-
Russia: Hatua za Marekani zimesababisha maafa ya ndege ya Ukraine mjini Tehran
Jan 11, 2020 23:07Naibu Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Ulinzi ya Bunge la Russia (Duma) amesema kuwa, ni muhimu kutilia maanani uhakika kwamba, hatua za kichochezi za Marekani dhidi ya Iran ndiyo sababu ya tukio chungu la kuangushwa ndege ya Ukraine mjini Tehran.
-
Rais Rouhani: Kosa la kibinadamu kutokana na vitisho vya Marekani ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya Ukraine
Jan 11, 2020 04:40Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kosa la kibinadamu lililotokana na vitisho vya Marekani vya kushambulia maeneo nyeti nchini Iran ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya abiria ya Ukraine karibu na Tehran.
-
Ndege ya abiria ya Ukraine yawaka moto Tel Aviv, Israel
Jan 10, 2020 08:39Ndege ya abiria aina ya Boing 737-800 ya Shirika la Ndege la Ukraine, imewaka moto katika uwanja wa ndege wa Tel Aviv, Israel.
-
Ukraine: Hitilafu za ufundi ndizo zilizoangusha ndege yetu karibu na Tehran
Jan 08, 2020 07:41Ubalozi wa Ukraine mjini Tehran umesema kuwa, hitilafu za kiufundi ndizo zilizopelekea kuanguka ndege ya nchi hiyo karibu na mkoa wa Tehran, hapa nchini Iran.
-
Kufichuliwa watu wa karibu na Trump waliomshinikiza balozi wa zamani wa Marekani nchini Ukraine
Nov 05, 2019 23:38Balozi wa zamani wa Marekani nchini Ukraine ametoa ushahidi kwamba alitakiwa kuunga mkono wazi jumbe za mtandao wa kijamii wa Twitter za Rais Donald Trump, ili asifutwe kazi.
-
Uchaguzi Ukraine : Mchekeshaji Zelensky ashinda kiti cha urais
Apr 22, 2019 00:06Msanii mchekeshaji wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa rais, kutokana na kura zilizopigwa.
-
Russia: Huwenda hatutoyatambua matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Ukraine
Apr 02, 2019 09:02Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Baraza la Shirikisho la Russia ameashiria uwepo wa ripoti zinazoonyesha kutokuwepo uzingatiaji wa sheria katika uchaguzi wa rais nchini Ukraine na kusema kuwa, huwenda serikali ya Moscow isitambue matokeo ya uchaguzi huo.
-
Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi
Dec 26, 2018 05:05Tangu mwaka 2014 wakati hatamu za uongozi wa nchi ya Ukraine ziliposhikwa na serikali yenye mielekeo ya Kimagharibi na kuunganishwa eneo la Cremia na ardhi ya Russia, uhusiano wa Moscow na Kiev uliporomoka sana na kutawaliwa na mivutano mingi.
-
Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia
Nov 28, 2018 12:12Sambamba na Rais Petro Poroshenko wa Ukraine kusema kuwa, Russia imeimarisha zaidi kuwepo kwake kijeshi katika mpaka wa nchi hiyo, ameeleza kuwa, kuna uwezekano kukatokea vita kamili kati ya nchi yake na Russia.
-
Putin: Crimea kamwe haitarejeshwa kwa Ukraine
Mar 12, 2018 10:25Rais wa Russia amesema kuwa nchi hiyo kamwe haitairejesha Crimea kwa Ukraine.