Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Maandamano makubwa  zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza

    Maandamano makubwa zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza

    Nov 21, 2016 04:18

    Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu na wahadhiri nchini Uingereza wameshiriki katika maandamano makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika mitaa ya mji wa London.

  • Chama cha Liberal Democrats chataka kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Chama cha Liberal Democrats chataka kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Nov 12, 2016 00:37

    Chama cha Liberal Democrats nchini Uingereza kimetoa wito wa kuitishwa kura mpya ya maoni kuhusu uamuzi wa nchi hiyo kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.

  • Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria

    Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria

    Nov 04, 2016 00:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, raia 130 wa nchi hiyo wanachama katika kundi la kigaidi la Daesh wameuawa nchini Syria.

  • Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati

    Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati

    Nov 02, 2016 03:46

    Matatizo yote ya kiusalama yaliyopo hivi sasa katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati yanatokana na tangazo la Balfour.

  • Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Oct 06, 2016 01:11

    Wizara ya Biashara ya Kimataifa ya Uingereza imeweka wazi mpango wake wa kukabiliana na wahamiaji wanaoingia nchini humo.

  • Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain

    Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain

    Sep 30, 2016 04:03

    Uingereza imetuhumiwa kuwa inahusika na utesaji wa wapinzani unaotekelezwa na utawala wa kiimla nchini Bahrain.

  • Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano

    Kampuni ya Uingereza yalazimika kuondoka Tunisia baada ya kukabiliwa na maandamano

    Sep 23, 2016 10:40

    Kampuni moja ya mafuta na gesi ya Uingereza iliyokuwa ikiendesha ghughuli zake nchini Tunisia imelazimika kuondoka nchini humo kufuatia malalamiko ya wananchi.

  • Balozi wa Uingereza aliyehudumu nchi kadhaa za Kiarabu asilimu na kufanya Hija

    Balozi wa Uingereza aliyehudumu nchi kadhaa za Kiarabu asilimu na kufanya Hija

    Sep 14, 2016 11:28

    Simon Collis, balozi wa Uingereza nchini Saudi Arabia ambaye amehudumu katika nchi kadhaa za Kiarabu, amekuwa balozi wa kwanza wa nchi hiyo kufanya Hija baada ya kusilimu.

  • Vifo vya wanaotumia madawa ya kulevya Uingereza vyavunja rekodi

    Vifo vya wanaotumia madawa ya kulevya Uingereza vyavunja rekodi

    Sep 11, 2016 00:04

    Takwimu mpya na rasmi zilizotolewa nchini Uingereza zinaonyesha kuwa, idadi ya watu wanaopoteza maisha nchini humo kutokana na kutumia madawa ya kulevya imeongezeka mno na haijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Uingereza inauza theluthi mbili ya silaha katika eneo la Mashariki ya Kati

    Uingereza inauza theluthi mbili ya silaha katika eneo la Mashariki ya Kati

    Sep 05, 2016 22:36

    Gazeti moja la nchini Uingereza limeandika kuwa theluthi mbili ya silaha zinazoundwa nchini humo huuzwa katika nchi za eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS