-
Maandamano makubwa zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza
Nov 21, 2016 04:18Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu na wahadhiri nchini Uingereza wameshiriki katika maandamano makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika mitaa ya mji wa London.
-
Chama cha Liberal Democrats chataka kura mpya ya maoni kuhusu Brexit
Nov 12, 2016 00:37Chama cha Liberal Democrats nchini Uingereza kimetoa wito wa kuitishwa kura mpya ya maoni kuhusu uamuzi wa nchi hiyo kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.
-
Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria
Nov 04, 2016 00:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, raia 130 wa nchi hiyo wanachama katika kundi la kigaidi la Daesh wameuawa nchini Syria.
-
Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati
Nov 02, 2016 03:46Matatizo yote ya kiusalama yaliyopo hivi sasa katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati yanatokana na tangazo la Balfour.
-
Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji
Oct 06, 2016 01:11Wizara ya Biashara ya Kimataifa ya Uingereza imeweka wazi mpango wake wa kukabiliana na wahamiaji wanaoingia nchini humo.
-
Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain
Sep 30, 2016 04:03Uingereza imetuhumiwa kuwa inahusika na utesaji wa wapinzani unaotekelezwa na utawala wa kiimla nchini Bahrain.
-
Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano
Sep 23, 2016 10:40Kampuni moja ya mafuta na gesi ya Uingereza iliyokuwa ikiendesha ghughuli zake nchini Tunisia imelazimika kuondoka nchini humo kufuatia malalamiko ya wananchi.
-
Balozi wa Uingereza aliyehudumu nchi kadhaa za Kiarabu asilimu na kufanya Hija
Sep 14, 2016 11:28Simon Collis, balozi wa Uingereza nchini Saudi Arabia ambaye amehudumu katika nchi kadhaa za Kiarabu, amekuwa balozi wa kwanza wa nchi hiyo kufanya Hija baada ya kusilimu.
-
Vifo vya wanaotumia madawa ya kulevya Uingereza vyavunja rekodi
Sep 11, 2016 00:04Takwimu mpya na rasmi zilizotolewa nchini Uingereza zinaonyesha kuwa, idadi ya watu wanaopoteza maisha nchini humo kutokana na kutumia madawa ya kulevya imeongezeka mno na haijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Uingereza inauza theluthi mbili ya silaha katika eneo la Mashariki ya Kati
Sep 05, 2016 22:36Gazeti moja la nchini Uingereza limeandika kuwa theluthi mbili ya silaha zinazoundwa nchini humo huuzwa katika nchi za eneo la Mashariki ya Kati.