-
Sisitizo la Rais Emmanuel Macron la kuendeleza sera za Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Sep 27, 2017 04:15Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa, nchi yake itaendeleza sera za nchi yake za kurejesha amani na uthabiti na kusaidia kuundwa serikali yenye nguvu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Israel yapatwa na wasiwasi kwa kupanuka mahusiano ya Iran na Uturuki
Aug 21, 2017 08:30Mchambuzi na mwandishi wa Israel amesema kuwa utawaka Kiizayuni umepatwa na wasiwasi mkubwa kufuatia safari ya Mkuu wa Vikosi vya Jeshi la Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uturuki katika fremu ya kupanua mahusiano ya pande zotei wa nchi hizo mbili.
-
Iran na Afrika Kusini zajadili namna ya kuimarisha uhusiano wao
Aug 02, 2017 02:29Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini wamefanya mazungumzo hapa mjini Tehran kuhusu namna ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili hususan katika uga wa siasa.
-
Saudia na Imarati zinajiandaa kuweka wazi mahusiano yao na utawala wa Kizayuni
Jul 29, 2017 13:44Sambamba na kuwepo mahusiano ya muda mrefu kati ya nchi zinazolizingira kwa kila upande taifa la Qatar na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, habari zinaarifu kwamba Saudia na Imarati zinajiandaa kuweka wazi mahusiano hayo kwa walimwengu.
-
Israel: Wakati wa kuwekwa wazi mahusiano yetu na Saudia, umewadia
Jul 25, 2017 08:17Gazeti la utawala haramu wa Israel limezungumzia mahusiano yaliyopo baina ya Israel na Saudi Arabia na kuandika kuwa sasa umewadia wakati wa kutangazwa wazi mahusiano ya pande mbili hizo.
-
Iran kuendelea kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika
Jun 21, 2017 07:30Rais Hassan Rouhani wa Iran amesisitiza kuwa, ni katika sera zilizo madhubuti za nchi hii kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika.
-
Iran na Cameroon kuimarisha uhusiano wa pande mbili
May 10, 2017 07:35Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Cameroon zimesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa nchi mbili hizi katika nyuga tofauti hususan ya kiuchumi.
-
Mgogoro wa kutoaminiana katika uhusiano wa Moscow na Washington
Apr 14, 2017 02:41Mazungumzo ya kwanza kati ya Rais wa Russia na Rex Tillerson Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani hayajaandaa uwezekano wa kujenga hali ya kuaminiana kati ya Moscow na Washington.
-
Iraq yasisitizia umuhimu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran
Apr 02, 2017 08:09Spika wa Bunge la Iraq amesema kuna haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Balozi: Kiongozi Muadhamu, Rouhani wanaupa umuhimu uhusiano wa Iran na Russia
Mar 26, 2017 08:14Balozi wa Iran mjini Moscow amesema Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Rais Hassan Rouhani wanaupa umuhimu mkubwa na wa kipekee uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia na wanataka kuuona ukiimarika.