-
Israel yaendeleza ukatili, yaua Wapalestina 50 ndani ya saa 24 Gaza
Aug 21, 2024 08:21Wizara ya Afya katika Ukanda wa Gaza imesema Wapalestina wasiopungua 50 wameuawa shahidi na wengine 124 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya maeneo mbali mbali ya Gaza katika muda wa saa 24 zilizopita.
-
Wazayuni washambulia tena shule na kuua makumi ya watu Gaza
Aug 20, 2024 23:28Mashambulizi ya Israel dhidi ya Shule ya Mustafa Hafez inayohifadhi wakimbizi wa Kipalestina magharibi mwa Ukanda wa Gaza yameua takriban raia 20 na kujeruhi wengine wengi.
-
Muqawama: US ni mshiriki wa mauaji mapya ya halaiki Gaza
Aug 10, 2024 07:43Makundi ya mrengo wa Muqawama katika eneo la Asia Magharibi yamelaani vikali jinai mpya ya kuogofya ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza, ambapo zaidi ya Wapalestina 100 wameuawa shahidi na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Abbas: Mauaji ya Haniyah yanalenga kurefusha vita vya Gaza
Aug 06, 2024 22:57Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amesema Israel ilimuua kigaidi Mkuu wa Ofisi ya Ksiasa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Ismail Haniyah ili kuendeleza na kurefusha vita vyake dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
WHO yabainisha wasiwasi mkubwa juu ya uwezekano wa kutokea mlipuko mkubwa wa polio huko Gaza
Jul 24, 2024 09:28Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa lina wasiwasi mkubwa kuhusu uwezekano wa kutokea mlipuko mkubwa wa polio huko Ukanda wa Gaza kufuatia kugunduliwa hivi karibuni virusi vya polio kwenye maji taka.
-
UN: Utapiamlo unatishia maisha ya wajawazito na vichanga Gaza
Jul 22, 2024 07:28Mfuko wa Idadi ya Watu wa Umoja wa Mataifa (UNPF) umetahadharisha kuhusu taathira hasi za utapiamlo zinazowakodolea macho wanawake wajawazito na watoto wachanga katika Ukanda wa Gaza; huku vita vya kikatili na vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo vikishadidi.
-
Iran yalitaka Baraza la Usalama liilazimishe Israel ikomeshe mauaji ya kimbari Gaza
Jul 17, 2024 23:32Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kivitendo za kuulazimisha utawala wa Kizayuni ukomeshe 'mara moja na bila masharti yoyote' mauaji ya kimbari unaoyafanya dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Bagheri Kani na Rais wa Baraza Kuu la UN wajadili mauaji ya Gaza
Jul 16, 2024 04:14Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuna udharura wa kuchukuliwa hatua za kivitendo ili kukomesha jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Lancet: Wapalestina waliouawa Gaza wanapindukia 186,000
Jul 09, 2024 03:35Jarida mashuhuri la masuala ya tiba na afya la The Lancet la Uingereza limeripoti kuwa, yumkini idadi halisi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza inazidi watu 186,000.
-
Matokeo ya miezi 9 ya mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni huko Gaza
Jul 04, 2024 22:38Vita vya mauaji ya kizazi vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vimemaliza mwezi wake wa tisa na kuiingia katika mwezi wa kumi kutokana na uzembe wa jamii ya kimataifa wa kutofanya lolote la maana kwa ajili ya kusimamisha mauaji hayo.