-
Qassemi: Mkutano wa Warsaw ni wa kuleta hitilafu na mifarakano baina ya Iran na Ulaya
Jan 28, 2019 09:15Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanyika mkutano ulio dhidi ya Iran wa Warsaw Poland ni kuzusha hitilafu na mgawanyiko baina ya Iran na baadhi ya nchi za Ulaya.
-
Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump Marekani na Ulaya
Jan 20, 2019 04:13Maelfu ya wanawake wameshiriki maandamano katika miji mikubwa ya Marekani na Ulaya kupinga sera za kibaguzi za Rais Donald Trump.
-
Shehena ya madawa ya kulevya iliyokuwa ikisafirishwa kupelekwa Ulaya yanaswa kusini mwa Iran
Jan 19, 2019 21:42Wizara ya Usalama ya Iran imetangaza kuwa vikosi vya usalama vimegundua na kunasa shehena ya madawa ya kulevya aina ya heroini yenye uzito wa kilo 618 katika bandari moja ya kusini mwa nchi.
-
Wanaharakati 3000 wataka kususiwa mkutano dhidi ya Iran huko Poland
Jan 17, 2019 12:47Wanaharakati 3000 wanaopinga vita huko Marekani na katika nchi nyingine duniani wametia saini hati inayozitaka nchi za Ulaya kususia mkutano wa kuipiga vita Iran uliopangwa kufanyika nchini Poland.
-
Bahram Qassemi: Iran itatoa majibu dhidi ya vitendo vya kiuadui dhidi yake
Jan 14, 2019 23:11Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran itachukua hatua ya lazima na mwafaka mkabala na kitendo chochote kile cha kiuadui ambacho kitakuwa dhidi ya maslahi ya kitaifa ya Iran.
-
Kiongozi Muadhamu: Wanafunzi wa vyuo vikuu ni tarajio la Jamhuri ya Kiislamu
Jan 12, 2019 10:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwamba, kuungana wanavyuo wa Iran katika kuna zote za dunia na harakati ya maendeleo na kuifanya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran isiyahitajie madola ya kigeni, ni mapambano ya jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu.
-
Zarif: Iran haitazisubiri nchi za Ulaya
Jan 08, 2019 04:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Tehran inafanya mazungumzo na washirika wake wa jadi kwa ajili ya kudhamini maslahi ya watu wa Iran.
-
Iran: Ulaya haina nia ya kweli ya kukabiliana na mashinikizo ya Marekani + Video
Dec 31, 2018 11:43Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Ulaya imeonesha kivitendo kuwa haina nia ya kweli ya kukabiliana na mashinikizo ya Marekani.
-
Benki ya HSBC yajiunga na harakati ya kuisusia Israel
Dec 28, 2018 21:39Benki mashuhuri ya HSBC ambayo ni ya saba kwa ukubwa duniani imesitisha ushirikiano wake na kampuni ya kuzalisha silaha ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya Elbit Systems, kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Interpol yatahadharisha, Daesh watafanya tena mashambulizi Ulaya
Dec 21, 2018 00:23Katibu Mkuu wa Polisi ya Kimataifa (Interpol) ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kundi la kigaidi la Daesh kufanya tena mashambulizi katika nchi za Ulaya.