-
Umoja wa Mataifa: Hali ya Myanmar inatia wasiwasi
Feb 15, 2021 08:41Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa hali ya Myanmar inatia wasiwasi na amemtaka mjumbe wake maalumu nchini humo kutayarisha ripoti kuhusu hali ya sasa ya Myanmar.
-
Uganda yaishambulia EU kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo
Feb 13, 2021 05:20Serikali ya Uganda imeukosoa vikali Umoja wa Ulaya kwa kile ilichodai kuwa ni uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
UN: Watoto wasiopungua laki nne wako hatarini kufa kwa njaa mwaka huu nchini Yemen
Feb 12, 2021 23:24Mashirika manne ya utoaji huduma ya Umoja wa Mataifa yametahadharisha kuwa, ikiwa hatua za haraka hazitachukuliwa, watoto wasiopungua laki nne wa umri chini ya miaka mitano wanaweza kupoteza maisha nchini Yemen mwaka huu kutokana na hali mbaya sana ya lisheduni iliyosababishwa na athari za vita na janga la virusi vya corona.
-
Idadi ya wanajeshi wa kofia bluu majeruhi waongezeka Mali
Feb 11, 2021 04:36Wanajeshi wa kofia bluu wa kikosi cha Umoja wa Mataifa (MINUSMA) kinachohudumu huko Mali waliojeruhiwa katika mapigano ya karibuni nchini humo imefika 28.
-
UN: Uamuzi wa ICC umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina
Feb 10, 2021 20:05Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kubariki kuchunguzwa jinai za utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya taifa la Palestina umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina.
-
Abdulsalam: Martin Griffiths ni Muingereza katika joho la Umoja wa Mataifa
Feb 10, 2021 04:18Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema kuwa mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Yemen, Martin Griffiths, ni Muingereza aliyevaa joho la Umoja wa Mataifa.
-
Iran na Umoja wa Mataifa zajadili mgogoro wa Yemen mjini Tehran
Feb 08, 2021 08:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono kikamilifu jitihada za Umoja wa Mataifa za kujaribu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Yemen.
-
Umoja wa Mataifa kuzidisha misaada ya kibinadamu katika eneo la Tirgay, Ethiopia
Feb 07, 2021 23:03Mkurugenzi Mkuu wa Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umesema kuwa, taasisi hiyo imefikia mapatano na serikali ya Ethiopia kwa ajili ya kuongeza misaada ya kibinadamu katika eneo la Tigray kaskazini mwa nchi hiyo.
-
UN: Hali ya Tigray nchini Ethiopia inatia wasi wasi mkubwa
Feb 05, 2021 09:54Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, hali ya kibinadamu katika eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia ni ya kutisha mno.
-
Mwakilishi wa UN Somalia alaani vikali shambulio la kigaidi la mjini Mogadishu
Feb 02, 2021 04:01Umoja wa Mataifa nchini Somalia umelaani vikali shambulizi la kigaidi lilofanywa Jumapili kwenye hotel ya Afrika katika mji mkuu Mogadishu na kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kusalia majeruhi.