Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Mar 06, 2022 00:52

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amependekeza nchi ya tatu iwe mpatanishi wa kumaliza mivutano kati ya Russia na Ukraine.

  • Spika wa Bunge la Russia: Rais wa Ukraine amekimbilia Poland

    Spika wa Bunge la Russia: Rais wa Ukraine amekimbilia Poland

    Mar 05, 2022 04:02

    Spika wa Bunge la Russia maarufu kwa jina la Duma amesema kuwa, Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amekimbilia nchi jirani ya Poland.

  • Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Marekani imehusika na yanayoendelea Ukraine

    Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Marekani imehusika na yanayoendelea Ukraine

    Mar 04, 2022 09:00

    Khatibu wa Muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah amekosoa vikali mienendo ghalati ya Marekani katika medani ya kimataifa na kusisitiza kuwa, US ni nembo ya ujahili mamboleo.

  • Maelfu ya Wamarekani wajisajili kwenda kupigana Ukraine

    Maelfu ya Wamarekani wajisajili kwenda kupigana Ukraine

    Mar 04, 2022 08:44

    Maelfu ya wananchi wa Marekani wameuandikia barua ubalozi wa Ukraine mjini Washington wakiomba kuruhusiwa kwenda kupigana na jeshi la Russia wakishirikiana na wanajeshi wa Ukraine.

  • Iran yasisitiza kutumiwa njia ya kisiasa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Ukraine

    Iran yasisitiza kutumiwa njia ya kisiasa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Ukraine

    Mar 03, 2022 04:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kutumiwa njia ya kisiasa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Ukraine.

  • Russia: Lazima Ukraine ipokonywe silaha na isiwe na nguvu za kijeshi

    Russia: Lazima Ukraine ipokonywe silaha na isiwe na nguvu za kijeshi

    Mar 03, 2022 03:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, nchi yake inataka iwepo orodha ya silaha ambazo Ukraine haitaweza katu kuwa na nazo na wala hazitatengenezwa nchini humo.

  • Russia: Tumeangamiza zaidi ya vituo 1,300 vya kijeshi vya Ukraine katika siku ya sita ya vita

    Russia: Tumeangamiza zaidi ya vituo 1,300 vya kijeshi vya Ukraine katika siku ya sita ya vita

    Mar 02, 2022 03:51

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa katika siku ya sita ya opereseheni yake ya kijeshi nchini Ukraine imeangamiza vituo zaidi ya 1,300 vya kijeshi vya Ukraine na aina kwa aina ya miundombinu ya kijeshi ya nchi hiyo.

  • Vita vya Ukraine na mabadiliko ya uwiano wa nguvu barani Ulaya

    Vita vya Ukraine na mabadiliko ya uwiano wa nguvu barani Ulaya

    Mar 01, 2022 06:39

    Kuanza vita vya Russia na Ukraine kumevuruga mlingano wa kijeshi hasa miongoni mwa mataifa ya Ulaya, kiasi kwamba Ujerumani imetenga Euro bilioni 100 kwa ajili ya bajeti yake ya kijeshi, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya mfumo wake wa ulinzi.

  • Kiongozi Muadhamu: Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala wa kimafia wa Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala wa kimafia wa Marekani

    Mar 01, 2022 04:45

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni utawala wa kimafia na kwamba, Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za Washington.

  • Mazungumzo ya Russia na Ukraine yamalizika huko Belarus, haijulikani kama yataendelea au la

    Mazungumzo ya Russia na Ukraine yamalizika huko Belarus, haijulikani kama yataendelea au la

    Feb 28, 2022 10:22

    Televisheni ya taifa ya Russia imetangaza kuwa duru ya kwanza ya mazungumzo kati ya wajumbe wa nchi hiyo na Ukraine imemalizika nchini Belarus, lakini haijafahamika iwapo mazungumzo hayo yataendelea au la.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS