Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya kutafuta maisha

    Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya kutafuta maisha

    Nov 07, 2017 04:50

    Kwa akali wahajiri watano wa Kiafrika wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterranean, magharibi mwa pwani ya Libya.

  • Akthari ya watu wa bara la Ulaya wanamchukia Trump

    Akthari ya watu wa bara la Ulaya wanamchukia Trump

    Nov 04, 2017 23:41

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa unaonyesha kuwa akthari ya watu katika nchi za Ulaya wanamchukia Rais wa Marekani Donald Trump.

  • Wahajiri 900 waokolewa, 7 wafa maji katika pwani ya Libya

    Wahajiri 900 waokolewa, 7 wafa maji katika pwani ya Libya

    Nov 02, 2017 04:40

    Miili saba ya wahajiri haramu imepatikana ndani ya boti ya plastiki karibu na pwani ya Libya, huku mamia ya wengine wakiokolewa kusini mwa bahari ya Mediterranean.

  • Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Oct 15, 2017 04:45

    Viongozi wa nchi tatu kubwa za Ulaya yaani Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza, Angela Merkel Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wameleeza wasiwasi wao kupitia taarifa ya pamoja waliyotoa kuhusu msimamo usiofaa wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu JCPOA. Taarifa ya viongozi hao wa nchi tatu kubwa za Ulaya imetolewa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani kuhusiana na stratejia ya nchi hiyo mkabala na Iran.

  • EU: Marekani itajipotezea itibari kimataifa ikijiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    EU: Marekani itajipotezea itibari kimataifa ikijiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    Oct 12, 2017 03:35

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya amesema iwapo Marekani itajiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama "Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA), jambo hilo litaipotezea Marekani itibari miongoni mwa nchi zingine duniani.

  • Iraq kuwahukumu wanachama wa ISIS, raia wa Ulaya

    Iraq kuwahukumu wanachama wa ISIS, raia wa Ulaya

    Oct 08, 2017 10:42

    Vyombo vya mahakama nchini Iraq vinatazamiwa kuwatolea hukumu ikiwemo hukumu ya kifo, makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) raia wa nchi za Ulaya.

  • Ongezeko la malalamiko ya Waislamu wa Ulaya juu ya ubaguzi na miamala mibaya

    Ongezeko la malalamiko ya Waislamu wa Ulaya juu ya ubaguzi na miamala mibaya

    Sep 22, 2017 04:08

    Matokeo mapya ya uchunguzi wa Shirika la European Union Agency for Fundamental Rights (FRA) unaonyesha kwamba, idadi ya Waislamu ambao wanabaguliwa na kufanyiwa miamala mibaya katika jamii ya Ulaya, imeongezeka sana.

  • Utawala wa Kizayuni wauzuia ujumbe wa bunge la Ulaya kuingia Ghaza

    Utawala wa Kizayuni wauzuia ujumbe wa bunge la Ulaya kuingia Ghaza

    Sep 19, 2017 03:24

    Utawala wa Kizayuni umekataa kuuruhusu ujumbe wa bunge la Ulaya kulizuru eneo la Ghaza kwa lengo la kuchunguza hali mbaya ya kibinadamu iliyosababishwa katika eneo hilo na mzingiro wa kiuchumi wa utawala huo wa Kizayuni.

  • Unyanyasaji watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya

    Unyanyasaji watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya

    Sep 12, 2017 22:04

    Katika hali ambayo, wimbi la wahajiri wa Kiafrika wanaoelekea barani Ulaya lingali linaendelea kushuhudiwa, ripoti za kimataifa zinaonyesha juu ya kuweko hali mbaya wanayokabiliwa nayo wahajiri hususan watoto wakimbizi wa Kiafrika.

  • Indhari yatolewa kuhusu unyanyasaji wanaofanyiwa watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya

    Indhari yatolewa kuhusu unyanyasaji wanaofanyiwa watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya

    Sep 12, 2017 03:18

    Taasisi kadhaa mashuhuri za kimataifa zimetangaza kuwa watoto wahajiri wa Kiafrika wanakabiliwa na matatizo makubwa yakiwemo ya kufanyishwa kazi kwa nguvu, kupigwa na kutusiwa na kutumiwa vibaya kijinsia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS