Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Wabahrain waandamana dhidi ya Waziri Mkuu wa Uingereza

    Wabahrain waandamana dhidi ya Waziri Mkuu wa Uingereza

    Dec 08, 2016 04:43

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano kueleza ghadhabu zao dhidi ya Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye yuko nchini humo kushiriki mkutano wa kila mwaka wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC.

  • Qassemi: Waziri Mkuu wa Uingereza anajipendekeza kwa nchi za Kiarabu

    Qassemi: Waziri Mkuu wa Uingereza anajipendekeza kwa nchi za Kiarabu

    Dec 08, 2016 04:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali matamshi ya chuki dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, yaliyotolewa jana na Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May, katika mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC, na kusisitiza kuwa kauli hiyo inalenga kuzifurahisha na kuziridhisha nchi za Kiarabu za baraza hilo.

  • Uingereza, Marekani zinawatumia magaidi misaada ya silaha

    Uingereza, Marekani zinawatumia magaidi misaada ya silaha

    Dec 06, 2016 00:08

    Marekani na Uingereza zinapanga mikakati mipya kuhusu namna ya kuwafikishia silaha magaidi katika maeneo wanayoyadhibiti ya Aleppo au Halab nchini Syria.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Dec 01, 2016 04:15

    Msemaji wa Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza amesema kuwa Bi May anaunga mkono kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na anataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano hayo.

  • Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Nov 23, 2016 00:47

    Zaidi ya ya vituo vya Kiislamu na misikiti 100 imehujumiwa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne iliyopita.

  • Maandamano makubwa  zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza

    Maandamano makubwa zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza

    Nov 21, 2016 04:18

    Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu na wahadhiri nchini Uingereza wameshiriki katika maandamano makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika mitaa ya mji wa London.

  • Chama cha Liberal Democrats chataka kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Chama cha Liberal Democrats chataka kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Nov 12, 2016 00:37

    Chama cha Liberal Democrats nchini Uingereza kimetoa wito wa kuitishwa kura mpya ya maoni kuhusu uamuzi wa nchi hiyo kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.

  • Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria

    Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria

    Nov 04, 2016 00:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, raia 130 wa nchi hiyo wanachama katika kundi la kigaidi la Daesh wameuawa nchini Syria.

  • Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati

    Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati

    Nov 02, 2016 03:46

    Matatizo yote ya kiusalama yaliyopo hivi sasa katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati yanatokana na tangazo la Balfour.

  • Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Oct 06, 2016 01:11

    Wizara ya Biashara ya Kimataifa ya Uingereza imeweka wazi mpango wake wa kukabiliana na wahamiaji wanaoingia nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS