Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Russia: Hatua za Marekani zimesababisha maafa ya ndege ya Ukraine mjini Tehran

    Russia: Hatua za Marekani zimesababisha maafa ya ndege ya Ukraine mjini Tehran

    Jan 11, 2020 23:07

    Naibu Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Ulinzi ya Bunge la Russia (Duma) amesema kuwa, ni muhimu kutilia maanani uhakika kwamba, hatua za kichochezi za Marekani dhidi ya Iran ndiyo sababu ya tukio chungu la kuangushwa ndege ya Ukraine mjini Tehran.

  • Rais Rouhani: Kosa la kibinadamu kutokana na vitisho vya Marekani ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya Ukraine

    Rais Rouhani: Kosa la kibinadamu kutokana na vitisho vya Marekani ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya Ukraine

    Jan 11, 2020 04:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kosa la kibinadamu lililotokana na vitisho vya Marekani vya kushambulia maeneo nyeti nchini Iran ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya abiria ya Ukraine karibu na Tehran.

  • Ndege ya abiria ya Ukraine yawaka moto Tel Aviv, Israel

    Ndege ya abiria ya Ukraine yawaka moto Tel Aviv, Israel

    Jan 10, 2020 08:39

    Ndege ya abiria aina ya Boing 737-800 ya Shirika la Ndege la Ukraine, imewaka moto katika uwanja wa ndege wa Tel Aviv, Israel.

  • Ukraine: Hitilafu za ufundi ndizo zilizoangusha ndege yetu karibu na Tehran

    Ukraine: Hitilafu za ufundi ndizo zilizoangusha ndege yetu karibu na Tehran

    Jan 08, 2020 07:41

    Ubalozi wa Ukraine mjini Tehran umesema kuwa, hitilafu za kiufundi ndizo zilizopelekea kuanguka ndege ya nchi hiyo karibu na mkoa wa Tehran, hapa nchini Iran.

  • Kufichuliwa watu wa karibu na Trump waliomshinikiza balozi wa zamani wa Marekani nchini Ukraine

    Kufichuliwa watu wa karibu na Trump waliomshinikiza balozi wa zamani wa Marekani nchini Ukraine

    Nov 05, 2019 23:38

    Balozi wa zamani wa Marekani nchini Ukraine ametoa ushahidi kwamba alitakiwa kuunga mkono wazi jumbe za mtandao wa kijamii wa Twitter za Rais Donald Trump, ili asifutwe kazi.

  • Uchaguzi Ukraine : Mchekeshaji Zelensky ashinda kiti cha urais

    Uchaguzi Ukraine : Mchekeshaji Zelensky ashinda kiti cha urais

    Apr 22, 2019 00:06

    Msanii mchekeshaji wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa rais, kutokana na kura zilizopigwa.

  • Russia: Huwenda hatutoyatambua matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Ukraine

    Russia: Huwenda hatutoyatambua matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Ukraine

    Apr 02, 2019 09:02

    Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Baraza la Shirikisho la Russia ameashiria uwepo wa ripoti zinazoonyesha kutokuwepo uzingatiaji wa sheria katika uchaguzi wa rais nchini Ukraine na kusema kuwa, huwenda serikali ya Moscow isitambue matokeo ya uchaguzi huo.

  • Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi

    Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi

    Dec 26, 2018 05:05

    Tangu mwaka 2014 wakati hatamu za uongozi wa nchi ya Ukraine ziliposhikwa na serikali yenye mielekeo ya Kimagharibi na kuunganishwa eneo la Cremia na ardhi ya Russia, uhusiano wa Moscow na Kiev uliporomoka sana na kutawaliwa na mivutano mingi.

  • Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia

    Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia

    Nov 28, 2018 12:12

    Sambamba na Rais Petro Poroshenko wa Ukraine kusema kuwa, Russia imeimarisha zaidi kuwepo kwake kijeshi katika mpaka wa nchi hiyo, ameeleza kuwa, kuna uwezekano kukatokea vita kamili kati ya nchi yake na Russia.

  • Putin: Crimea kamwe haitarejeshwa kwa Ukraine

    Putin: Crimea kamwe haitarejeshwa kwa Ukraine

    Mar 12, 2018 10:25

    Rais wa Russia amesema kuwa nchi hiyo kamwe haitairejesha Crimea kwa Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS