-
Wahajiri elfu 6 waokolewa katika bahari ya Mediterania ndani ya masaa 48
May 07, 2017 03:08Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri elfu 6 wameokolewa katika kipindi cha siku mbili zilizopita katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya.
-
Iran: Katika matukio ya sasa Marekani iko katika nafasi dhaifu
Apr 22, 2017 11:51Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Shamkhani amesema kuwa matukio ya sasa yameifanya Marekani kuwa katika nafasi dhaifu kwa kuwa hii leo nchi za Ulaya hazina tena mapenzi ya kushirikiana na Washington.
-
Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya
Apr 16, 2017 02:48Maelfu ya wahajiri wamenusurika kufa maji baada ya boti zao kuzama katika bahari ya Mediterania, wakiwa katika juhudi za kuelekea barani Ulaya.
-
Ulaya yaongoza kwa mitandao ya picha za kubakwa watoto
Apr 04, 2017 03:07Uchunguzi uliofanyika nchini Uingereza umebaini kuwa, bara la Ulaya limechukua nafasi ya nchi za America ya Kaskazini kama kituo kikuu cha kueneza picha na video za kubakwa na kunajisiwa watoto wadogo.
-
Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi
Mar 31, 2017 10:47Kansela Angela Merkel wa Ujerumani katika mkutano na viongozi wa vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya amekiri kuwa bara hilo halijasimamia ipasavyo suala la wakimbizi na wahamiaji.
-
Wahajiri wengine 146 wahofiwa kufa maji wakielekea Ulaya
Mar 29, 2017 22:01Makumi ya wahajiri wanaaminika kuwa wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterania.
-
NATO yakiri, usalama wa Ulaya uko mashakamani
Mar 24, 2017 21:54Kamanda wa majeshi ya NATO barani Ulaya, Jenerali Curtis Scaparrotti amekiri kuwa bara hilo sasa limekuwa miongoni mwa maeneo hatari zaidi duniani.
-
Hukumu ya mahakama ya Ulaya dhidi ya vazi la hijabu
Mar 15, 2017 03:27Mahakama ya Haki ya Ulaya (ECJ) yenye makao yake huko Luxembourg jana Jumanne ilipasisha marufuku ya vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu.
-
Mgomo wafuta mamia ya safari za ndege barani Ulaya
Mar 06, 2017 11:10Mgomo wa wafanyakazi katika viwanja vya ndege na mashirika ya ndege barani Ulaya umepelekea kufutwa mamia ya safari barani humo, hatua ambayo imesababisha usumbufu mkubwa kwa wasafiri.
-
Zarif: Iran ni mshirika wa uhakika wa kibiashara kwa ajili ya Ulaya
Feb 21, 2017 04:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran ni mshirika wa uhakika wa kibiashara kwa ajili ya Ulaya.