-
Kurejea tena uhusiano wa Qatar na Jordan; ishara ya kuendelea kufeli Saudi Arabia Mashariki ya Kati
Mar 14, 2018 02:43Baada ya kupita miezi tisa ya kukata uhusiano na Qatar, serikali ya Jordan imechukua hatua za kuanzisha tena uhusiano wake na Doha baada ya kuhuisha tena ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji vitega uchumi na nchi hiyo.
-
Zimbabwe yataka kupanua zaidi ushirikiano wake na Iran
Feb 24, 2018 14:13Makamu wa Pili wa Rais wa Zimbabwe amesema kuwa, nchi yake inataka kupanua zaidi ushirikiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mbunge wa Tunisia achana bendera ya Israel ndani ya Bunge
Feb 14, 2018 07:22Mbunge mmoja wa Tunisia amechana bendera ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kuonyesha ghadhabu zake dhidi ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ya kutaka kufanya wa kawaida uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Larijani: Iran daima ina hamu ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika
Jan 14, 2018 07:56Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Jamhuri ya Kiislamu ina hamu kubwa ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika.
-
Safari ya Rais wa Ufaransa huko Niger
Dec 23, 2017 12:44Rais wa Ufaransa amewasili Niger kwa lengo la kukutana na wanajeshi wa nchi hiyo na kuchunguza hali ya mambo katika nchi za magharibi mwa Afrika.
-
Burundi yatoa mwito wa kuimarisha uhusiano wa kibiashara na Iran
Dec 17, 2017 08:02Mkuu wa Jumuiya ya Biashara na Viwanda ya Burundi ametoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa nchi hiyo ya Kiafrika na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran na Mauritania kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Dec 10, 2017 07:01Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mauritania zimeeleza juu ya hamu na utayarifu wao wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyuga mbalimbali.
-
Mwanga wa kuzidi kuimarika uhusiano wa Ulaya na Iran
Nov 13, 2017 12:42Is'haq Jahangiri, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kuwekwa kwenye ajenda kuu suala la kufunguliwa ofisi ya Umoja wa Ulaya hapa mjini Tehran.
-
Radiamali ya Moscow kwa hatua mpya ya Marekani isiyo ya kidiplomasia
Oct 12, 2017 14:03Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa serikali ya Marekani inavuruga uhusiano kati yake na Russia.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania yupo ziarani nchini Iran
Oct 11, 2017 08:20Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa wa Tanzania, Augustine Mahiga yupo nchini Iran kwa safari rasmi ya kikazi.