Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Matamshi ya afisa jeshi wa Libya kuhusu kuweko nchini vikosi ajinabi

    Matamshi ya afisa jeshi wa Libya kuhusu kuweko nchini vikosi ajinabi

    Jul 23, 2016 02:32

    Kamanda wa kikosi cha anga cha jeshi la Libya amesema kuwa wanajeshi wa Marekani, Uingereza na Ufaransa wapo Libya kwa ajili tu ya kudhibiti harakati za kundi la kigaidi la Daesh.

  • Uingereza yakiri kuwa Saudia inatenda jinai za kutisha Yemen

    Uingereza yakiri kuwa Saudia inatenda jinai za kutisha Yemen

    Jul 22, 2016 10:22

    Katika hatua isiyo ya kawaida na ambayo haikutarajiwa na wengi, Uingereza imekiri kuwa yumkini muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika hujuma za anga dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Yemen umekiuka sheria za kibinadamu.

  • Waislamu Uingereza  washtushwa na kuteuliwa Bi. May kama Waziri Mkuu

    Waislamu Uingereza washtushwa na kuteuliwa Bi. May kama Waziri Mkuu

    Jul 14, 2016 02:00

    Waislamu nchini Uingereza wameshtushwa na kuteuliwa Bi. Theresa May kama Waziri Mkuu kutokana na sera zake haribifu kwa jamii ya Waislamu nchini humo.

  • Hammond akiri, Uingereza ilihusika kuimarisha Daesh

    Hammond akiri, Uingereza ilihusika kuimarisha Daesh

    Jul 08, 2016 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekiri kwamba nchi yake ilifanya makosa wakati wa vita vya Iraq na kwamba suala hilo limechangia katika kuliimarisha na kulipa nguvu zaidi kundi la kigaidi la Daesh.

  • Waingereza wataka Blair apelekewe ICC kwa kuivamia Iraq

    Waingereza wataka Blair apelekewe ICC kwa kuivamia Iraq

    Jul 07, 2016 10:00

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, asasi za kiraia na familia za wanajeshi wa Uingereza waliouawa nchini Iraq wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani hatua ya Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo Tony Blair ya kuidhinisha uvamizi dhidi ya Iraq mwaka 2003 bila ya kuwepo sababu ya msingi.

  • Sala ya Idul Fitr yafutwa Uingereza kwa kuhofia hujuma ya wenye misimamo mikali

    Sala ya Idul Fitr yafutwa Uingereza kwa kuhofia hujuma ya wenye misimamo mikali

    Jul 02, 2016 23:05

    Sala ya Idul Fitri imefutwa katika mji mwa Southampton Uingereza kufuatia ripoti kuwa makundi ya watu wenye misimamo mikali wenye chuki dhidi ya Waislamu wanapanga kuvuruga sala hiyo.

  • Chuki dhidi ya wahajiri Uingereza zaongezeka baada ya Brexit

    Chuki dhidi ya wahajiri Uingereza zaongezeka baada ya Brexit

    Jul 01, 2016 03:39

    Chuki dhidi ya wahajiri nchini Uingereza zimeongezeka kwa asilimia 500, siku chache baada ya nchi hiyo kupiga kura ya kujiondoa kwenye Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit.

  • Hujuma dhidi ya Uislamu zaongezeka Uingereza baada ya Brexit

    Hujuma dhidi ya Uislamu zaongezeka Uingereza baada ya Brexit

    Jun 28, 2016 23:56

    Waislamu wa Uingereza wanakabiliwa na wimbi kubwa la hujuma zinazotokana na chuki baada ya kutangazwa matokeo ya kura ya maoni ya kujiondoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).

  • Bunge la Ulaya: Uingereza ianze mchakato wa kuondoka EU

    Bunge la Ulaya: Uingereza ianze mchakato wa kuondoka EU

    Jun 26, 2016 23:59

    Spika kwa Bunge la Ulaya ametaka kuanza mchakato wa kuondoka Uingereza katika Umoja wa Ulaya.

  • Uingereza yapiga kura kujiondoa Umoja wa Ulaya, EU

    Uingereza yapiga kura kujiondoa Umoja wa Ulaya, EU

    Jun 23, 2016 22:28

    Matokeo yasiyo rasmi ya kura ya maoni iliyopigwa hapo jana kuhusu Uingereza kujitoa au kubakia ndani ya Umoja wa Ulaya (EU) yanaonyesha kuwa Waingereza wataondoka EU.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS