-
EU yazitahadharisha nchi wanachama kutokana na mashambulizi ya kigaidi
Sep 07, 2017 10:07Kamishna wa Usalama wa Umoja wa Ulaya, Julian King amezionya nchi wanachama kutokana na wimbi la mashambulizi mapya ya makundi ya kigaidi.
-
Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa
Aug 28, 2017 23:54Viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya wamekutana nchini Ufaransa kwa ajili ya kuchunguza namna ya kupunguza wimbi la uhajiri kutoka nchi za Afrika kuelekea barani Ulaya.
-
Madhara ya kuenezwa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
Aug 28, 2017 11:00Kuongezeka wimbi la vyombo vya habari vinavyoeneza chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya kumewaweka katika wakati mgumu sana Waislamu barani humo kiasi kwamba uchunguzi wa hivi karibuni wa maoni unaonesha kuwa, kati ya kila watu watano wa barani Ulaya, mmoja anachukia kuwa na jirani Muislamu.
-
Makubaliano kuhusu njia za kukabiliana na wahajiri haramu wa Afrika
Jul 25, 2017 22:36Katika kuendelea kukabiliana na wahajiri haramu, wawakilishi wa nchi 10 za Kiafrika, Ulaya na asasi nne za kieneo wamekubaliana kuhusu njia za kukabiliana na wahajiri hao haramu kupitia Bahari ya Mediterania na kuimarisha ushirikiano ili kuwazuia wahajiri hao.
-
Amnesty International: EU inapaswa kubeba jukumu la wahamiaji wa Libya
Jul 06, 2017 23:21Shirika la Msamaha la Kimataifa (Amnesty International) limesema kuwa, Umoja wa Ulaya (EU) unapaswa kubeba lawama za hali mbaya ya wahajiri nchini Libya.
-
Mawaziri wa Ulaya na Afrika wakutana Roma kujadili mgogoro wa wahajiri
Jul 06, 2017 09:30Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje na wa Masuala ya Wahajiri wa nchi za Ulaya na Afrika kimefanyika Roma mji mkuu wa Italia kujadili njia ya kupambamba na mgogoro wa sasa wa wahajiri katika bahari ya Mediterania.
-
Uchunguzi wa kielimu waonyesha uzalishaji elimu barani Afrika uko chini sana
Jun 05, 2017 22:52Uchunguzi mpya uliofanywa na jopo la wahadhiri nchini Ufaransa, umebaini kuwa uzalishaji elimu katika mataifa ya Kiafrika uko katika kiwango cha chini ikilinganishwa na maeneo mengine ya dunia.
-
Kumalizika safari ya rais wa Marekani barani Ulaya bila ya kufikia makubaliano
May 28, 2017 06:05Rais Donald Trump wa Marekani amemaliza safari yake ya mara ya kwanza barani Ulaya tangu aingie madarakani; bila ya kufikia natija iliyotarajiwa.
-
Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binaadamu Ulaya: Haki za binaadamu zilianzia nchini Iran na sio Ulaya
May 27, 2017 23:14Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binaadamu barani Ulaya amesema kuwa, haki za binaadamu zilianzia nchini Iran hususan mji wa Shiraz (kusini wa nchi) uliokuwa mji mkuu wa utamaduni wa dunia.
-
Wahajiri 7 wafa maji, 484 waokolewa katika bahari ya Mediterania
May 14, 2017 03:08Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri saba wamepoteza maisha huku wengine zaidi ya 400 wakiokolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya jana Jumamosi.