Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Radiamali ya Iran kufuatia kutangazwa matokeo ya kura ya maoni ya Uingereza

    Radiamali ya Iran kufuatia kutangazwa matokeo ya kura ya maoni ya Uingereza

    Jun 25, 2016 01:57

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoao taarifa kuhusu matokeo ya kura ya maoni iliyofanyika nchini Uingereza kuhusu kujiondoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya.

  • Cameron ajiuzulu kama Waziri Mkuu baada ya Uingereza kujiondoa EU

    Cameron ajiuzulu kama Waziri Mkuu baada ya Uingereza kujiondoa EU

    Jun 24, 2016 03:53

    Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amejiuzulu baada ya Waingereza kupiga kura ya kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.

  • Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim kunaiweka US na UK njia panda

    Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim kunaiweka US na UK njia panda

    Jun 23, 2016 03:27

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia msomi mashuhuri wa Kiislamu, Ayatullah Sheikh Isa Qassim na kusema kuwa kitendo hicho kimeziweka Marekani na Uingereza katika njia panda.

  • Mwangwi wa mauaji ya mbunge wa Uingereza

    Mwangwi wa mauaji ya mbunge wa Uingereza

    Jun 18, 2016 02:00

    Mauaji ya Jo Cox, mbunge wa Chama cha Labour katika Bunge la Uingereza yamezusha malalamiko makubwa ndani na nje ya nchi hiyo na kulitia wahka na hofu kubwa bunge hilo.

  • Mbunge wa Uingereza afariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi

    Mbunge wa Uingereza afariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi

    Jun 16, 2016 23:57

    Mbunge wa Uingereza Jo Cox amefariki dunia kutokana na majeraha aliyopata baada ya kupigwa risasi jana.

  • 40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel

    40% ya Waingereza, 33% ya Wamarekani wanaunga mkono kususiwa Israel

    Jun 01, 2016 02:21

    Zaidi ya thuluthi moja ya Wamarekani na karibu nusu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kususiwa na kuwekewa vikwazo utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi

    Shule za msingi zaendelea kufungwa Uingereza kwa hofu ya ugaidi

    May 28, 2016 11:32

    Shule za msingi zilifungwa kwa siku ya tatu mfululizo nchini Uingereza jana Ijumaa kwa hofu ya kutokea vitendo vya kigaidi.

  • Uingereza yataka fukwe za Libya zizingirwe

    Uingereza yataka fukwe za Libya zizingirwe

    May 28, 2016 11:31

    Kamanda wa zamani wa jeshi la majini la Uingereza ametaka fukwe za Libya zizingirwe kila upande.

  • Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu

    Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu

    May 27, 2016 23:18

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya nchini Uingereza imeulalamikia vikali uamuzi wa kibaguzi wa saerikali ya nchi hiyo wa kuunda timu ya kuchunguza namna ya utekelezaji wa sheria na kanuni za Kiislamu nchini humo.

  • Meli ya Kivita ya Uingereza yaelekea Libya kuzuia wahamiaji

    Meli ya Kivita ya Uingereza yaelekea Libya kuzuia wahamiaji

    May 27, 2016 02:48

    Uingereza imetangaza kuwa itatuma meli ya kivita nchini Libya kuzuia wahamiaji wa kigeni ambao wanatumia pwani ya nchi hiyo kuvuka Bahari ya Mediterranean na kuiniga Ulaya kinyume cha sheria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS