Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Ghasia zaendelea Barcelona katika maandamano ya watu wa Catalonia

    Ghasia zaendelea Barcelona katika maandamano ya watu wa Catalonia

    Oct 18, 2019 07:35

    Ghasia zimeendelea katika mji wa Barcelona nchini Uhispania ambapo Alhamisi jioni migahawa iliteketezwa moto baada ya maelfu kuandamana kwa amani mchana wakitaka viongozi wa eneo linalotaka kujitenga la Catalonia waachiliwe huru.

  • Uhispania yapinga ombi la Marekani la kujiunga na muungano wake wa baharini Ghuba ya Uajemi

    Uhispania yapinga ombi la Marekani la kujiunga na muungano wake wa baharini Ghuba ya Uajemi

    Aug 03, 2019 01:25

    Serikali ya Uhispania imepinga ombi la Washington la kuitaka ijiunge na mungano wake wa baharini katika Ghuba ya Uajemi.

  • Kufichuliwa nafasi ya Marekani katika kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran

    Kufichuliwa nafasi ya Marekani katika kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran

    Jul 05, 2019 06:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Hispania amefafanua habari mpya inayohusiana na hatua ya kusimamishwa meli iliyokuwa imebeba mafuta ya Iran katika eneo la Jabal at-Twariq (Gibraltar).

  • Uhispania: Iran haijavunja hata mara moja mapatano ya JCPOA

    Uhispania: Iran haijavunja hata mara moja mapatano ya JCPOA

    Jul 04, 2019 02:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania ambaye anatarajiwa kuchukua nafasi ya Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa, uamuzi wa hivi karibuni wa Iran haujavunja vipengee vya mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kimsingi hilo ni suala la kiufundi.

  • Uhispania: Kuna uwezekano shambulizi la ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid lilifanywa na Marekani

    Uhispania: Kuna uwezekano shambulizi la ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid lilifanywa na Marekani

    Mar 11, 2019 08:21

    Vyombo vya habari nchini Uhispania vimetangaza kwamba, kuna uwezekano vyombo vya intelejensia vya Marekani vilihusika katika shambulizi la siku chache zilizopita dhidi ya ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid.

  • Uhispania yapinga kutumwa nchini Syria wanajeshi wa muungano wa Nato

    Uhispania yapinga kutumwa nchini Syria wanajeshi wa muungano wa Nato

    Feb 18, 2019 02:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amepinga ombi la Marekani kwa nchi wanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) kwa ajili ya kutumwa wanajeshi wa nchi hizo huko Syria.

  • Tume ya Uchaguzi: Mshindi wa urais Madagascar ni Andry Rajoelina

    Tume ya Uchaguzi: Mshindi wa urais Madagascar ni Andry Rajoelina

    Dec 28, 2018 03:21

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Madagascar imetangaza kuwa rais wa zamani wa nchi hiyo Andry Rajoelina ndiye aliyepata kura nyingi zaidi katika uchaguzi wa urais wa Desemba 19, na hivyo ndiye rais wa baadaye wa kisiwa hicho kikubwa zaidi barani Afrika.

  • Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC

    Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC

    Nov 24, 2018 02:46

    Alfred Yakatom, ambaye wakati fulani alijulikana kwa jina la Rambo kutokana na kufanya mauaji makubwa dhidi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC akikabiliwa na mashtaka 14 ya jinai za kivita na jinai dhidi ya ubinadamu.

  • Israel yakerwa baada ya Madrid kumuenzi mwanaharakati wa Palestina

    Israel yakerwa baada ya Madrid kumuenzi mwanaharakati wa Palestina

    Oct 01, 2018 02:39

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhabishwa mno na hatua ya klabu mashuhuri ya soka ya Uhispania ya Real Madrid kumuenzi kwa kumtunuku jezi nambari 9 Ahed Tamimi, binti mwanamapambano wa Kipalestina.

  • Mamia ya wahajiri waokolewa katika maji ya Uhispania

    Mamia ya wahajiri waokolewa katika maji ya Uhispania

    Sep 24, 2018 08:08

    Jumuiya ya Misaada ya Uokoaji wa Baharini ya Hispania imetangaza kuwa, zaidi ya wahajiri 440 waliokuwa mbioni kuvuka Bahari ya Mediterrania na kuingia barani ulaya wameokolewa majini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS