-
Watoto wakimbizi 360 watoweka wakiwa Uingereza
Sep 04, 2016 23:54Mamia ya watoto wakimbizi wametoweka baada ya kuwasili Uingereza huku kukiwa na wasiwasi kuwa baadhi wanadhalilishwa kingono na wengine wakiwa katika utumwa mamboleo.
-
Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab
Aug 25, 2016 03:04Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.
-
Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab
Aug 24, 2016 23:49Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.
-
TUC: Nusu ya wanawake Uingereza wananyanyaswa kingono makazini
Aug 10, 2016 09:53Uchunguzi uliofanywa na shirika moja linalojulikana kwa jina la Trades Union Congress TUC kwa kifupi unaonesha kuwa, nusu ya wanawake nchini Uingereza wamekuwa wakinyanyaswa kingono katika maeneo yao ya kazi.
-
Uingereza kukabiliana na ubaguzi na jinai dhidi ya dini za walio wachache
Jul 24, 2016 23:53Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa itazidisha hatua zake za kukabiliana na vitendo vya kibaguzi na chuki dhidi ya wafuasi wa dini za walio wachache.
-
Matamshi ya afisa jeshi wa Libya kuhusu kuweko nchini vikosi ajinabi
Jul 23, 2016 02:32Kamanda wa kikosi cha anga cha jeshi la Libya amesema kuwa wanajeshi wa Marekani, Uingereza na Ufaransa wapo Libya kwa ajili tu ya kudhibiti harakati za kundi la kigaidi la Daesh.
-
Uingereza yakiri kuwa Saudia inatenda jinai za kutisha Yemen
Jul 22, 2016 10:22Katika hatua isiyo ya kawaida na ambayo haikutarajiwa na wengi, Uingereza imekiri kuwa yumkini muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika hujuma za anga dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Yemen umekiuka sheria za kibinadamu.
-
Waislamu Uingereza washtushwa na kuteuliwa Bi. May kama Waziri Mkuu
Jul 14, 2016 02:00Waislamu nchini Uingereza wameshtushwa na kuteuliwa Bi. Theresa May kama Waziri Mkuu kutokana na sera zake haribifu kwa jamii ya Waislamu nchini humo.
-
Hammond akiri, Uingereza ilihusika kuimarisha Daesh
Jul 08, 2016 03:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekiri kwamba nchi yake ilifanya makosa wakati wa vita vya Iraq na kwamba suala hilo limechangia katika kuliimarisha na kulipa nguvu zaidi kundi la kigaidi la Daesh.
-
Waingereza wataka Blair apelekewe ICC kwa kuivamia Iraq
Jul 07, 2016 10:00Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, asasi za kiraia na familia za wanajeshi wa Uingereza waliouawa nchini Iraq wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani hatua ya Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo Tony Blair ya kuidhinisha uvamizi dhidi ya Iraq mwaka 2003 bila ya kuwepo sababu ya msingi.