Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Cameron awataka vijana wa Uingereza wasaidie nchi hiyo ibaki katika Umoja wa Ulaya

    Cameron awataka vijana wa Uingereza wasaidie nchi hiyo ibaki katika Umoja wa Ulaya

    Apr 08, 2016 09:29

    Waziri Mkuu wa Uingereza amewaomba vijana wa nchi hiyo waunge mkono nchi hiyo kusalia katika uanachama wa Umoja wa Ulaya katika kura ya maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 23 mwezi Juni.

  • Magaidi wa Taliban waendelea kupata himaya ya nchi za Magharibi

    Magaidi wa Taliban waendelea kupata himaya ya nchi za Magharibi

    Mar 17, 2016 04:51

    Balozi wa Uingereza nchini Afghanistan, Dominic Jermey amesema kuwa nchi yake inao uhusiano wa karibu na kundi la kigaidi la Taliban na kwamba ikiwa serikali ya Kabul itahitajia, basi nchi yake inaweza kuutumia uhusiano huo kwa ajili ya kurejesha usalama na amani nchini humo.

  • Idadi ya wabunge mashoga Uingereza yavunja rekodi ya dunia

    Idadi ya wabunge mashoga Uingereza yavunja rekodi ya dunia

    Feb 22, 2016 13:10

    Idadi ya wabunge wanaoingiliana kinyume na maumbile nchini Uingereza imeongezeka baada ya wabunge wengine wawili kutangaza hadharani kwamba wanajihusisha na vitendo hivyo vichafu.

  • Mchungaji UK: Uislamu uko karibu na Issa AS zaidi kuliko Ukristo

    Mchungaji UK: Uislamu uko karibu na Issa AS zaidi kuliko Ukristo

    Feb 22, 2016 00:06

    Mchungaji mmoja nchini Uingereza amesema kuwa, mafundisho ya Kiislamu yako karibu na yale aliyoyafunza Yesu yaani Nabii Issa AS, kuliko mafundisho mengi yanayotolewa katika Makanisa ya Magharibi.

  • Mawaziri wa Uingereza wataka nchi ibakie ndani ya EU

    Mawaziri wa Uingereza wataka nchi ibakie ndani ya EU

    Feb 20, 2016 10:07

    Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amesema kuwa baraza lake la mawaziri limeafiki kubakia nchi yao kwenye Umoja wa Ulaya (EU) lakini kuwe na mabadiliko kwenye sheria za muungano huo.

  • Imam wa zamani wa jamaa wa msikiti wa Manchester auawa kwa kupigwa

    Imam wa zamani wa jamaa wa msikiti wa Manchester auawa kwa kupigwa

    Feb 20, 2016 04:43

    Polisi ya mji wa Manchester nchini Uingereza, imetangaza habari ya kuuawa Sheikh Jalaalud-Din Sa'ab, msomi wa Qur'an na imamu wa zamani wa jamaa katika msikiti wa Jalaaliyyah mjini hapo. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Sa'ab mwenye uraia wa Bangladesh aliuawa Alkhamis usiku karibu na msikiti huo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS