwa kasi huku idadi ya wanaojiunga na Kanisa Katoliki ikizidi kupungua.
-
Askari wa UN Kongo DR waua waasi kadhaa wa Uganda
Mar 26, 2016 03:45Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO kikishirikiana na jeshi la nchi hiyo kimesema kimefanikiwa kuangamiza idadi kubwa ya waasi wa Uganda mashariki mwa nchi.
-
Mahakama ya ICC yathibitisha mashtaka 70 dhidi ya kamanda wa LRA
Mar 23, 2016 21:31Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC yenye makao yake mjini The Hague, Uholanzi imethibitisha mashtaka 70 yanayomkabili Dominic Ongwen, kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa kaskazini mwa Uganda wa Lords Resistance Army (LRA).
-
Marais wa Kenya na Uganda wanakutana jijini Nairobi kujadili bomba la Mafuta
Mar 21, 2016 03:51Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni wanakutana leo jijini Nairobi kwa shabaha ya kujadili ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta kati ya nchi hizo mbili.
-
Watu 22 wameuawa katika machafuko baada ya uchaguzi Uganda
Mar 14, 2016 12:49Polisi ya Uganda imetangaza kuwa mapigano yaliyojiri magharibi mwa nchi hiyo kati ya wafuasi wa wagombea uchaguzi wanaohasimiana ambao walishiriki katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo yameuwa watu 22 na kuwajeruhi wengine 10.
-
Rais Rouhani ampongeza Rais Museveni kwa kuchaguliwa
Mar 13, 2016 03:46Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempongeza Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa kuchaguliwa tena hivi karibuni kuiongoza nchi hiyo.