Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Umoja wa Mataifa: Hali ya Myanmar inatia wasiwasi

    Umoja wa Mataifa: Hali ya Myanmar inatia wasiwasi

    Feb 15, 2021 08:41

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa hali ya Myanmar inatia wasiwasi na amemtaka mjumbe wake maalumu nchini humo kutayarisha ripoti kuhusu hali ya sasa ya Myanmar.

  • Uganda yaishambulia EU kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Uganda yaishambulia EU kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Feb 13, 2021 05:20

    Serikali ya Uganda imeukosoa vikali Umoja wa Ulaya kwa kile ilichodai kuwa ni uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • UN: Watoto wasiopungua laki nne wako hatarini kufa kwa njaa mwaka huu nchini Yemen

    UN: Watoto wasiopungua laki nne wako hatarini kufa kwa njaa mwaka huu nchini Yemen

    Feb 12, 2021 23:24

    Mashirika manne ya utoaji huduma ya Umoja wa Mataifa yametahadharisha kuwa, ikiwa hatua za haraka hazitachukuliwa, watoto wasiopungua laki nne wa umri chini ya miaka mitano wanaweza kupoteza maisha nchini Yemen mwaka huu kutokana na hali mbaya sana ya lisheduni iliyosababishwa na athari za vita na janga la virusi vya corona.

  • Idadi ya wanajeshi wa kofia bluu majeruhi waongezeka Mali

    Idadi ya wanajeshi wa kofia bluu majeruhi waongezeka Mali

    Feb 11, 2021 04:36

    Wanajeshi wa kofia bluu wa kikosi cha Umoja wa Mataifa (MINUSMA) kinachohudumu huko Mali waliojeruhiwa katika mapigano ya karibuni nchini humo imefika 28.

  • UN: Uamuzi wa ICC umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina

    UN: Uamuzi wa ICC umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina

    Feb 10, 2021 20:05

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kubariki kuchunguzwa jinai za utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya taifa la Palestina umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina.

  • Abdulsalam: Martin Griffiths ni Muingereza katika joho la Umoja wa Mataifa

    Abdulsalam: Martin Griffiths ni Muingereza katika joho la Umoja wa Mataifa

    Feb 10, 2021 04:18

    Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema kuwa mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Yemen, Martin Griffiths, ni Muingereza aliyevaa joho la Umoja wa Mataifa.

  • Iran na Umoja wa Mataifa zajadili mgogoro wa Yemen mjini Tehran

    Iran na Umoja wa Mataifa zajadili mgogoro wa Yemen mjini Tehran

    Feb 08, 2021 08:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono kikamilifu jitihada za Umoja wa Mataifa za kujaribu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Yemen.

  • Umoja wa Mataifa kuzidisha misaada ya kibinadamu katika eneo la Tirgay, Ethiopia

    Umoja wa Mataifa kuzidisha misaada ya kibinadamu katika eneo la Tirgay, Ethiopia

    Feb 07, 2021 23:03

    Mkurugenzi Mkuu wa Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umesema kuwa, taasisi hiyo imefikia mapatano na serikali ya Ethiopia kwa ajili ya kuongeza misaada ya kibinadamu katika eneo la Tigray kaskazini mwa nchi hiyo.

  • UN: Hali ya Tigray nchini Ethiopia inatia wasi wasi mkubwa

    UN: Hali ya Tigray nchini Ethiopia inatia wasi wasi mkubwa

    Feb 05, 2021 09:54

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, hali ya kibinadamu katika eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia ni ya kutisha mno.

  • Mwakilishi wa UN Somalia alaani vikali shambulio la kigaidi la mjini Mogadishu

    Mwakilishi wa UN Somalia alaani vikali shambulio la kigaidi la mjini Mogadishu

    Feb 02, 2021 04:01

    Umoja wa Mataifa nchini Somalia umelaani vikali shambulizi la kigaidi lilofanywa Jumapili kwenye hotel ya Afrika katika mji mkuu Mogadishu na kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kusalia majeruhi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS