Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja

  • Pezeshkian asisitiza Umoja wa Kitaifa kama ufunguo wa maendeleo

    Pezeshkian asisitiza Umoja wa Kitaifa kama ufunguo wa maendeleo

    Jan 09, 2025 11:07

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa umoja wa kitaifa kama msingi wa sera ya utawala wake, akiangazia nafasi yake muhimu katika maendeleo ya nchi.

  • Rais wa Iran: Jinai za Israel ni matokeo ya ukosefu wa umoja wa Waislamu

    Rais wa Iran: Jinai za Israel ni matokeo ya ukosefu wa umoja wa Waislamu

    Sep 19, 2024 14:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, adui analeta mgawanyiko na mifarakano kati yetu na kubainisha kwamba, Waisraeli milioni 2 au 3 wanawaangamiza Waislamu, wanaua wanawake na watoto, wazee na vijana na wagonjwa, wanapiga mabomu hospitali na misikiti na sisi tumekaa tu na kutazama, kwa sababu hatuna umoja na ndio maana Israel inathubutu kufanya jinai hizi.

  • Rais Masoud Pezeshkian: Kuimarisha umoja na mshikamano lengo kuu la safari yangu nchini Iraq

    Rais Masoud Pezeshkian: Kuimarisha umoja na mshikamano lengo kuu la safari yangu nchini Iraq

    Sep 14, 2024 07:18

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja na mshikamano ni lengo kuu la safari yake nchini Iraq na kuongeza kuwa nia na azma ya serikali za Tehran na Baghdad ni kuimarisha uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa kieneo.

  • Iran: Tunaichukulia Hija kuwa ni nembo na dhihirisho la umoja na mshikamano

    Iran: Tunaichukulia Hija kuwa ni nembo na dhihirisho la umoja na mshikamano

    Jun 18, 2024 10:51

    Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaichukulia ibada ya Hija kuwa ni kielelezo na mhimili wa umoja na mshikamano katika safu za Waislamu na ni fursa adhimu ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na kufikiria kwa pamoja njia za kutatua masuala ya Waislamu.

  • Azimio la maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds: Umoja, ufunguo wa kushinda ubeberu wa kimataifa

    Azimio la maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds: Umoja, ufunguo wa kushinda ubeberu wa kimataifa

    Apr 14, 2023 12:21

    Wananchi wa Iran walioshiriki katika maandamano ya leo ya Siku ya Kimataifa ya Quds wametangaza kuwa Umoja ndio ufunguo wa kushinda njama za ubeberu wa kimataifa.

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Quds na kulaani jinai za Israel, Marekani

    Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Quds na kulaani jinai za Israel, Marekani

    Apr 14, 2023 12:20

    Mamilioni ya wananchi wa Iran ya Kiislamu leo ​​wameshiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kuunga mkono mapambano ya ukombozi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina ikiwa ni pamoja na kuonyesha kuchukizwa kwao na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wake hususan Marekani.

  • Shahriari: Wamagharibi wanafanya njama za kuwazozanisha Waislamu, umoja ndiyo ngao yetu

    Shahriari: Wamagharibi wanafanya njama za kuwazozanisha Waislamu, umoja ndiyo ngao yetu

    Feb 15, 2023 07:44

    Katibu Mkuu wa Baraza la Kimataifa la Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa, ushirikiano baina ya madhehebu ya Kiislamu ndio msingi wa kupatikana umoja na mshikamano katika umma wa Kiislamu.

  • Makundi ya Palestina yasisitiza kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi

    Makundi ya Palestina yasisitiza kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi

    Mar 19, 2021 02:44

    Makundi ya Palestina yametoa taarifa mwishoni mwa kikao chao huko Cairo mji mkuu wa Misri yakikisisitizia kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi.

  • Palestina katika njia ya umoja na mshikamano wa ndani

    Palestina katika njia ya umoja na mshikamano wa ndani

    Oct 13, 2020 02:39

    Baada ya baadhi ya nchi za Kiarabu kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kulitelekeza waziwazi taifa la Palestina, sasa hivi makundi ya Palestina yameelewa kuwa njia pekee ya kulinda uwepo wa taifa lao ni umoja na mshikamano.

  • Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya Israel

    Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya Israel

    May 30, 2020 04:18

    Spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa Waislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS