Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

umoja wa Kiislamu

  • Mkutano wa 34 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran

    Mkutano wa 34 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran

    Oct 27, 2020 09:02

    Mkutano wa 34 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu unatazamiwa kuanza Alhamisi katika mji mkuu wa Iran, Tehran ambapo mada kuu itakuwa 'Ushirikiano wa Kiislamu Wakati wa Maafa na Majanga'.

  • Maana ya

    Maana ya "kufutwa Israel" katika mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Nov 15, 2019 09:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa sababu ya masaibu ya sasa ya Ulimwengu wa Kiislamu hususan hali ya kusikitisha ya Palestina ni udhaifu wa Umoja wa Waislamu.

  • Ayatullah Araki: Ushindi wa kambi ya Muqawama umewafanya matakfiri watengwe

    Ayatullah Araki: Ushindi wa kambi ya Muqawama umewafanya matakfiri watengwe

    Nov 14, 2019 07:49

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, kupanuka zaidi ujumbe wa umoja na mshikamano katika Ulimwengu wa Kiislamu na kutengwa mrengo wa mawahabi na matakfiri ni miongoni mwa athari nzuri za ushindi wa kambi ya muqawama na mapambano dhidi ya ubeberu.

  • Kikao cha Tehran chalaani kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Kikao cha Tehran chalaani kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Nov 23, 2018 23:16

    Taarifa ya mwisho ya kikao cha "Nafasi ya Vyama na Wanaharakati wa Kisiasa katika Kupunguza Hitilafu za Kimadhehebu na Kulinda Malengo ya Palestina" kilichofanyika hapa mjini Tehran imelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na imesisitizia udharura wa kulindwa Quds na Palestina kwa nguvu zote.

  • Nchi 100 kuwakilishwa katika Kongamano la 32 la Umoja wa Kiislamu nchini Iran

    Nchi 100 kuwakilishwa katika Kongamano la 32 la Umoja wa Kiislamu nchini Iran

    Nov 17, 2018 23:15

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madehehbu za Kiislamu amesema, wageni kutoka nchi 100 wamealikwa kushiriki katika Kongamano la 32 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu ambalo limepangwa kufanyika tarehe 24 hadi 26 mwezi huu wa Novemba hapa mjini Tehran.

  • Mufti wa Syria asisitiza kuhusu umoja wa nchi za Kiislamu

    Mufti wa Syria asisitiza kuhusu umoja wa nchi za Kiislamu

    Feb 17, 2018 23:43

    Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Ahmad Badruddin Hassoun amesisitiza kuhusu ulazima wa kuungana mataifa na nchi za Kiislamu duniani.

  • Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Feb 16, 2018 10:25

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.

  • Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Feb 16, 2018 10:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.

  • Mapinduzi ya Kiislamu; umoja wa kitaifa, utukufu wa Uislamu na dola la kimataifa la Imam Mahdi (af)

    Mapinduzi ya Kiislamu; umoja wa kitaifa, utukufu wa Uislamu na dola la kimataifa la Imam Mahdi (af)

    Feb 09, 2018 09:25

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yana sifa za kipekee. Umoja wa kitaifa na utukufu wa Uislamu ambayo ni misingi muhimu ya dola la kimataifa la Imam Mahdi (af) ni baadhi ya sifa za mapinduzi hayo.

  • Ayatullah Araki: Umoja ni ufumbuzi wa matatizo ya jamii ya Kiislamu

    Ayatullah Araki: Umoja ni ufumbuzi wa matatizo ya jamii ya Kiislamu

    Dec 22, 2017 23:12

    Katibu Mkuu wa Jumuuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, njia na utatuzi wa matatizo ya jamii ya Kiislamu na kupoza maumivu ya majeraha yaliyopo ni kuweko umoja na mshikamano baina ya Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS