-
Maelfu ya watu wakumbwa na tatizo la kuhara baada ya maji ya mto kuchafuka, Kongo
Sep 01, 2021 02:52Maafisa wa afya katikka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameripoti kuwa, maelfu ya watu wamepatwa na tatizo la kuhara katika jimbo la Kasai katikati mwa nchi hiyo baada ya raia kutumia maji machafu na samaki waliokufa kutoka katika ziwa ambalo maji yake yamechafuka.
-
Ivory Coast yarekodi kisa cha kwanza cha Ebola katika miaka 25
Aug 15, 2021 13:28Waziri wa Afya wa Ivory Coast ametangaza kuwa nchi hiyo imesajili kisa cha kwanza cha virusi vya kutokwa na damu vya Ebola ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 25.
-
WHO yahofia vifo zaidi vya kifua kikuu kutokana na kuongezeka maambukizi ya Covid-19
Oct 15, 2020 11:56Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) limeonya juu ya "ongezeko kubwa" la vifo vinavyosababishwa na kifua kikuu (TB) katika miaka ijayo, kama matokeo ya matatizo yanayosababishwa na janga la corona na uhaba unaoendelea wa fedha. WHO imesema hayo katika ripoti yake ya kila mwaka juu ya juhudi za ulimwengu za kupambana na ugonjwa huo.
-
242 waaga dunia China kwa Corona katika siku moja, maafisa wa afya Wuhan wafutwa kazi kwa uzembe
Feb 13, 2020 12:06Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na virusi vya Corona (COVID-19) nchini China imeongeza baada ya Jumatano ya jana kusajiliwa vifo vya wahanga 242 wa virusi hivyo katika siku moja tu katika mkoa wa Wuhan na maambikizi ya wengine elfu 15.
-
Nchi za Afrika zachukua tahadhari ya kukabiliana na virusi vya Corona
Jan 24, 2020 14:56Nchi za Afrika mashariki zimetangaza hatua na mipango ya kukabiliana na virusi vya Corona vinavyosababisha maradhi ya kupumua huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mlipuko wa virusi hivyo nchini China ikiongezeka na kufikia 26.
-
"Kirusi cha China" chazusha hofu duniani, watu 6 wameaga dunia hadi sasa
Jan 21, 2020 12:41Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, litafanya kikao kesho Jumatano kutazama uwezekano wa kutangaza tahadhari ya kimataifa ya afya ya umma baada ya China kuthibitisha kwamba, kirusi hicho kinaambukizwa kupitia mawasiliano baina ya binadamu.
-
Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu jeshini Israel yaongezeka
Nov 09, 2019 07:52Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu ndani ya jeshi la utawala haramu wa Kizayuni Israel, imezidi kuongezeka huku suala la matatizo ya kisaikolojia likitajwa kuwa ndio sababu.
-
WHO, UNICEF zatia nia ya kuwalinda na kipindupindu watu milioni 1.6 nchini Sudan
Oct 02, 2019 11:16Shirika la Afya Duniani (WHO) na lile la UNICEF yanashirikiana na maafisa wa Sudan kulinda usalama wa zaidi ya watu milioni moja na nusu kutokana na ugonjwa wa kipindupindu nchini humo.
-
Ugonjwa wa surua waua maelfu ya watu Congo DR
Aug 18, 2019 07:51Shirika la Madatari Wasio na Mpaka (MSF) limeripoti kuwa zaidi ya watu 2700 wameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ugonjwa wa surua.
-
Wayemen karibu nusu milioni wanakabiliwa na kipindupindu
Jul 09, 2019 08:20Wimbi jipya la maradhi ya kipindupindu linashuhudiwa nchini Yemen ambapo kesi zaidi ya 460,000 za maradhi hayo zimeripotiwa kuanzia Januari mwaka huu hadi sasa.