Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Rais wa Iran: Uamuzi usio sahihi wa Trump ni sawa na kumwagia petroli kwenye moto

    Rais wa Iran: Uamuzi usio sahihi wa Trump ni sawa na kumwagia petroli kwenye moto

    Dec 10, 2017 13:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uamuzi wa hivi karibuni wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa Israel na kutoa amri ya kuhamishiwa ubalozi wa Washington katika mji huo ulikuwa sawa na kumwagia mafuta ya petroli katika moto katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza mjini Tehran, fursa ya utatuzi au chanzo cha mjadala mpya?

    Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza mjini Tehran, fursa ya utatuzi au chanzo cha mjadala mpya?

    Dec 10, 2017 03:08

    Boris Johnson, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, aliwasili hapa mjini Tehran jana Jumamosi na kwa mujibu wa taarifa za vyombo rasmi, lengo la safari yake ni kunyanyua kiwango cha uhusiano baina ya nchi yake na Iran.

  • New York Times: Maelfu ya watu wamenasa katika utumwa Uingereza

    New York Times: Maelfu ya watu wamenasa katika utumwa Uingereza

    Nov 19, 2017 23:18

    Ripoti iliyochapishwa na tume ya serikali ya Uingereza imesema kuwa maelfu ya watu nchini humo wanatumbukia katika mtego wa utumwa na kwamba baadhi yao ni wahajiri japokuwa wengi wao ni raia wa Uingereza yenyewe, suala ambalo limezusha mshtuko mkubwa.

  • Waziri wa Uingereza ajiuzulu kwa kufanya mikutano ya siri na Netanyahu

    Waziri wa Uingereza ajiuzulu kwa kufanya mikutano ya siri na Netanyahu

    Nov 09, 2017 04:20

    Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Uingereza, Priti Patel amelazimika kujiuzulu kutokana na mtikisiko wa kisiasa nchini humo uliosababishwa na yeye kufanya mikutano ya siri na maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel akiwemo Waziri Mkuu wa utawala huo bandia, Benjamin Netanyahu.

  • Uingereza yaendelea kukosolewa kila kona kwa hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Israel

    Uingereza yaendelea kukosolewa kila kona kwa hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Israel

    Nov 03, 2017 04:25

    Serikali ya Uingereza imeendelea kuandamwa na ukosoaji wa kila upande kutokana na hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe

    Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe

    Oct 24, 2017 01:01

    Uingereza inataka raia wake waliojiunga na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini Syria wauawe kabla ya kupata fursa ya kurejea nyumbani.

  • Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour

    Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour

    Oct 19, 2017 12:44

    Wakati serikali ya Uingereza inatazamiwa kusherehekea maadhimisho ya miaka 100 tangu kutolewa Azimio la Balfour, makundi ya Kipalestina yamesisitizia ulazima wa serikali ya London kuliomba radhi taifa la Palestina kwa sababu ya kutoa azimio hilo.

  • Uingereza yamtaka Trump aheshimu JCPOA

    Uingereza yamtaka Trump aheshimu JCPOA

    Oct 11, 2017 04:48

    Waziri Mkuu wa Uingereza amekariri kuwa London itaendelea kufungamana na kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Iran, huku akimtaka Rais Donald Trump wa Marekani kuheshimu mapatano hayo ya kimataifa.

  • Syria: US na UK ziliwapa magaidi silaha za kemikali zilizoua raia Khan Sheykhoun

    Syria: US na UK ziliwapa magaidi silaha za kemikali zilizoua raia Khan Sheykhoun

    Aug 17, 2017 02:43

    Uchunguzi uliofanywa na serikali ya Damascus umebainisha kuwa, Marekani, Uingereza na waitifaki wao zinayapa silaha zikiwemo za kemikali magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza

    Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza

    Jun 18, 2017 03:23

    Vitendo vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu vimeongezeka nchini Uingereza hasa baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi katika miji ya Manchester na London.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS