Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Matokeo ya awali ya uchaguzi Uingereza, chama cha Theresa May kimepoteza wingi bungeni

    Matokeo ya awali ya uchaguzi Uingereza, chama cha Theresa May kimepoteza wingi bungeni

    Jun 08, 2017 23:41

    Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Uingereza yanaonesha kuwa, chama cha Conservative kimeshinda kwa kupata viti vingi vya Bunge ingawa kimepoteza wingi mutlaki.

  • Waingereza washiriki uchaguzi mkuu, Wabunge 650 kuchaguliwa

    Waingereza washiriki uchaguzi mkuu, Wabunge 650 kuchaguliwa

    Jun 08, 2017 03:23

    Mamilioni ya wananchi wa Uingereza hii leo wanaelekea kwenye masanduku ya kupiga kura kushiriki uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, ambapo chama tawala cha Kihafidhina kinatazamiwa kuchuana vikali na chama cha upinzani cha Leba.

  • Waislamu Uingereza walaani mashambulizi ya kigaidi London, Manchester

    Waislamu Uingereza walaani mashambulizi ya kigaidi London, Manchester

    Jun 06, 2017 09:13

    Waislamu nchini Uingereza wamelaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika miji ya London na Manchester yaliyosababisha vifo vya makumi ya watu.

  • Kiongozi wa upinzani Uingereza aituhumu Saudia kwa kuunga mkono ugaidi

    Kiongozi wa upinzani Uingereza aituhumu Saudia kwa kuunga mkono ugaidi

    Jun 05, 2017 02:20

    Kiongozi wa upinzani nchini Uingereza, Jeremy Corbyn amesema, wakati sasa umewadia kwa nchi yake kufanya 'mazungumzo magumu' na Saudia Arabia na madola mengine ya Kiarabu ambayo yanaunga mkono magaidi.

  • Baba wa mhusika wa shambulio la kigaidi la Manchester akamatwa nchini Libya

    Baba wa mhusika wa shambulio la kigaidi la Manchester akamatwa nchini Libya

    May 25, 2017 03:20

    Baada ya kukamatwa ndugu wa kiume wa Salman Abedi, mhusika wa shambulio la kigaidi la mjini Manchester, Uingereza, kitengo cha kupambana na ugaidi nchini Libya kimetangaza kuwa kimemkamata pia baba wa mhusika huyo wa shambulio hilo.

  • 19 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Manchester, Uingereza

    19 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Manchester, Uingereza

    May 22, 2017 23:05

    Watu wasiopungua 19 wameuawa katika mji wa Manchester nchini Uingereza kufuatia mlipuko mkubwa unaoshukiwa kuwa hujuma ya kigaidi.

  • Chama cha Leba cha UK kuitambua Palestina kikiingia madarakani

    Chama cha Leba cha UK kuitambua Palestina kikiingia madarakani

    May 16, 2017 23:09

    Chama cha Leba cha Uingereza kimesema kitaitambua Palestina iwapo kitaibuka mshindi katika uchaguzi wa Juni 8 nchini humo.

  • Magaidi 350 raia wa Uingereza warejea nyumbani kutoka  Syria

    Magaidi 350 raia wa Uingereza warejea nyumbani kutoka Syria

    May 06, 2017 03:17

    Mashirika ya kijasusi ya Uingereza yameonya kuwa raia 350 wa nchi hiyo ambao ni magaidi wanachama wa kundi la kigaidi la ISIS wamerejea nchini humo kutoka Syria na sasa ni tishio kubwa kwa usalama.

  • Uingereza yatuma mamia ya askari wake nchini Sudan Kusini

    Uingereza yatuma mamia ya askari wake nchini Sudan Kusini

    May 03, 2017 03:14

    Serikali ya Uingereza imeanza kutuma askari 400 wa nchi hiyo nchini Sudan Kusini kwenda kujiunga na Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa UNMISS.

  • Moscow: Uingereza itafutwa katika ramani ya dunia iwapo itatumia silaha za nyuklia dhidi ya Russia

    Moscow: Uingereza itafutwa katika ramani ya dunia iwapo itatumia silaha za nyuklia dhidi ya Russia

    Apr 24, 2017 22:34

    Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Baraza la Seneti la Russia ametoa tahadhari kali kuhusu vitisho vilivyotolewa na Waziri wa Ulinzi wa Uingereza vya kutumia silaha za nyuklia katika mashambulizi eti ya kujilinda dhidi ya Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS