Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

umoja wa Kiislamu

  • Kikao cha Tehran chalaani kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Kikao cha Tehran chalaani kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Nov 24, 2018 02:46

    Taarifa ya mwisho ya kikao cha "Nafasi ya Vyama na Wanaharakati wa Kisiasa katika Kupunguza Hitilafu za Kimadhehebu na Kulinda Malengo ya Palestina" kilichofanyika hapa mjini Tehran imelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na imesisitizia udharura wa kulindwa Quds na Palestina kwa nguvu zote.

  • Nchi 100 kuwakilishwa katika Kongamano la 32 la Umoja wa Kiislamu nchini Iran

    Nchi 100 kuwakilishwa katika Kongamano la 32 la Umoja wa Kiislamu nchini Iran

    Nov 18, 2018 02:45

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madehehbu za Kiislamu amesema, wageni kutoka nchi 100 wamealikwa kushiriki katika Kongamano la 32 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu ambalo limepangwa kufanyika tarehe 24 hadi 26 mwezi huu wa Novemba hapa mjini Tehran.

  • Mufti wa Syria asisitiza kuhusu umoja wa nchi za Kiislamu

    Mufti wa Syria asisitiza kuhusu umoja wa nchi za Kiislamu

    Feb 18, 2018 03:13

    Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Ahmad Badruddin Hassoun amesisitiza kuhusu ulazima wa kuungana mataifa na nchi za Kiislamu duniani.

  • Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Feb 16, 2018 13:55

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.

  • Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Feb 16, 2018 13:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.

  • Mapinduzi ya Kiislamu; umoja wa kitaifa, utukufu wa Uislamu na dola la kimataifa la Imam Mahdi (af)

    Mapinduzi ya Kiislamu; umoja wa kitaifa, utukufu wa Uislamu na dola la kimataifa la Imam Mahdi (af)

    Feb 09, 2018 12:55

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yana sifa za kipekee. Umoja wa kitaifa na utukufu wa Uislamu ambayo ni misingi muhimu ya dola la kimataifa la Imam Mahdi (af) ni baadhi ya sifa za mapinduzi hayo.

  • Ayatullah Araki: Umoja ni ufumbuzi wa matatizo ya jamii ya Kiislamu

    Ayatullah Araki: Umoja ni ufumbuzi wa matatizo ya jamii ya Kiislamu

    Dec 23, 2017 02:42

    Katibu Mkuu wa Jumuuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, njia na utatuzi wa matatizo ya jamii ya Kiislamu na kupoza maumivu ya majeraha yaliyopo ni kuweko umoja na mshikamano baina ya Waislamu.

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Dec 11, 2017 14:32

    Wananchi wa Mauritania wameungana na Waislamu na wapenda haki katika kona zote za dunia kuendeleza maandamano ya kumlaani rais wa Marekani, Donald Trump kwa hatua yake ya kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Mkutano wa Umoja wa Kiislamu waunga mkono Intifadha mpya ya Palestina

    Mkutano wa Umoja wa Kiislamu waunga mkono Intifadha mpya ya Palestina

    Dec 08, 2017 11:44

    Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umemalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa yenye vipengee 26 inayosisitiza kuimarishwa umoja wa Kiislamu kwa ajili ya kupambana na njama za maadui, ikiwemo njama mpya ya Marekani dhidi ya Quds Tukufu.

  • Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Dec 07, 2017 01:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS