Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Hivi ndivyo Uingereza inavyochochea jinai Mashariki ya Kati

    Hivi ndivyo Uingereza inavyochochea jinai Mashariki ya Kati

    Jan 12, 2017 07:32

    Wakati kuna kila dalili zinazoonesha kuwa, Uingereza inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha inarejea katika Ghuba ya Uajemi, ushahidi mpya umethibitisha kwamba mkoloni huyo mkongwe wa Ulaya anahusika moja kwa moja katika jinai zinazofanywa na baadhi ya nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.

  • Uingereza yakiri kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada 500

    Uingereza yakiri kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada 500

    Jan 11, 2017 11:54

    Uingereza imekiri kwamba, iliiuzia Saudi Arabia mamia ya mabomu ya vishada katika miaka ya 80, ambayo yumkini yanatumika katika hujuma za Riyadh nchini Yemen.

  • Waislamu wa Uingereza waandaa ratiba maalumu ya kuutangaza Uislamu

    Waislamu wa Uingereza waandaa ratiba maalumu ya kuutangaza Uislamu

    Jan 09, 2017 12:50

    Waislamu wa Msikiti wa Lincoln wa eneo la East Midlands nchini Uingereza wameanzisha ratiba maalumu ya kuutangaza Uislamu kwa Waislamu na wasio Waislamu.

  • Kujitoa Uingereza ndani ya EU ni tishio kwa duru za kibiashara za Ulaya

    Kujitoa Uingereza ndani ya EU ni tishio kwa duru za kibiashara za Ulaya

    Jan 03, 2017 03:51

    Taasisi moja ya uchunguzi wa maoni ya Ulaya imetangaza kuwa hatua ya Uingereza ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya inatishia pakubwa duru za kibiashara za bara hilo.

  • Sky News: Maelfu ya watu ni watumwa mamboleo nchini Uingereza

    Sky News: Maelfu ya watu ni watumwa mamboleo nchini Uingereza

    Dec 29, 2016 10:12

    Ripoti mpya inaonesha kuwa, karibu watu elfu 13 nchini Uingereza ni wahanga wa vitendo viovu vya kutumiwa kama watumwa wa ngono, kazi za kulazimishwa na aina nyingine za utumwa mamboleo.

  • Waingereza wenye asili ya Afrika wanabaguliwa katika kazi za uhandisi

    Waingereza wenye asili ya Afrika wanabaguliwa katika kazi za uhandisi

    Dec 27, 2016 23:20

    Waingereza weusi au wenye asili ya Afrika wanakabiliwa na ubaguzi katika ajira ambapo wengi wananyimwa kazi kutokana na rangi yao.

  • Hujuma dhidi ya Uislamu yashika kasi nchini Uingereza

    Hujuma dhidi ya Uislamu yashika kasi nchini Uingereza

    Dec 21, 2016 01:01

    Wimbi na hujuma na propaganda chafu dhidi ya Uislamu limeshika kasi zaidi na kulitia wasiwasi Baraza la Waislamu nchini Uingereza.

  • Waislamu London watoa msaada wa chakula kwa mayatima

    Waislamu London watoa msaada wa chakula kwa mayatima

    Dec 18, 2016 11:15

    Waislamu katika mji mkuu wa Uingereza, London wamekusanya tani nyingi za chakula kwa ajili ya kuwasaidia mayatima na watoto wa mitaani katika kipindi hiki cha sherehe za kufunga mwaka.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Uingereza ni chanzo cha vitisho Asia Magharibi

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Uingereza ni chanzo cha vitisho Asia Magharibi

    Dec 18, 2016 01:07

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Jumamosi alihutubia kikao cha Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) kilichohudhuriwa na viongozi wa Iran, wageni wanaoshiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu, mabalozi wa nchi za Kiislamu na watu wa matabaka mbalimbali na kusisitiza kuwa, katika siku chache zilizopita Waingereza na bila ya kuona aibu, waliitaja Iran kuwa ni tishio la eneo la Ghuba ya Uajemi ilhali nchi hiyo ndiyo chanzo cha vitisho, ufisadi na hatari za aina mbalimbali.

  • Mchanganuzi: US, UK na Israel zimezitelekeza Sudan mbili baada ya kuzitenganisha

    Mchanganuzi: US, UK na Israel zimezitelekeza Sudan mbili baada ya kuzitenganisha

    Dec 15, 2016 10:43

    Katika hali ambayo Sudan Kusini inatimiza miaka mitatu ya mapigano, machafuko na uhasama, wachanganuzi wa mambo wanasema kuwa, Marekani, Uingereza na Israel zimeitelekeza nchi hiyo na jirani yake Sudan, licha ya kuhusika moja kwa moja katika mpango wa kuzitenganisha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS