Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Utafiti: 25% ya wananchi wa Ulaya wanafadhilisha kuongozwa na maroboti badala ya wanasiasa

    Utafiti: 25% ya wananchi wa Ulaya wanafadhilisha kuongozwa na maroboti badala ya wanasiasa

    Mar 20, 2019 04:14

    Utafiti mpya wa maoni umefichua kuwa, zaidi ya robo ya wananchi wa Ulaya wangependa maamuzi muhimu ya nchi zao yachukuliwe na maroboti badala ya viongozi wa kisiasa waliowachagua wao au watumishi wa umma walioteuliwa.

  • Rais wa Austria: Ulaya isikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump kuhusu Iran

    Rais wa Austria: Ulaya isikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump kuhusu Iran

    Mar 19, 2019 12:25

    Rais Alexander Van der Bellen wa Austria amelaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran yaliyofikiwa mwaka 2015 na vitisho alivyotoa vya kuyawekea vikwazo mashirika na makampuni yanayofanya biashara na Tehran, na kusisitiza kuwa nchi za Ulaya zisikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump.

  • Le Monde: Matajiri wa Marekani wanafadhili propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Le Monde: Matajiri wa Marekani wanafadhili propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Mar 12, 2019 13:03

    Kundi dogo la matajiri na vibopa wa Marekani linafadhili mitandao inayosambaza habari na mashambulizi na propaganda chafu zinazoenezwa kupitia mtandao wa intaneti barani Ulaya kwa ajili ya kueneza fikra za mrengo wa kulia wenye misimamo mikali na kuchochea uadui dhidi ya Uislamu na matukufu yake.

  • Qassemi: Iran haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani na nje

    Qassemi: Iran haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani na nje

    Mar 04, 2019 10:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haikubali masharti na haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani ya nje.

  • Bwabwaja mpya za Mike Pence dhidi ya Iran, kukaririwa tuhuma bandia

    Bwabwaja mpya za Mike Pence dhidi ya Iran, kukaririwa tuhuma bandia

    Mar 03, 2019 23:09

    Marekani katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, imeonyesha wazi misimamo yake ya kudhoofisha na kujaribu kuundoa madarakani mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Iran.

  • Nchi za Ulaya zalikataa ombi la Marekani la kuzitaka zibakie Syria

    Nchi za Ulaya zalikataa ombi la Marekani la kuzitaka zibakie Syria

    Feb 21, 2019 21:42

    Nchi za Ulaya zimelikataa ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kuzitaka zipeleke vikosi vya majeshi yao nchini Syria na kujaza nafasi itakayoachwa wazi na vikosi vya jeshi la Marekani.

  • Bahram Qassemi: Madola ya Ulaya hayapaswi kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran

    Bahram Qassemi: Madola ya Ulaya hayapaswi kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran

    Feb 18, 2019 11:44

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, subira na uvumilivu wa wananchi na serikali ya Iran una mipaka na kwamba, madola ya Ulaya hayapaswi kutumia muda kwa ajili ya kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran.

  • Uhispania yapinga kutumwa nchini Syria wanajeshi wa muungano wa Nato

    Uhispania yapinga kutumwa nchini Syria wanajeshi wa muungano wa Nato

    Feb 17, 2019 23:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amepinga ombi la Marekani kwa nchi wanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) kwa ajili ya kutumwa wanajeshi wa nchi hizo huko Syria.

  • Mkutano wa Warsaw, jitihada zilizofeli za Marekani dhidi ya Iran

    Mkutano wa Warsaw, jitihada zilizofeli za Marekani dhidi ya Iran

    Feb 14, 2019 03:47

    Katika fremu ya mtazamo wake kuhusiana na eneo la Mashariki ya Kati, Marekani jana ilifungua mkutano wa siku mbili katika mji mkuu wa Poland, Warsaw uliopewa jina la "Amani na Usalama wa Mashariki ya Kati. Washington inasema nchi 70 zimealikwa kushiriki katika mkutano huo.

  • Salehi: Ushirikiano wa Iran na Ulaya unaendelea katika miradi ya nyuklia

    Salehi: Ushirikiano wa Iran na Ulaya unaendelea katika miradi ya nyuklia

    Feb 03, 2019 03:31

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa ushirikiano kati ya Iran na Ulaya katika miradi mbalimbali ya kinyuklia unapiga hatua nzuri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS