Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Wapalestina waitaka Uingereza kuomba radhi kwa kutoa Azimio la Balfour

    Wapalestina waitaka Uingereza kuomba radhi kwa kutoa Azimio la Balfour

    Apr 18, 2017 11:07

    Taarifa ya mwisho iliyotolewa na mkutano wa Wapalestina wanaoishi barani Ulaya imeitaka Uingereza kuomba radhi rasmi kwa sababu ya kutoa Azimio la Balfour lililopelekea kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina na hatimaye kufukuzwa wenyeji katika ardhi na nchi yao.

  • Theresa May; mdau wa mchezo mchafu wa majungu ya kueneza hofu na chuki dhidi ya Iran

    Theresa May; mdau wa mchezo mchafu wa majungu ya kueneza hofu na chuki dhidi ya Iran

    Apr 07, 2017 01:42

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May amethibitisha kuwa mdau mwenza wa nchi hiyo yaani Marekani haina ilichoizidi London katika upikaji majungu dhidi ya Iran. Katika siku chache zilizopita viongozi wa Marekani wamesikika wakipayuka kuzungumzia kile walichodai kuwa jitihada wanazofanya za kuanzisha muungano wa kieneo baina ya nchi hiyo na tawala za Kiarabu dhidi ya Iran.

  • Uingereza kuanza mchakato wa kujiondoa EU

    Uingereza kuanza mchakato wa kujiondoa EU

    Mar 20, 2017 11:15

    Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May mnamo Machi 29 atatia saini nyaraka za kujiondoa rasmi nchi yake katika Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit.

  • Maelfu waandamana London, Uingereza kulaani chuki dhidi ya Uislamu

    Maelfu waandamana London, Uingereza kulaani chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 19, 2017 04:16

    Maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Uingereza, London kushiriki maandamano ya kulaani chuki na uenezaji hofu dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.

  • Uchunguzi: Nusu ya Waingereza hawajui kama Saudia imeanzisha vita dhidi ya Yemen

    Uchunguzi: Nusu ya Waingereza hawajui kama Saudia imeanzisha vita dhidi ya Yemen

    Mar 18, 2017 12:32

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa unaonyesha kuwa zaidi ya nusu ya raia wa Uingereza hawana habari kuhusu vita angamizi vilivyoanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen pamoja na kwamba serikali yao ni mmoja wa wauzaji wakuu za silaha zinazotumiwa na utawala wa Aal Saud katika vita hivyo.

  • Iran yakosoa hatua ya Uingereza ya kuzipatia silaha nchi za Kiarabu ili kuvuruga usalama wa eneo

    Iran yakosoa hatua ya Uingereza ya kuzipatia silaha nchi za Kiarabu ili kuvuruga usalama wa eneo

    Feb 17, 2017 00:44

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ushiriki wa Uingereza katika kuzidhaminia silaha baadhi ya nchi za eneo la Mashariki ya Kati kwa ajili ya kuwashambulia raia madhulumu wa Yemen, ni uthibitisho kwamba London inahusika na machafuko katika eneo hili.

  • Uingereza yabadili siasa zake kuhusu Syria na Rais Bashar Assad

    Uingereza yabadili siasa zake kuhusu Syria na Rais Bashar Assad

    Jan 27, 2017 00:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekiri katika Kamati ya Masuala ya Kigeni ya Bunge la nchi hiyo kwamba London imebadili siasa zake kuhusiana na Syria.

  • Hivi ndivyo Uingereza inavyochochea jinai Mashariki ya Kati

    Hivi ndivyo Uingereza inavyochochea jinai Mashariki ya Kati

    Jan 12, 2017 07:32

    Wakati kuna kila dalili zinazoonesha kuwa, Uingereza inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha inarejea katika Ghuba ya Uajemi, ushahidi mpya umethibitisha kwamba mkoloni huyo mkongwe wa Ulaya anahusika moja kwa moja katika jinai zinazofanywa na baadhi ya nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.

  • Uingereza yakiri kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada 500

    Uingereza yakiri kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada 500

    Jan 11, 2017 11:54

    Uingereza imekiri kwamba, iliiuzia Saudi Arabia mamia ya mabomu ya vishada katika miaka ya 80, ambayo yumkini yanatumika katika hujuma za Riyadh nchini Yemen.

  • Waislamu wa Uingereza waandaa ratiba maalumu ya kuutangaza Uislamu

    Waislamu wa Uingereza waandaa ratiba maalumu ya kuutangaza Uislamu

    Jan 09, 2017 12:50

    Waislamu wa Msikiti wa Lincoln wa eneo la East Midlands nchini Uingereza wameanzisha ratiba maalumu ya kuutangaza Uislamu kwa Waislamu na wasio Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS